SA wanaweza kupita kwa draw zote 3,ila raundi ya pili nje,watabebwa ila wawe wanaingia washabiki wake wasikate tamaa,mana wakitolewa tu xenophobia itaanza hapo soweto soccer city,ila nawatabiria spain mwaka huu,wana wachezaji wazuri na kocha mwenye uzoefu na rekodi nzuri.