Uhujumu uchumi ulikuwa ni mgongano wa kinadharia zaidi haukua upigajiVita ya uhujumu uchumi wakati Sokoine ilikuwa awamu ya ngapi? Labda ulikuwa bado hujazaliwa!
Kama ni hivyo, ni uamuzi wa hovyo kabisa. Utaifanyaje wizara nyeti kuwa ya majaribio. Ile wizara imehodhi Uchumi wa nchi, haikupaswa kuwa ya kumuandaa au kumuangamiza mtu kisiasa.Wanamtafutia natural death Huyo madelu kwenye uongozi,hiyo nafasi ni kubwa kuliko uwezo wake.
Muda ndo utasema.Kama ni hivyo, ni uamuzi wa hovyo kabisa. Utaifanyaje wizara nyeti kuwa ya majaribio. Ile wizara imehodhi Uchumi wa nchi, haikupaswa kuwa ya kumuandaa au kumuangamiza mtu kisiasa.
Itakuwa vyema. Ni ajabu kumpa Mtu wizara eti kisa wamkomoe baadae.Muda ndo utasema.
Anaweza akafanya maajabu,ni dokta Wa uchumi.
NilimpigiajeHata wewe ulipiga mkuu
Hizi siasa zilikuwa nzuri ila hakukuwa na usimamizi mzuriUhujumu uchumi ulikuwa ni mgongano wa kinadharia zaidi haukua upigaji
Siasa ya Ujamaa ilikiwa hairuhusu kujilimbikizia mali hata kama ni ya halali
Mwigulu ana roho ngumu Sana. Ashukuru pia ana nyota fulani😂😂😂
Utafanya mwigulu asipate usingizi.. Ila Kama kweli sawa tuu
Asingebadilishwa wizara, bora wampumzisheKama uchunguzi huru utafanyika ukweli waweza kubainika, inasemekana yule Waziri kijana aliyekuwa akisifiwa kwa uchapaji kazi ndiye alikuwa ankwenda kwenye Halimashauri kuchota fedha/payback kupitia kwa maDED
Kuna watu wakitaka kubadili uwelekeo wa uzi, anaongea kitu tofauti kabisaKakubadilishia gear angani.
Makusu gang huyu,praise team.
Vita vile sio vya kitotoUnaikumbuka ile vita kali kabisa ya uhujumu uchumi wakati Sokoine akiwa PM? Au labda ulikuwa bado mtoto!
Tetesi ni kuwa leo MaDC kutangazwaAwamu ya Tano ilikuwa ni ya Upigaji wa hatari halafu wananchi alikuwa anawahadaa na Daraja.
Alafu Iramba imetoa Mawaziri watatu. Mwigulu, Kitila Mkumbo na Dorothy GwajimaIramba itaendelea kuwa masikini sababu ya Mwigulu
Wamesaidia nini sasa?Alafu Iramba imetoa Mawaziri watatu. Mwigulu, Kitila Mkumbo na Dorothy Gwajima
Wanyiramba hawana lolote, huwa ni watu wa kuridhika mapema Sana, unaambiwa Mwigulu ukitokea mradi mkubwa ukaletwa Iramba anauliza kina nani wapo nyuma? Akihisi ni msomi fulani wa Iramba anauhujumu usifanikiwe akihofia ataporomoshwa kisiasa.Wamesaidia nini sasa?
Ndiyo maana Singida na Dom wamejaa masikinni wengi snWanyiramba hawana lolote, huwa ni watu wa kuridhika mapema Sana, unaambiwa Mwigulu ukitokea mradi mkubwa ukaletwa Iramba anauliza kina nani wapo nyuma? Akihisi ni msomi fulani wa Iramba anauhujumu usifanikiwe akihofia ataporomoshwa kisiasa.
Sababu kuu ndiyo Kama hizoNdiyo maana Singida na Dom wamejaa masikinni wengi sn
HAwa kama Dr. Mwigulu angekuwa hajahusika mngesikia wanaozea ndani!Mtakumbuka mwaka 2019 waziri Mkuu Kasim Majaliwa aliibua wizi mkubwa wilayani Iramba mkoani Singida. Waziri Mkuu katika ziara yake aliwaambia wanainchi kuwa serikali ilitenga mabilioni ya fedha kwa ujenz wa vituo vya Afya kote nchini.
Alisema ktk wilaya ya Iramba zaidi ya Tsh million 400 zimefujwa katika ujenzi wa vituo vya Afya Ndago na Kinampanda. Aliilamu Ofisi ya DC na DED kwa wizi huo. Waziri Mkuu aliahidi hatua kuchukuliwa lakini hatua hizo hazijachukuliwa hadi leo April 2021.
Kuna tetesi kuwa Majaliwa sio mamlaka ya teuzi na tenguzi kwa viongozi hao na hakusikilizwa.
Jeje nini hatma ya fedha hizi za umma? Je, vituo vya Afya Ndago na Kinampanda vitaletewa hela nyingine?
Je, DC na DED Iramba walilindwa na nani?
Basi Kama kahusika, hana huruma na watu wake.HAwa kama Dr. Mwigulu angekuwa hajahusika mngesikia wanaozea ndani!
Kwa Ole Sabaya kimenukaMakaburi yote yafukuliwe
Wapigaji wanazidi kulamba teuziAwamu ya Tano ilikuwa ni ya Upigaji wa hatari halafu wananchi alikuwa anawahadaa na Daraja.