Mimi huo umasikini uniue tu! Mtu unaibaje kitu msikitini jamani? Mtu amekuja kuswali wewe unamuibia kama sio ushetani ni nini?Siku ya eid ndiyo wengi wanaibiwaga viatu,,,na wengine wanavaa vyako wanakuachia ndala zilizochoka.
aani mtu unaswali unapiga jicho kwenye viatu,watu wezi
Pole sana, wahuni waliiba viatu vya sikukuu. Hawafai kabisa.Mimi huo umasikini uniue tu! Mtu unaibaje kitu msikitini jamani? Mtu amekuja kuswali wewe unamuibia kama sio ushetani ni nini?
Mimi niliibiwa viatu vyangu vizuriiii kwenye Maulid nilikuwa darasa la 3/4. Hadi leo nimekoma kuvaa viatu vizuri msikitini, Eid nitavaa nguo zangu nzuri na ndala sina habari.
Nashangaa wazee wa editing wamesahau kushusha aya hapo.utasikia aya ikashuka,ila mbinu zao bomba sana[emoji1787]Kwahiyo najisi inaingizwa msikitini?
Ila nyie wanawake si huwa mnaambiwa mswali nyumbani ndio mtapata thawabu.Mimi tokea niibiwe viatu nikiwa mdogo hadi leo hii huwa naenda msikitini na ndala.
Jana tu nimeenda kusali na ndala zangu, bila stress.
Hoja ya kipumbavu.Kwani watu wa dini tofauti ndio wanaruhusiwa kuibiana?He! watu wa dini moja wanaibiana, kuna mungu hapo au ni mkusanyiko wa wezi?
acha argument ya kijinga, wapi uliona watu wa dini moja wanaibiana?Hoja ya kipumbavu.Kwani watu wa dini tofauti ndio wanaruhusiwa kuibiana?
Wewe zuzu kweli yaani wezi huwa wanakuuliza wewe ni dini gani kabla ya kukuibia?Ukiwajibu na wakijua kwamba mpo dini moja hawakuibii!acha argumenti ya kijinga, wapi uliona watu wa dini moja wanaibiana?
we ni zumbukuku kweli, mtu from no where afike msikitini kuiba kobazi! Huoni kuwa ni miongoni mwa waumini wa dini hiyo? Acha ujinga, wezi ni hao hao wauminiWewe zuzu kweli yaani wezi huwa wanakuuliza wewe ni dini gani kabla ya kukuibia?Ukiwajibu na wakijua kwamba mpo dini moja hawakuibii!
Mwizi hana cha dini.
Viatu vinawekwa nje wewe huingii navyo msikitini so kila mtu wa dini yeyote anaweza kuiba.Huwezi ku assume tu kwamba aliyeiba ni wa dini fulani.Ukiwa unatumia ubongo kufikiri ungelielewa hilo.Hata mtoto mdogo anaweza kulielewa hilo.Au taa tu zimewaka na wapangaji hamna?we ni zumbukuku kweli, mtu from no where afike msikitini kuiba kobazi! Huoni kuwa ni miongoni mwa waumini wa dini hiyo? Acha ujinga, wezi ni hao hao waumini
Nadhani wanatakiwa kuswali nyumbani Kwa sababu hawatakiwi kuvaa chupi wakati wa kuswali.Ila nyie wanawake si huwa mnaambiwa mswali nyumbani ndio mtapata thawabu.
Kwanini unakua mkaidi.
Kwani kuweka camera hapo no haramu? Labda kama ni haramu lakini haya mambo kwa technologia ya leo hayapaswi kuwa ni jambo la kulalamikiwa kiasi hikiKwanini kuibiana viatu katika msikiti?
Hii tabia ikomeshweeeee
Kwani ni lazima kila mtu aende kavaa kobazi?
Tazama video chini
View attachment 2891743
Acha kutunga stori, mbona hukuwahi kulalamika mpaka leo umeona uzi wa masjidi ndo unakurupuka na story ya kutunga ili kubalance mzani!!!???Mwizi hana dini, hana alama. Aweza kuwa mwislam, mkristo. Niliibiwa baiskeli yangu, mountain bike mpya kanisani nilipoenda kusali.
Huwa unaamini hizo story!?Mkuu si nasikia kuna dua inaitwa Albadri msomeeni aache kuleta utani kwenye nyumba ya Allah. Au hizi story za Albadri ni uongo.
Kwahiyo by the time wenzie wanasali yeye anakuwa nje!!!???Wa Dini yoyote ile si ana ajiriwa tu.
Kama walinzi wengine.
Ila ni vizuri awe wa Dini hiyohiyo.
Kabisa kabisa, maustaadhi wanalawiti watoto madrasa bila hofu!Watu walipigana ppummbu kanisani unashangaa kuiba!!.. binaadam asipomjua na kimhofu Mungu anakua zaidi ya mbwa
Unajichanganya sana, mwizi hana dini sasa anawezaje kuwa muislam au mkristo wakati hana dini?Mwizi hana dini, hana alama. Aweza kuwa mwislam, mkristo. Niliibiwa baiskeli yangu, mountain bike mpya kanisani nilipoenda kusali.
Nyie wahuni sio watu wazuri b... Imagine nilikuwa kadogo jamani kurudi home peku halafu na mdogo wangu 😢Pole sana, wahuni waliiba viatu vya sikukuu. Hawafai kabisa.
Ova
Ukute walishamalizana nae kiutu uzima!!!Kuna mpemba alikua ananileteaga sendrozi sijui aliendaga wapi.
Ukimpa elfu 12 tuu anakuamhiabinatosha jipe mfuko wangu.
Yaani shida yake umrudishie mfuko basi akaweka mzigo mwngine