MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mambo kama haya ya kusamehewa madeni musahau kwanzia mwaka ujao, hakuna tena kusamehewa, ukikopa lazima ulipe, hata kama ni kwa kuuza bandari, lazima ulipe.
19 September 2017 | By GCR Staff | 0 Comments
Brazil has forgiven Tanzania its $203m debt dating from a loan made 18 years ago to build a highway between the city of Morogoro and the capital, Dodoma.
The boon to the fast-growing African country has been under discussion for a number of years and, paradoxically, is being billed as the key for unlocking more Brazilian investment in Tanzania.
Tanzania’s ambassador to Brazil and an official from the Brazilian National Treasury signed the agreement on Sunday, 17 September, reports newspaper The Citizen.
The 1979 loan paid for the construction of the roughly 260km road between the two cities.
Brazil writes off Tanzania’s debt for highway to the capital - News - GCR
---------------------------------------------
yani ni kama vile ukiwa under 18, kuna makosa flani unaweza fanya kama kupigana na watu wengine, kukiuka sheria ...etc hata unaweza kuua mtu na ukishikwa unasamehewa na polisi/mahakama , lakini sasa hii middle income ni kama vile Tanzania imebalehe na mmefika over 18 (legal age), ukishikwa unajaribiwa mahakamani kama mtu mzima, hata kosa la kichapa mtu makofi na upatikane na polisi, hicho ni kifungo kisichopungua miezi mitatu!
Brazil?? Like seriously Brazil ilikua imewapa mkopo na ikawasamehea, jameni mbona wabongo, hivi nani hamjamkopa, hebu nimuite yule mdau wa mipovu Oii