Women are trouble makers

Wanawake ni changamoto sana, ukimsikiliza kwa kila kitu umekwisha
 
Mwanamke anatakiwa kubaki nyumbani tu azae, alee watoto na kuangalia nyumba. kumjumuisha mwanamke katika masuala mengine zaidi ya mambo ya nyumbani ni kutengeneza bomu litakalolipuka muda wowote
 
Mwanamke anatakiwa kubaki nyumbani tu azae, alee watoto na kuangalia nyumba. kumjumuisha mwanamke katika masuala mengine zaidi ya mambo ya nyumbani ni kutengeneza bomu litakalolipuka muda wowote
🤣
Mke wa jamaa yangu nahisi ni bomu la nyuklia kabisa 🤣🤣🤣 anajua kugombanisha, anajua kutunga uongo, anajua kulia machozi mengi kumbe usanii 🤣🤣🤣
 
Hii dunia ina siri nyingi ni wachache wanaoelewa
Na ukiwafungilia watu izo code utashambuliwa kinoma. Mimi kila siku nawaelekeza wanaume namna ambavyo mifumo inatunyonya na wanawake wanaitumia kujinufaisha cha kushangaza kuna wanaume wenzangu wananipinga. Utumwa wa fikra ni mbaya sana.
 
Na ukiwafungilia watu izo code utashambuliwa kinoma. Mimi kila siku nawaelekeza wanaume namna ambavyo mifumo inatunyonya na wanawake wanaitumia kujinufaisha cha kushangaza kuna wanaume wenzangu wananipinga. Utumwa wa fikra ni mbaya sana.
Ujinga ni mtaji
 
Kaka zako wapumbavu. Samahani kwa hilo mkuu.

Mwanamke kutoka familia nyingine anawezaje kukufanya mchukiane na ndugu yako wa damu.?
Bila samahani mkuu..

Haya mambo hua yanaanza taratibu, mke anamjaza mumewe maneno kidogo kidogo, mwisho unashangaa ishu iliyoanza kama mzaha inaishia kuwa ugomvi mkubwa
 
Ila wakati fulani kuishi na mwanamke kunahitaji uvumilivu sana. Kuna wakati mnaweza kuwa katika good terms! From nowhere, unashangaa ameanzisha mgogoro usio na kichwa wala miguu!! Na nyumba kuanza kuwaka moto.

I think you women, sometimes you are really trouble makers!! aka pilipilipi's
 
Sema ukweli, yule wa kwanza hukumpenda ndo maana hukubadilika akatumia nguvu nyingi.

Ila wa pili ulimpenda ndo maana ikawa rahisi kubadilika.
Hii huitwa hypergamy.
 
Kungekuwa na karma haya mafisadi yanakomba Hela za wananchi na yanaendelea kula maisha
 
Halafu wana-justify upuuzi wao kwa kusema tuishi nao kwa akili.
 
Sema ukweli, yule wa kwanza hukumpenda ndo maana hukubadilika akatumia nguvu nyingi.

Ila wa pili ulimpenda ndo maanq ikawa rahisi kubadilika.
Hii huitwa hypergamy.
Na kwanini afikiri kwamba jukumu la kumbadilisha ni la mwanaume? yeye akiona ana shida kwenye eneo fulani anashindwa kuchukua hatua za kubadilika? Wanawake ni shida tupu, yaani yeye mwenye tatizo hajioni kama ana tatizo ila alieshindwa kumbadilisha ndio anamuona mwenye tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…