Wizi wa viatu msikiti wa Manyema

Enzi zetu tulikuwa tunaogopa nyumba za ibada kama kota za polisi hupiti hovyo hovyo hapo. Kujamba tu ilikuwa shughuli pevu unabana ushuzi ukajambie nje. Tuliamini hizo nyumba za ibada mungu yumo ndani yake ukifanya makosa utaadhibiwa hapohapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…