Balaa litakuwa kwa serikali ya Brazil endapo watalikosa kombe.Kwa mashabiki walioko Brazil sidhani kama FIFA itakuja kosea kuleta kombe la dunia Africa.
Hawa watu waliandamana sana ila sasa kimyaaaaa
Utanuna mwisho wa mechi.
Balaa litakuwa kwa serikali ya Brazil endapo watalikosa kombe.
Algeria ina black 1 kipa asa si bora niwe Belgium kwa akina lukaku, dembele, kompany
First world cup goal in 28 yrs
Tanzania mna 0 world cup goal for 100 years
Hapa leo ndio tutajuwa tatizo sio africa ila ni rangi yetu ngumu kuelewa na rangi isiyokuwa na uzalendo!