Heheh DeNovo na washabiki wengine wa Liverpool wakikusikia lazima wakubalase na mapanga lol...!!Hii mechi imekaa kama jamaa wanaogopana bana ebo!!
Hahahahahahah ! Mzee bei ya Jersey za England ziko reduced kwa 70% hahaha zilikuwa hazishikiki thanks to Mueller and co.
kocha wa liverpool huyo wamemueka top of the list hili hawafikishe fainali ya europa league ha ha ha.Kocha England ni Roy Hodgson hao wengine pamoja Harry ni VUVUZELAS tu!
Kweli mkuu, siku ya ile match ya kwanza nilimkuta kijana analilia £35 yake. Kwa hiyo sasa itabidi wagawe bure!! Kelele zao pia zinawaponza!!
Hawa nao waangalie wasije ishia kwenye matuta!.
Yani bora asikune mana WC itageuka House Cup):- Leo kweli sipo mrengo wowote,Spain wakishinda nitafurahi sababu ya Villa&Xavi!
Hivi kwenye mechi hii nani UNDERDOGS leo?
Hahahahahahahahhhh nimeona JJB buy one get one free! £ 19.99
umenikumbusha mechi ya mchana,Japan nilitamani wapite..Ndo hivyo lakini :focus: vp Spain mbona hawafungi?
Bado ni wazushi tu. Hiyo pesa ya kunywa bia mwezi mzima utapoteza ya nini wati timu yenyewe ilishapigwa chini? Watajiju!!
hahahahahahahahhhh nimeona jjb buy one get one free! £ 19.99
Yaani we acha tu...miye nilikuwa sina pressure na mechi ile lakini baada ya kumalizika penalties na baadhi ya Wacheza wa Japan kuanza kulia kama watoto niliwaonea huruma sana. I hope hawatamtungua na bunduki yule Komona.
:focus:
duh kweli babaake....nilikuta na za chelsea £9.99.......
hapa nadhani leo hakuna underdogs kuna huyu "favourite wa kichina" (SPAIN) ambae anaaga mashindano usiku wa leo. si unamuona anavyokoswa koswa?Yani bora asikune mana WC itageuka House Cup):- Leo kweli sipo mrengo wowote,Spain wakishinda nitafurahi sababu ya Villa&Xavi!
Hivi kwenye mechi hii nani UNDERDOGS leo?