Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Vitu ambavyo serikali inatakiwa kuweka mkakati
1. Stability ( kamwe kusitikee machafuko yeyote ya ksiasa, kikabila etc). Kama israel ilivyo weka mkakati nankuapa kamwe vita isipiganwe ndani ya israel.
2. Miundombinu bira ya huduma za jamiii kama shule, hospitali, barabara, viwanja vya ndege, bandari , viwanja vya michezo , stand za usafiri ardhini etc.
3. Huduma bora za jamii ( elimu, afya,)
4. Demokrasia dhabiti
5. Uwajibilaji and good gorvenance.
1. Stability ( kamwe kusitikee machafuko yeyote ya ksiasa, kikabila etc). Kama israel ilivyo weka mkakati nankuapa kamwe vita isipiganwe ndani ya israel.
2. Miundombinu bira ya huduma za jamiii kama shule, hospitali, barabara, viwanja vya ndege, bandari , viwanja vya michezo , stand za usafiri ardhini etc.
3. Huduma bora za jamii ( elimu, afya,)
4. Demokrasia dhabiti
5. Uwajibilaji and good gorvenance.