World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Hehehe!!! Ungeacha watu wazima waendelee kujadili mambo ya kiutu uzima, wewe subiri muda wa kutupiana madongo utapewa haki yako kwenye level ya uwezo wako. Kwa sasa nawapuuza nyie timu CCM JF brigade aka mataga mpaka nipate nafasi ya kuwajibu, niliwaambia mtafute mmoja wenu awawakilishe maana sina muda wa kujibu kila mmoja wenu mnaponishukia kwa povu, inabidi nawapuuza bila hata kusoma mnaponi-quote.
Ningekua nalipwa ningewapelekesha sana nyie maana uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana, kwa sasa kwaheri.
[emoji23][emoji23] mbona mimi nilikua nakubaliana tu hoja yako mkuu kama ulivyosema nchi zinatumia ela za mikopo vibaya.

Halafu unakosea sana kudhani kila mtu ni kada wa ccm jamaa
 
Ushahidi?
Mmeshindwa kujenga hata km 1 ya sgr kwa Pesa yenu tena sgr yenu imeishia machakani bado mnamtaka mchina aendelee kuwajengea zaidi kifisadi kwanini kutoka hapo machakani msijenge wenyewe tena muweke na mfumo wa umeme kabisa ili mtakapo badili sgr yote kuwa ya umeme mpate unafuu na wepesi, sababu ya kushindwa ni GDP yenu ni ndogo sana wewe tazama GDP ya Nigeria ni kubwa ila hakuna cha maana Nigeria hata ukitafuta mtz ukamwambia umpeleke akaishi Nigeria awezi except hiyo ofa
 
Hehehe!!! Ungeacha watu wazima waendelee kujadili mambo ya kiutu uzima, wewe subiri muda wa kutupiana madongo utapewa haki yako kwenye level ya uwezo wako. Kwa sasa nawapuuza nyie timu CCM JF brigade aka mataga mpaka nipate nafasi ya kuwajibu, niliwaambia mtafute mmoja wenu awawakilishe maana sina muda wa kujibu kila mmoja wenu mnaponishukia kwa povu, inabidi nawapuuza bila hata kusoma mnaponi-quote.
Ningekua nalipwa ningewapelekesha sana nyie maana uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana, kwa sasa kwaheri.
Team domo vs team hapa kazi tu
Sant kanyumba vs sant slave
 
Wewe subiri huu mwaka utajua aujui
Ni wimbo nimeusikia tangu kuijua Tanzagiza.
Mmeshindwa kujenga hata km 1 ya sgr kwa Pesa yenu tena sgr yenu imeishia machakani bado mnamtaka mchina aendelee kuwajengea zaidi kifisadi kwanini kutoka hapo machakani msijenge wenyewe tena muweke na mfumo wa umeme kabisa ili mtakapo badili sgr yote kuwa ya umeme mpate unafuu na wepesi, sababu ya kushindwa ni GDP yenu ni ndogo sana wewe tazama GDP ya Nigeria ni kubwa ila hakuna cha maana Nigeria hata ukitafuta mtz ukamwambia umpeleke akaishi Nigeria awezi except hiyo ofa
SGR Dar to Morogoro ilikuwa ifunguliwe November 2019 , one year later bado tunangoja. 😁
 
Swali: Itakuwaje kuhusu East African Community - European Union Economic Partnership Agreement? Maana Tanzania iligoma ikiamini kwamba italindwa na ile special arrangement kwa nchi maskini. Yetu macho!
Hiyo nendeni nayo wenyewe wakenya na vihere here vyenu
 
Kuzindua miradi kote kote bila mikakati pia ina hatari yake, bora uwe na plan lakini uzindue na kuwekeza fedha panapostahiki, waliwekeza kwenye reli ya umeme mabilioni yote, ukisoma kuihusu hadi aibu, matatizo ya umeme kukatika katika kila uchao, haipaswi kuparamia kila kitu ilhali wewe bado maskini, tumia mikakati.
Kila siku raia wao wanakamatwa kwenye makontena wakiikimbia nchi, kinachowaponza, nchi yao imegoma kufungulia uwekezaji binafsi kutoka nje, wana closed economy ambayo kwa dunia ya leo ni ujinga.
Hii haina tofauti na kuwekeza mradi wa reli ya bilions of dollar kwenda eneo ambalo lina volume ya cargo less tha 25% na kuacha ukanda wenye cargo kubwa afu wanakuja kuponda wenzao wa Ethiopia hapo tofauti iko wapi maana hata popn yake inakua sana,Kwa miradi hii ya kukidhi matakwa ya kisiasa bila kuangalia uchumi inaweza chukua miaka mingine zaidi ya 50 kufikia Upper middle
 
Jiulizi kwanini wametutangaza kwa haraka??? Kama unayo akili utapata jibu wao siyo wajinga wewe una amini nchi kama Ghana inaweza kuwa juu ya tz kiuchumi !!!
why not kama Botswana au Tunisia iko juu ya Tzn?
 
Kwanza kabisa mfano niliotolea wa dogo, sikua nahusisha mikopo, hapo nilikua nazungumza kuhusu misaada ya kawaida. Na misaada yenyewe namtolea kwa masharti, kwamba aache upumbavu ajipange, na ndio nitakua na wasiwasi nikisikia kuna mtu mwingine anampa misaada, maana huyo huko hampi masharti, akiagiza anapewa tu mihela na mtu mwingine asiyempa masharti, dogo anakua teja hajipangi.

Suala la mikopo pia linakuja na masharti yake, kama sio mtu wa kulipa wala hata senti yangu hapati. Kwanza mimi sipendi kuwapa ndugu mikopo maana husababisha mahusiano kuharibika ikija kwenye kudai.

Dunia hii sio rahisi kwa taifa lolote kuendelea bila mikopo, hata mataifa matajiri yanakopa, ila kwa Afrika mikopo tunayokopa mara nyingi huwa tunaitumia vibaya wenyewe na kulaumu wanaotupea. Unakuta serikali inakopa halafu inatumia kitita kikubwa cha hizo hela kununua viongozi wa upinzani na kuminya demokrasia kwenye nchi, na wakisemwa wanapiga makelele kwamba wao ni taifa huru wasiingiliwe.


Wanaotoa hiyo mikopo kwa hizi nchi zetu tayari wanajua tutaitumia vibaya ila tunavyozidi kujizonga na mideni yao na hakuna kitu cha maana kinafanyika ndio wanachokitaka. Mnabaki na deni huku hakuna jambo la msingi mmelifanya.
 
Hawa Watz huwashwa kufikia Kenya man, poleni kwa ndoto za abunuasi
Siku Tzn ikiwa na matured private sector ndio nitaamini iko LMIC stage maana sie wakandarasi bado tunategemea sekta ya uma kupata kazi za kufanya,sekta binafsi hawana pesa wanawapa mafundi individual kazi..yaani unakuta manispaa nzima miaka 3 inapita lakini hakuna mradi hata 1 mkubwa wa sekta binafsi unaoweza fanywa na mkandarasi unlike Kenya ambako tunaona seta binafsi inaongoza gurudumu la maendeleo huku govt ikiwa facilitator
 
Siku Tzn ikiwa na matured private sector ndio nitaamini iko LMIC stage maana sie wakandarasi bado tunategemea sekta ya uma kupata kazi za kufanya,sekta binafsi hawana pesa wanawapa mafundi individual kazi..yaani unakuta manispaa nzima miaka 3 inapita lakini hakuna mradi hata 1 mkubwa wa sekta binafsi unaoweza fanywa na mkandarasi unlike Kenya ambako tunaona seta binafsi inaongoza gurudumu la maendeleo huku govt ikiwa facilitator
Economic model sio moja tu.....zipo nchi kibao zilizoendelea ambazo the state ndo inamiliki biashara kwa kiasi kikubwa
 
Tumekua kwa rate ile ile budda nakushangaa ww tu,btw Ethiopia na ukuaji wao mkubwa lakini bado hawajachomoka ldc

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Shida huwa ni population..ukiweza kukua kuliko population yako then Middle income...gawanya 62bil usd kwa _58mil tanzanians utapata around 1080usd..sasa tukiweza kukuza GDP na pop.ikabaki almost stable..then tutamaintain status...
Ethipoia ana GDP kubwa ila population nayo ni kubwa inafanya abaki kwenye 980usd...

We need either to grow much much our gdp control pop growth
 
Shida huwa ni population..ukiweza kukua kuliko population yako then Middle income...gawanya 62bil usd kwa _58mil tanzanians utapata around 1080usd..sasa tukiweza kukuza GDP na pop.ikabaki almost stable..then tutamaintain status...
Ethipoia ana GDP kubwa ila population nayo ni kubwa inafanya abaki kwenye 980usd...

We need either to grow much much our gdp control pop growth
[/QUOTE]

Hapo suluhisho ni kuongeza uzalishaji tu na kuimarisha sekta zote za kiuchumi. Hakuna haja ya ku conrol population growth.

Population growth kuwekwa katika kipimo cha GDP ni janja ya kuzuia ukuaji wa watu. Na ndio maana nchi nyingine zinafanya sensa feki na kutoa idadi ya population ambayo sio sahihi ili kuonekana wana GDP kubwa. Kuna ka nchi fulani masikini ikiko jangwani na kanchio kadogo tu ila kina population ya 55million people, ila kwenye sensa yao feki wanasema wako na watu 47million.
 
Wanaotoa hiyo mikopo kwa hizi nchi zetu tayari wanajua tutaitumia vibaya ila tunavyozidi kujizonga na mideni yao na hakuna kitu cha maana kinafanyika ndio wanachokitaka. Mnabaki na deni huku hakuna jambo la msingi mmelifanya.

Kaka wewe ni mmoja wa Watanzania ambao huwa naona wana akili hata kwenye kupanga hoja zao, na nikijadili na watu kama wewe huwa inabidi niweke pembeni mambo ya ligi na kuvuta aerial ili tuendane vizuri, ila hapa najaribu nikuelewe nashindwa nini haswa unachobishia, utawalaumu vipi wale watoa mikopo, wao hushinikiza itumiwe vizuri lakini hawana uwezo wa kuja kukagua tofali kwa tofali, hilo sio jukumu lao.
Mimi nimefanya miradi kadhaa iliyogharamikiwa na Benki kuu ya dunia (WB), walikua wanatuma wakaguzi mara moja moja kufanya high level survey, na kila tukikamilisha tulikua tunawapa reports, ila hawakua na uwezo kuingia kwenye kila kitu kukagua, ilikua jukumu la maafisa wa serikali kuhakikisha ubora wa miradi yenyewe sio WB.
Sasa hapo unakuta hao maafisa kwanza wanapiga hela kupita maelezo na hamna mwenye jeuri ya kuwahoji. Lakini upande wa pili miradi yenyewe ilikua na umuhimu mkubwa kwa jamii.
 
Back
Top Bottom