World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Naona mnaniquote nyote kwa povu bila mantiki, chagueni mmoja nitumie kuwajibu nyote kwa mpigo...hehehe maana sina muda wa kumjibu kila mmoja, nawapuuza wengine wote.

Narudia tena, natumia takwimu za hawa hawa World bank waliosema leo mpo kwenye hatua za kutoka kwenye umaskini, mkaja mbio kwa furaha, wao ndio takwimu zao za ukuaji wa kipindi cha JK na za kipindi hiki zina utofauti mkubwa, kwamba kipindi cha JK takwimu zao zilikua zinapaa.

Tumieni akili acheni mihemko.
You do not matter, wewe na watumwa wenzako tumieni hizo takwimu za waume zenu, sisi tutatumia za AfDB na bot.
 
La hasha. High income inaanzia hio $ 12,000 na haina ceiling, yaani haina mwisho. Qatar kwa mfano ina Gdp per capita ya $68, 000 na bado wao ni high income tu. Hakuna viwango kwenye high income ukishafika umefika.
Kuna high income zile first world.Africa hamna hata baada ya miaka 10.Poland yenyewe imepandishwa level hizo majuzi.
 
Kuna high income zile first world.Africa hamna hata baada ya miaka 10.Poland yenyewe imepandishwa level hizo majuzi.
Mauritius ambayo ni high income iko Afrika ama unadhani iko continent gani? Halafu high income ni high income. World bank haitofautishi nchi katika hii bracket. Halafu high income na first world ni the same thing ila WB wanatumia neno high income
 
Natumia takwimu za hao hao mabeberu ambao wamewakuna leo kwamba mtatoka kwenye umaskini na kuja huku tuliko, kipindi cha JK walikua wanataja ukuaji wenu kwenye zaidi ya 7.2% na kwa awamu ya sasa wakashusha mkang'aka sana na kuwatukana. Hivyo kwa takwimu zao kwa JK mlikua mnakuja kwa kasi sio mchezo, ila siku hizi ni makelele tu.
Tumekua kwa rate ile ile budda nakushangaa ww tu,btw Ethiopia na ukuaji wao mkubwa lakini bado hawajachomoka ldc

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nimtag mtu hapa mwaswast kuja huku uone na uache kuita Tz ldc zen now tumeshawalipa deni lenu la ldc, ss tunaomba nanyi mtulipe hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1493018
So kuwa Na billionaire ni development pia,
Sijai ona watu wajinga kama NYINYI,
Mtu mmoja Ako na almost$2B Kwa nchi ya 60million people with GDP ya 67B
 
La hasha. High income inaanzia hio $ 12,000 na haina ceiling, yaani haina mwisho. Qatar kwa mfano ina Gdp per capita ya $68, 000 na bado wao ni high income tu. Hakuna viwango kwenye high income ukishafika umefika.
Lakini wanasema kuanzia per capital ya $25000 ndio unakua developed anything below that unakua bado hujaiva

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Tumekua kwa rate ile ile budda nakushangaa ww tu,btw Ethiopia na ukuaji wao mkubwa lakini bado hawajachomoka ldc

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wao wana watu 100 million. Hawatachomoka virahisi kwa sababu Gdp per capita ina uhusiano mkubwa na size ya population ya nchi.
 
Mkuu amini kwamba hayo ni makaratasi tu ila reality ni kwamba Tz iko mbele ya kenya kitambo tu, inavigezo vyote vya kuwa middle Income, inalisha ukanda huu kitambo tu but now tumeamua kuudhihirishia dunia who we are.
Umewahi kufika Kenya hata siku moja ukaujua uchumi wao. Wewe inaonekana huifahamu Kenya hata kidogo.
 
Lakini wanasema kuanzia per capital ya $25000 ndio unakua developed anything below that unakua bado hujaiva

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sasa utapingana aje na mimi na hii ndio mambo ninayodeal nayo kila siku. Hii website ya world bank nimeichambua kama bibilia. Hebu soma hii link, utaona kuwa world bank hawatumii neno first world au "developed" kama ulivyosema, wao wanatumia high income tu na tena hio high income haina viwango. Na hio $25,000 uliyotaja sio ukweli.

WDI - Classifying countries by income
 
Mauritius ambayo ni high income iko Afrika ama unadhani iko continent gani? Halafu high income ni high income. World bank haitofautishi nchi katika hii bracket. Halafu high income na first world ni the same thing ila WB wanatumia neno high income
I know it's in Africa. Hapa ishu mmechanganya toka mwanzo.High income & first world ni vitu viwili tofauti.
 
Mzee kulingana na world bank hakuna neno kama first world. Ushanielewa lakini? Neno wanalotumia ni high income na tena hawana viwango katika high income. Pia hawana viwango katika Ldc. Wana viwango tu katika middle income bracket. Soma link

WDI - Classifying countries by income

Kama bado unapinga basi leta evidence yako mimi nishaweka yangu.
I know it's in Africa.Hapa ishu mmechanganya toka mwanzo.High income & first world ni vitu viwili tofauti.
 
Umewahi kufika Kenya hata siku moja ukaujua uchumi wao. Wewe inaonekana huifahamu Kenya hata kidogo
Mkuu mkenya wa kawaida ana maisha magumu sana, wanaishi maisha ya kubahatisha zaidi ya digidigi, na ndiyo maana mkenya akipata kibarua nje yanchi ana kimbia kama kafukuzwa. KIUJUMLA KENYA NI NCHI ILIYOPOTEZA MATUMAINI
 
Hebu pitia hii classification ya WB najua itakusaidia

WDI - Classifying countries by income
Ni dhahiri hujanielewa sasa.Mimi sijakukatalia hoja yako.

Au labda niseme hivi:Mambo ya first, second&third world yapo kiutamaduni zaidi ila haya ya high,middle na low income yapo zaidi kiuchumi.Rejea post uliyoqoute mwanzo mtu uliyemqoute alijiuliza kama Mauritius itaingia first world na Per capita USD 12,000.Hapo alifaa aseme high income na sio first world.We nae ukamnukuu hivyohivyo.

Ila ripoti yako sijaipinga maana nafahamu WB wanarank kwa high,middle na low income.
 
Kuwarahisishia tu, hii ndio classification ya World bank.

1. Least developed countries (Ldc). Nchi ambazo zina Gdp per capita chini ya $1,025
2. Lower Middle Income countries. Nchi zinazo Gdp per capita kati ya $1,025 na $3,994.
3. Upper middle income countries. Nchi zinazo Gdp per capita kati ya $3,995 na $12,374
4. High income countries. Nchi zinazo Gdp per capita zaidi ya $12,375.
Kama muonavyo, World bank hawana viwango katika high income na pia hawatumii neno "developed country" au "first world country".

WDI - Classifying countries by income

tuusan Drone Camera
 
Back
Top Bottom