2012 ufaransa hawakutolewa katika hatua hii?
TATIANA huko spain?Mtani wangu Bantu lady nani kamficha?
Spain ni timu pekee ambayo imefungwa magoli mengi. mpaka sasa imefungwa magoli 7.
Na bado.
Germany lazima waingie...
Huenda ikawa hivyo.Portugal, England na Spain watoke tu,
Bora tubaki na viteam vyetu vidogo
Kwani walikuwa watetezi?
Acha tu, aibu aibu!!! ivumayo haidumu,kutesa kwa zamu!!
Leo umetulia tuliii unangojea Cameroon nini?
Aya na nani?
Tukisema Spain ni wateja tunaambiwa eti ni mashabiki maandazi
Spain ni timu pekee ambayo imefungwa magoli mengi. mpaka sasa imefungwa magoli 7.
Na bado.
Portugal, England na Spain watoke tu,
Bora tubaki na viteam vyetu vidogo
Haitabiriki,hakuna mkubwa wala mdogo timu yoyote inapigika saa yoyote,watu wamejiandaa aisee,sikutegemea matokeo niyaonayo hadi sasa.halafu kiwango cha soka kinachoonyeshwa na timu nyingi ni cha juu mno.ni burudani sana.hii ndio soka tunayotaka kuiona mashabiki.