comment imenipa hamu ya kumzagamua huyu bibie hapa pembeni baada tu ya kuisomaNadhani wanatakiwa kuswali nyumbani Kwa sababu hawatakiwi kuvaa chupi wakati wa kuswali.
Sasa na wanawake wa siku hizi hiyo mizigo bila chupi huko misikitini itakuwa tafrani tupu.
😆😆😆 aaah we ntu nbad umenizid mm Babu Njunju sijauonaHuyo mlinzi wa kike mmemuona lakn doh 🔥🔥🔥 mtoto ana bonge la msambwanda
Toto limeweka nne zigo hiloo 🔥🔥🔥🔥😆😆😆 aaah we ntu nbad umenizid mm Babu Njunju sijauona
.inabidi nirudi kutizama upya.
Kwanini kuna msikiti? Hivi nyumba ya Mungu ni nini? Kuaminiana kuaminiwa, kuthamiana kama binadamu, uadilifu, uaminifu, ukweli.Kwanini kuibiana viatu katika msikiti?
Hii tabia ikomeshweeeee
Kwani ni lazima kila mtu aende kavaa kobazi?
Tazama video chini
View attachment 2891743
hahaha nomaaa nimerudi kuangalia.Toto limeweka nne zigo hiloo 🔥🔥🔥🔥
Jamaa aliyeibiwa viatu si umeona alivyo limulika mara tatu tatuhahaha nomaaa nimerudi kuangalia.
aah nakubandika nyota 3 chap uko vizuro macho yako yana vitamin a za kutosha.
Mjumbe wewe unapolala usingizi mlinzi si anakuwa getini anafanya kazi yake.Kwahiyo by the time wenzie wanasali yeye anakuwa nje!!!???
Ivi Kwanini awawaibii majini ? Au majini yanaingia na viatu?Mimi huo umasikini uniue tu! Mtu unaibaje kitu msikitini jamani? Mtu amekuja kuswali wewe unamuibia kama sio ushetani ni nini?
Enzi zetu tulikuwa tunaogopa nyumba za ibada kama kota za polisi hupiti hovyo hovyo hapo. Kujamba tu ilikuwa shughuli pevu unabana ushuzi ukajambie nje. Tuliamini hizo nyumba za ibada mungu yumo ndani yake ukifanya makosa utaadhibiwa hapohapo
Hukwenda kusali 🐼Mwizi hana dini, hana alama. Aweza kuwa mwislam, mkristo. Niliibiwa baiskeli yangu, mountain bike mpya kanisani nilipoenda kusali.
🚮asipost ili muzid kuibia wengine wasiojuwa ? kawastua watu msikitin uwe na ndala local mtu haez zitamani kbs