World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Sisi kama Kenya ilibidi tutie sahihi ile dili ya EPA manake kama "lower miiddle-income" country, bidhaa zetu kule EU zitachapwa tax ya 22%, lakini nchi za Low-income hata zikikataa kutia sign hio EPA bado wanaruhusiwa ku export bidhaa zao dutty free kule EU kwasababu ziko miongoni mwa list ya low income countries........ Hapa East and Central Africa ni Kenya pekee tu ndo haikua kwa category hio ya low income, sasa vile mnaingia kwa Middle income itakua hamna budi ila kutia sahihi hio dili ya EPA la sivyo msahau biashara zenu na nchi za EU!

Alafu pia mkiingia Middle income hakuna tena kusamehewa madeni..
Ujui nguvu ya tz wewe na historia yetu hao EPA watatii tu kwa tz
 
Mambo kama haya ya kusamehewa madeni musahau kwanzia mwaka ujao, hakuna tena kusamehewa, ukikopa lazima ulipe, hata kama ni kwa kuuza bandari, lazima ulipe,


19 September 2017 | By GCR Staff | 0 Comments
Brazil has forgiven Tanzania its $203m debt dating from a loan made 18 years ago to build a highway between the city of Morogoro and the capital, Dodoma.
The boon to the fast-growing African country has been under discussion for a number of years and, paradoxically, is being billed as the key for unlocking more Brazilian investment in Tanzania.
Tanzania’s ambassador to Brazil and an official from the Brazilian National Treasury signed the agreement on Sunday, 17 September, reports newspaper The Citizen.
The 1979 loan paid for the construction of the roughly 260km road between the two cities.
Brazil writes off Tanzania’s debt for highway to the capital - News - GCR



---------------------------------------------


yani ni kama vile ukiwa under 18, kuna makosa flani unaweza fanya kama kupigana na watu wengine, kukiuka sheria ...etc hata unaweza kuua mtu na ukishikwa unasamehewa na polisi/mahakama , lakini sasa hii middle income ni kama vile Tanzania imebalehe na mmefika over 18 (legal age), ukishikwa unajaribiwa mahakamani kama mtu mzima, hata kosa la kichapa mtu makofi na upatikane na polisi, hicho ni kifungo kisichopungua miezi mitatu!
Unaweza kunitajia ni nchi gani au taasisi gani nyingine imetusamehe madeni apart from Brazil?

Sababu unaongea as if kila siku tunasamehewa madeni.
 
Sawa kichaa
Yaani wewe huwa hauna akili kabisa, ulibadilishana na katambuga

Uzuri una haki na uhuru wa kusema chochote kunihusu ilimradi usinidhuru tu. Umetumia haki yako vizuri kabisa
 
Nakutafuta nikuunganishe na wasiojulikana so get ready.

Dah! Usihangaike kunitafuta wewe niambie unataka taarifa gani zinazonihusu na nizipeleke wapi mkuu wangu.

Usihangaike sana kunitafuta.
 
Dah yaani ukisikia ile ukisimama nchale, ukichuchumaa nchale na ukikaa nchale ndo hii inawatokea wakenya muda huu. Yaani wameleta uzi wa kutusifia ila wanavopewa za uso ni kama uzi ni wa kutuponda😀😆😀
 
Sio tu hapa JF, sifungamani na sera zao sana licha ya kufanya nao kazi. Na nimewahi kuwauliza ikiwa kweli wanaufanisi kama wanavyojipambanua kwamba wanapingana na rushwa, kudumisha utawala bora na democrasia, kuboresha maisha ya watu, KUTOKOMEZA UMASKINI, wanitajie nchi moja wanayoweza kuitolea mfano kwamba wameisaidia ikajikwamua na sasa imesimama yenyewe, hawakuweza kujibu hilo.

Nawaelewa vizuri mno sio suala la mihemko wala ushabiki, ndio maana hata hii habari sioni chochote cha kushangilia hapo.

Kwanza kabisa sio jukumu lao wale kuhakikisha nchi imesimama, wao husaidia tu kupiga tafu mara moja moja, lakini ni jukumu la uongozi wa kila nchi kupambana na kuhakikisha wao wanasimama, ni kama uwe na mdogo wako chapombe, miaka inaenda yupo 35 hajaoa, hajipangi, kila mara moja moja huwa unamkwamua, mara unapigiwa simu kakamatwa na mapolisi akiwa kwenye gongo, mara katia mdada wa watu mimba mara hiki mara kile.
Utaendelea kumsaidia mara moja moja lakini sio jukumu lako kuhakikisha amesimama, inapaswa ianze naye mwenyewe.
 
Eti JK, ww Hamna kitu unajua, ni ushabiki maandazi tu umekujaa. Unajua JK alikuwa anakusanya sh ngapi ukicompare na JPM, same resources, but JPM outperformed JK, u know perfect well, lkn sababu unamwonea wivu JPM, mnatafutaga tusababu twa kifara kumdiscredit jiwe.
Kila goti litapigwa awamu hii, hata kisirisiri
Watamwelewa tu Magu wetu!
 
Kwanza kabisa sio jukumu lao wale kuhakikisha nchi imesimama, wao husaidia tu kupiga tafu mara moja moja, lakini ni jukumu la uongozi wa kila nchi kupambana na kuhakikisha wao wanasimama, ni kama uwe na mdogo wako chapombe, miaka inaenda yupo 35 hajaoa, hajipangi, kila mara moja moja huwa unamkwamua, mara unapigiwa simu kakamatwa na mapolisi akiwa kwenye gongo, mara katia mdada wa watu mimba mara hiki mara kile.
Utaendelea kumsaidia mara moja moja lakini sio jukumu lako kuhakikisha amesimama, inapaswa ianze naye mwenyewe.

Mideni tuliyonayo ni ya kusaidiwa mara mojamoja?
Ikiwa dogo wako hasikiii na hajatulia kuendelea kumpa mikopo ukijuafika unatupa pesa kwa shimo isiyojaa si upunguani? Vinginevyo unataka ujiko tu kwamba huyu namsaidia sana lakini hasaidiki.

Na hapa naongelea wote, WB, IMF, Mashirika yote ya Umoja wa Mataifa n.k. mfano nilioutoa hapo juu niliuliza kwa shirika mojawapo la Umoja wa mataifa wanaojipambanua kusaidia nchi masikini kujikwamua.

Unakumbuka walivyochukizwa na kitendo cha Rais wa Venezuela marehem Hugo Chaves aliposema hahitaji tena hawa jamaa kwa kuwa hana mikopo, hahitaji msaada wa kimaendeleo?

Umewahi kuona watu wanaotaka kukusaidia kwa dhati na wanania ujikwamue hawafurahii anapotokea mtu mwingine anataka akusaidie au akukopeshe?

Yaani katika ule mfano umeutoa awali, wewe unamsaidia dogo wako, mie nikitaka kuja kumpa msaada au kumkopesha unamind kwamba wewe utaonekana si chochote kwake.
Ina maana hapo wewe ile kujimwambafy tu kwamba unampiga tafu dogo na umwendeshe unavyotaka kwa maslahi flani ndio unachohitaji.
 
Mideni tuliyonayo ni ya kusaidiwa mara mojamoja?
Ikiwa dogo wako hasikiii na hajatulia kuendelea kumpa mikopo ukijuafika unatupa pesa kwa shimo isiyojaa si upunguani? Vinginevyo unataka ujiko tu kwamba huyu namsaidia sana lakini hasaidiki.

Na hapa naongelea wote, WB, IMF, Mashirika yote ya Umoja wa Mataifa n.k. mfano nilioutoa hapo juu niliuliza kwa shirika mojawapo la Umoja wa mataifa wanaojipambanua kusaidia nchi masikini kujikwamua.

Unakumbuka walivyochukizwa na kitendo cha Rais wa Venezuela marehem Hugo Chaves aliposema hahitaji tena hawa jamaa kwa kuwa hana mikopo, hahitaji msaada wa kimaendeleo?

Umewahi kuona watu wanaotaka kukusaidia kwa dhati na wanania ujikwamue hawafurahii anapotokea mtu mwingine anataka akusaidie au akukopeshe?

Yaani katika ule mfano umeutoa awali, wewe unamsaidia dogo wako, mie nikitaka kuja kumpa msaada au kumkopesha unamind kwamba wewe utaonekana si chochote kwake.
Ina maana hapo wewe ile kujimwambafy tu kwamba unampiga tafu dogo na umwendeshe unavyotaka kwa maslahi flani ndio unachohitaji.

Kwanza kabisa mfano niliotolea wa dogo, sikua nahusisha mikopo, hapo nilikua nazungumza kuhusu misaada ya kawaida. Na misaada yenyewe namtolea kwa masharti, kwamba aache upumbavu ajipange, na ndio nitakua na wasiwasi nikisikia kuna mtu mwingine anampa misaada, maana huyo huko hampi masharti, akiagiza anapewa tu mihela na mtu mwingine asiyempa masharti, dogo anakua teja hajipangi.

Suala la mikopo pia linakuja na masharti yake, kama sio mtu wa kulipa wala hata senti yangu hapati. Kwanza mimi sipendi kuwapa ndugu mikopo maana husababisha mahusiano kuharibika ikija kwenye kudai.

Dunia hii sio rahisi kwa taifa lolote kuendelea bila mikopo, hata mataifa matajiri yanakopa, ila kwa Afrika mikopo tunayokopa mara nyingi huwa tunaitumia vibaya wenyewe na kulaumu wanaotupea. Unakuta serikali inakopa halafu inatumia kitita kikubwa cha hizo hela kununua viongozi wa upinzani na kuminya demokrasia kwenye nchi, na wakisemwa wanapiga makelele kwamba wao ni taifa huru wasiingiliwe.
 
Kwanza kabisa mfano niliotolea wa dogo, sikua nahusisha mikopo, hapo nilikua nazungumza kuhusu misaada ya kawaida. Na misaada yenyewe namtolea kwa masharti, kwamba aache upumbavu ajipange, na ndio nitakua na wasiwasi nikisikia kuna mtu mwingine anampa misaada, maana huyo huko hampi masharti, akiagiza anapewa tu mihela na mtu mwingine asiyempa masharti, dogo anakua teja hajipangi.

Suala la mikopo pia linakuja na masharti yake, kama sio mtu wa kulipa wala hata senti yangu hapati. Kwanza mimi sipendi kuwapa ndugu mikopo maana husababisha mahusiano kuharibika ikija kwenye kudai.

Dunia hii sio rahisi kwa taifa lolote kuendelea bila mikopo, hata mataifa matajiri yanakopa, ila kwa Afrika mikopo tunayokopa mara nyingi huwa tunaitumia vibaya wenyewe na kulaumu wanaotupea. Unakuta serikali inakopa halafu inatumia kitita kikubwa cha hizo hela kununua viongozi wa upinzani na kuminya demokrasia kwenye nchi, na wakisemwa wanapiga makelele kwamba wao ni taifa huru wasiingiliwe.
Kweli kabisa unachosema, au unakuta nchi nyingine zinakopa lakini hizo ela badala zitumike kwenye maendeleo unakuta viongozi wanazitumia kwa mambo yao binafsi unakuta wanaspend one bilion kwenye chai, na kuishia kutengeneza miradi mibovu, huku nchi ikiendeshwa kwa fedha za mikopo na misaada lakini utasikia wakiwaambia raia wao nchi ipo vizuri sababu wana gdp kubwa
 
Kweli kabisa unachosema, au unakuta nchi nyingine zinakopa lakini hizo ela badala zitumike kwenye maendeleo unakuta viongozi wanazitumia kwa mambo yao binafsi unakuta wanaspend one bilion kwenye chai, na kuishia kutengeneza miradi mibovu, huku nchi ikiendeshwa kwa fedha za mikopo na misaada lakini utasikia wakiwaambia raia wao nchi ipo vizuri sababu wana gdp kubwa

Hehehe!!! Ungeacha watu wazima waendelee kujadili mambo ya kiutu uzima, wewe subiri muda wa kutupiana madongo utapewa haki yako kwenye level ya uwezo wako. Kwa sasa nawapuuza nyie timu CCM JF brigade aka mataga mpaka nipate nafasi ya kuwajibu, niliwaambia mtafute mmoja wenu awawakilishe maana sina muda wa kujibu kila mmoja wenu mnaponishukia kwa povu, inabidi nawapuuza bila hata kusoma mnaponi-quote.
Ningekua nalipwa ningewapelekesha sana nyie maana uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana, kwa sasa kwaheri.
 
Back
Top Bottom