World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Sawa. Nakubali. First world inatumika sana kutofautisha nchi zilizoendelea zamani za Ulaya na marekani na nchi second world huwa Eastern block akina Russia, Georgia n.k. Third world nayo ni nchi zingine zote ikiwemo nchi za Afrika na India na Latin America na nchi nyingi za Asia. Ni kweli kwamba first world sio neno la kiuchumi hata kidogo. Hilo neno lilitumika sana wakati wa cold war kati ya Marekani na Russia ila sasa hivi halitumiki sana. Ni neno la mtaani tu ila halina maana yoyote kiuchumi.
Ni dhahiri hujanielewa sasa.Mimi sijakukatalia hoja yako.

Au labda niseme hivi:Mambo ya first, second&third world yapo kiutamaduni zaidi ila haya ya high,middle na low income yapo zaidi kiuchumi.Rejea post uliyoqoute mwanzo mtu uliyemqoute alijiuliza kama Mauritius itaingia first world na Per capita USD 12,000.Hapo alifaa aseme high income na sio first world.We nae ukamnukuu hivyohivyo.

Ila ripoti yako sijaipinga maana nafahamu WB wanarank kwa high, middle na low income.
 
You do not matter, wewe na watumwa wenzako tumieni hizo takwimu za waume zenu, sisi tutatumia za afdb na bot.

Sasa mbona leo umezitumia tena kwa raha, hehehe nyie watu kituko.
 
Tumekua kwa rate ile ile budda nakushangaa ww tu,btw Ethiopia na ukuaji wao mkubwa lakini bado hawajachomoka ldc

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Utakua sio mfuatiliaji wa takwimu za hawa mabeberu, unafuatilia tu pale zinawakuna.

Ethiopia itawachukua muda sana kutoka kwenye umaskini, maana ni wengi mno, ukuaji wao labda upae kwenye double digits.
 
The World Bank is to officially declare Tanzania a middle income country as of 1st July 2020. Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa inakuwa na mataifa mawili kwenye kundi la MICs.

Swali: Itakuwaje kuhusu East African Community - European Union Economic Partnership Agreement? Maana Tanzania iligoma ikiamini kwamba italindwa na ile special arrangement kwa nchi maskini. Yetu macho!
Hongereni watanzania!

EPA ni ujinga kama COW tu hatuna muda na mzungu labda awemtalii tu
 
Kabisa! Kama ni makubaliano lazima yawe na mutual benefit
Hata kama tungekuwa high Kwan hayo si makubaliano ya biashara au Kwan lazima? Ndio maana tunazema Kenya wanamawazo ya kitumwa, yani kitu akisema mzungu Kwa uelewa wao wa akili hautakiwi kupinga du mpaka huruma.
 
The World Bank is to officially declare Tanzania a middle income country as of 1st July 2020. Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa inakuwa na mataifa mawili kwenye kundi la MICs.

Swali: Itakuwaje kuhusu East African Community - European Union Economic Partnership Agreement? Maana Tanzania iligoma ikiamini kwamba italindwa na ile special arrangement kwa nchi maskini. Yetu macho!
Hongereni watanzania!

Mkenya amuka TANZANIA inakuja kuwa superpower ndani ya Afrika mashariki na moja ya mataifa yenye nguvu kiuchumi barani humu, naliwahi toa uzi humu ukisema "usijisifu una mbio, msifu na anayekukimbiza"
 
mukenya amuka TANZANIA inakuja kuwa superpower ndani ya Afrika mashariki na moja ya mataifa yenye nguvu kiuchumi barani humu, naliwahi toa uzi humu ukisema "usijisifu una mbio, msifu na anayekukimbiza"
Waambie baada ya miaka 70 ijayo, tz inatarajowa kuwa miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu duniani.

Ndio maana kila kinachofanyika, kinaangaliwa 50+ yrs to come.

Angalia BRT miaka 10 ijayo itafungwa reli za train kati ya mji wa DSM, makao ya nchi yamepelekwa dodoma makusudi.
 
So kuwa Na billionaire ni development pia,
Sijai ona watu wajinga kama NYINYI,
Mtu mmoja Ako na almost$2B Kwa nchi ya 60million people with GDP ya 67B
Nyie bilionea wenu hata mmoja yuko wapi, huoni aibu kujilinganisha na mtu aliyekuzd?
 
Utakua sio mfuatiliaji wa takwimu za hawa mabeberu, unafuatilia tu pale zinawakuna.
Ethiopia itawachukua muda sana kutoka kwenye umaskini, maana ni wengi mno, ukuaji wao labda upae kwenye double digits.
Ww ctakuelewa mpk uwe una update taarifa zako.
 
Back
Top Bottom