World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

duuuh south africa wameshaharibu sasa.watu watatu wamewaachia peke yao.sasa hapa noma manake mexico wana uwezo mkubwa wa kufunga la pili kuliko south africa .
 
Ball possession, RSA 42% Vs MEX 58%. Mbado siamini kama SA watapona
 
JOE BIDEN ndani ya uwanja simchezo ha ha ha wangemleta mama clinton au issue ya israel na iran inawachanganya?
 
Msaaada

waungwana wengine tupo kwa ofisi

tusaidieni nasi tupate angalau kuona video za mache live
naomba link au jina la sofware
 
Asante Mkuu

SOUTH AFRICA
MEXICO
Possession


  • South Africa 43%
  • Mexico 57%

Attempts on target


  • South Africa 3
  • Mexico 7

Attempts off target


  • South Africa 3
  • Mexico 4

Corners


  • South Africa 4
  • Mexico 5

Fouls


  • 15
  • Mexico 11
 
ahhhhhhh! :angry:
 
Mpira umekwisha draw 1-1!

Hongera Bafana Bafana maana wengine walijua ni makapu ya magoli.
Ok Nigeria better bring it on tomorrow.
 
Mechi ilikuwa nzuri,Mexico walitawala kipindi cha kwanza ,kipindi cha 2 wasauzi wakaibuka
 
watokeo mazuri south africa wamepata point moja yao kwa kuwa wenyeji wa mashindano na mexico wamepta point moja kwa kuonesha kiwango zaidi ya south africa.

tusubiri France vs Uruguay.
 
Si matokeo mabaya. Timu zote zimefanya makosa ambayo yamewanyima goli za wazi. RSA wamecheza vizuri kipindi cha pili kama nilivyotegemea. Kwani walimaliza vizuri kipindi cha kwanza na hiyo imewapa nguvu!

Watazamaji wa ITV (UK) wamemchagua Tshabalala "The man of the Match". Nadhani anastahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…