The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Hapa naomba nipingane na wewe kidogo,mwizi lazima ni muislam na tena aliingia ndani ya msikiti kama muumini wa kawaida na kuswali aliswali kama wengine!Viatu vinawekwa nje wewe huingii navyo msikitini so kila mtu wa dini yeyote anaweza kuiba.Huwezi ku assume tu kwamba aliyeiba ni wa dini fulani.Ukiwa unatumia ubongo kufikiri ungelielewa hilo.Hata mtoto mdogo anaweza kulielewa hilo.Au taa tu zimewaka na wapangaji hamna?
Kama mimi mwizi siwezi kuwa napita tu njia nikaona pale nje kwenye mlango wa msikiti pana viatu nikaenda kujiokotea nikaondoka salama(kwa mji kama Dar) huyu mwizi anakuwa miongoni mwa hao hao waumini na anaingia anaswali tofauti yeye anawahi kutoka kupishana second kadhaa na wenzake.