World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

wajerumani wameroga hii match, yaani haiwezekani watufunge magoli yote hayo wabrazili tena uwanja wa nyumbani...!!
 
CAPTION: JAMANI HAWA JAMAA WAMESHAPOTEANA KWAHIYO TUWATANDIKE MAPEMA

 
The Germans are perfecting the TIKI-TAKA game. And they said the tiki-taka football is dead. Kulaleki Wabrazil wanajiangusha hao refa kawavalia miwani ya mbao.
 
Technics na tactics...unakumbuka Spain walifungwa 5 na uholanzi?

Si hivyo tu...Wajerumani ni wazuri sana katika kuzitumia fursa. Huwa hawana wastage kivile na leo wamezitumia vyema sana.

Hata wewe hukutegemea ndani ya dakika 20 either team iwe imefungwa magoli manne. Au ulitegemea hivyo?
 
scolari alifanya kosa kumwacha ramirez nje huku akijua silva hayupo uwanjani. luiz siyo beki akiwa peke yake.
 
Brazili hii forwad hamna kabisaaa.... Ronaldo de lima huko alipo nadhani anamshangaa sana huyu Fred..!!
 
Ramirez, oscar, Luiz ... ... .. who else! Where do they trade their skills ... .... ... .
 

mkuu we ni brazil nn mbona unachanganya madesa?
 

Mkuu aliyemfunga Spain ni holland
 
Nakuunga Mkono NN, vinginevyo hawa Wajerumani kama wazuri kiasi hicho wasingetoka jasho na Ghana au USA, wa kawaida sana.

Naah hawajazidiwa kivile bana....hilo nakataa kabisa.

Brasil wamechemka mno kwenye defense na kuwapat fursa hao Wajerumani na kufunga magoli tu.
 

Lini na wapi Ujerumani iliifunga Spain magoli matano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…