World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Warusi wasije pata goli dk ya mwisho kama Greece na Ivory Cost
 
Urusi nje! Nimefurahi sana! England, Italy, Spain, Portugal...wote waliwahi kuwa mabingwa lakini safari hii walie tu!
 
Nasikiliza hii gemu kupitia TBC Taifa....Kuna mtangazaji anatangaza yani anaiga Sauti ya Salim Kikeke......Ameniboa sana....Yani mpaka inakera...

Watangazaji tuwe wabunifu....Yani unaiga mpaka sauti...Fool kabisa...



Unashangaa ubisho wa kibongo? Sasa subiri kifo kuu ianze uone jinsi wachawi (wachezaji wetu) watakavyokuwa wanaiga wachezaji waliokuwa kwenye World Cup. Yaani truly nonsense!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…