World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kuna jamaa huku kitaa jana kaharibu TV makusudi ili aende kuangalia mpira bar,leo mkewe kaibeba tv kuipeleka kwa fundi.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
leo ntakuwa kwa waholanzi...sijui watanipa raha..mungu bariki camerun

Ni ngumu Holland kumfunga Spaniola!Lkn kwenye soka lolote laweza kutokea!Nitakuwa nashangilia kila Holland wakifunga kukuunga mkono DEMBA
 
Last edited by a moderator:
dah jana nililala yan hoi dah nimekosa mechi ebu machief tupieni vid clip umu basi
roho inaniumaaa
 
Zilipendwa Gaucho alipokuwa na umri wa Dogo Neymar alifanya nini cha maana?


saint Gaucho kabeba hilo kombe pindi wachezaji wenye utimamu kichwani walikuwa uwanjani...pia marefa walikuwa kama Gigi Corina, Andrea Frinks, Mr Marcus na Mr Nilsen.
Sio hawa marefa wako wanatoa penati kisha wanakimbilia nyuma ya goli huku akijihami kwa kushika mfuko wenye kadi nyekundu...

Kwa mnaotaka kumfananisha Naima na Mtakatifu Dinho Magic mkae mkijuwa mnapiga mbizi kwenye kokoto
 
Ungeenda nae bar kuangalia mechi ya saa saba usiku? LOL!

hapana nadhan asingekuwa na haja ya kwenda bar tena.. angetafuta kampan hata ya jiran wawili halafu wangeangalia nyumban tu... mbona sie tunaangalia nyumban jamen tena raha tu...
 
unajua wanawake wengi hawajui chochote kuhusu soka ndio maana hawapendi, mi nilikuwa na kaka wengi so walichangia sana mimi kupenda mpira koz story nyingi home zilihusu soka tu.
nawapenda sana wanawake wanaopenda soka kama wewe.natamani sana mwanamke wangu angekua kama wewe.
 
saint Gaucho kabeba hilo kombe pindi wachezaji wenye utimamu kichwani walikuwa uwanjani...pia marefa walikuwa kama Gigi Corina, Andrea Frinks, Mr Marcus na Mr Nilsen.
Sio hawa marefa wako wanatoa penati kisha wanakimbilia nyuma ya goli huku akijihami kwa kushika mfuko wenye kadi nyekundu...

Kwa mnaotaka kumfananisha Naima na Mtakatifu Dinho Magic mkae mkijuwa mnapiga mbizi kwenye kokoto

mkuu hujajibu swali, unajipiga chenga tu mwenyewe; swali linasema: dinho alipokuwa analingana na neymar alifanya nini cha maana?

na kwa kudadavulia zaidi maswali ya nyongeza haya hapa: dinho katika kombe lake la kwanza la dunia aliweza kufunga goli hata moja? katika msimu wake wa kwanza ulaya aliweza kuchezea timu kali kama barcelona au alikuwa uchovuni psg?
 
Back
Top Bottom