Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
nimepowa mkuu bila maumivu kwani nilidandia gari lao nikijua nitafaidi mpira wao kumbe ujerumani ndio kaenda kusakata mpira wa maana kushinda wao.Pole mkuu, maana hicho kichapo si cha kawaida
kwa kifupi Argentina walikuwa wamezidiwa kila sehemu.



