World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Hata alipokuwa Real madrid alikuwa hivyo hivyo, huwa anacheka mchezaji anapokosea, magoli huwa hashangilii kwanza ndiyo anageukia pembeni au nyuma.
jamaa mwanga yule.... we mwangalie vizuri...
 
hilo teja hamjui alishafahamu kuwa hawatachukua hilo kombe? hebu ona kichapo kitakatifu walichopokea leo toka Germany,lakini hapaswi kupuuzwa tena wala msimchokoze huyo ni teja akiambiwa atoe sample ya kile alichosema hashindwi kuonyesha hata nusu ya hizo bidhaa njema kama alivyoziita bi-dada FL
 
Dammit.....I really thought Argentina will make it for the finals :A S-eek:
 
Green Point Staduium, Cape Town...walipocheza Ujeru na Argentina....

 
Klose atia cha pili!!!







Schweinsteiger atia cha tatu!!!




Klose afunika la nne..ngoma kwishnei!!!

 

Chuchu sio kwa saana lakini eeh!
 
Spain wakapata Penanti na kufunga lakini Refa akasmea irudiwe....



kurudia jamaa wakakosa...duh!!!!




Mwishoe Villa akaokoa jahazi....




 
Brazil wanavaa jezi za Taifa Stars,lazima wapewe dozi
 
Klorokwini hujui kukosea...... Naona ujerumani imeanza kunifurahisha mapema sana
hehehe nafanya kazi ofisi za utabiri wa hali ya hewa. wale ARGIES daily tunawaona wakali lakini jana walionekana kama timu ya taifa ya msumbiji tu. dah! hitler wanatisha aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…