World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kwa chile hata brazili anakaaa,ila wadutch wako vizuri

Naombea Brazil watolewe hatua ya robo fainali kuelekea nusu fainali japo naona kuna dalili ya mbeleko la chuma limeshaandaliwa.
 
Naombea timu zifuatazo zisionje kabisa fainali na ikiwezekana hata nusu fainali:
1. Brazil (japo watabebwa)
2. Spain (wanajidai sana tena wana masifa mno)
3. Portugal
4. England (kama no.2 hapo juu)
5. Cameroon (hawawezi)
6. Ivory Coast (wataponzwa na wachezaji mashuhuri)
Cameroon wameniudhi sana jana basi tu japo nilipenda spaini abakai ila tayari amejichimbia kaburi,England tutajua ikifika saa nne maana naye anamdomo sana
 
Naombea Brazil watolewe hatua ya robo fainali kuelekea nusu fainali japo naona kuna dalili ya mbeleko la chuma limeshaandaliwa.
Mbeleko yenyewe itadunda maana kuna nchi ziko vizuri umesahau south africa 2010 alibebwa mpaka ikashindikana
 
...not true brother waholanzi ni makinda yote isipokuwa van,babu na snaider ambao pia bado wananguvu na kasi,wengine wote hawajafikisha hata mechi 50 za timu ya taifa. Kwa spain karibia wote wanazaidi ya mechi 100 wakiongozwa casilas mwenye mechi 150. So spain wengi wazee na kurudi kwenye gemu itakuwa kazi sana kwao maana kipigo cha jana lazima kimewatibua na kuvuruga kambi yao,lawama na kunyoosheana vidole kutawagharimu sana na ndo safari imewadia kama ilivyokuwa kwa wafaransa...

Lionel Messi ana miaka 26, 27 anaingia tarehe 24 mwezi huu, ila amechezea timu ya taifa mechi 86, je na yeye ni mzee??
Kama ni uzee kutokana na wao kama timu kucheza mechi nyingi, hapo kweli ni 'wazee', ila Kama ni uzee wa umri pia Spain sio wazee kivile! Ni kwamba tumeanza kuwasikia kitambo!! Ni wazee machoni mwetu! Walio 30 na juu ya 30 ni Xavi, Iniesta, Alonso, Casillas -ambayo kwa kipa bado yankii sana! Waliobaki wote waliocheza jana ni below 30, maana yake ndo sasa wako kwenye PEEK ya mavuno. Wastani wa kikosi cha Hispani kiumri ni miaka 28 na siku 91, wakati wastani wa kikosi cha Holland kiumri ni miaka 26 na siku 170!! Hivyo si gap kubwa saaaaana! Hivyo jana ni ile kitu wazungu wanasema: One of those days!
 
jamaa wamepewa adhabu ila naamini bado watafanya wandaz
 
Wadatch mech ya jana walimuokata tu muhispaniola,hawana kitu wale walikutana na timu ya vijana wenzao wanakula za kutosha.
 
Wadatch mech ya jana walimuokata tu muhispaniola,hawana kitu wale walikutana na timu ya vijana wenzao wanakula za kutosha.
Unasemaaa? we unaona walimuokota wakati kipindi cha kwanza walibanwa vibaya combination ya roben,shenaida na van pasi ni sheeedar
 
Spain badala ya kuchezesha vijana wanaangaika na kina xavi na alonso..

Mbona Holland walikuwapo kina Sneijer, Van Persie, Robben??
Ni mpira tu una matokeo ya ajabu, Afrika Kusini kule mechi yao ya kwanza pia walifungwa hao Hispania.
 
Leo timu zangu zote uwanjani
.Ivory Coast(Sababu ni Afrika bara langu)

England(Sababu Man U inatokea huko)

All the best to my teams.
 
Kwa hiyo hata wabebwe vipi bado mbeleko itatatuliwa tu?!
Watu wamekuja vizuri angalia mechi mbili tu ya sanches na kina roben wanaceza kitimu brazili ajipange mbeleko haitamsaidia
Bado kuna wanaume wengine Italy,Ujeruman,Uruguay,Argentina na wenginee wamejipanga bila kusahau wa kwetu huku Ghana na Algeria ndo wanapewa nafasi angalau ya kufika mbal
 
Watu wamekuja vizuri angalia mechi mbili tu ya sanches na kina roben wanaceza kitimu brazili ajipange mbeleko haitamsaidia
Bado kuna wanaume wengine Italy,Ujeruman,Uruguay,Argentina na wenginee wamejipanga bila kusahau wa kwetu huku Ghana na Algeria ndo wanapewa nafasi angalau ya kufika mbal

Tatizo mkuu Ghana wetu wamepangwa kundi gumu sana hebu fikiria kuna portugal na Germany, Hivi hawa wazungu waliopanga hayo makundi wanatutakia mema kweli? Au kwakuwa wanaogopa moto wa Ghana wa 2010 usije ukawaka tena safari hii?
 
Unasemaaa? we unaona walimuokota wakati kipindi cha kwanza walibanwa vibaya combination ya roben,shenaida na van pasi ni sheeedar

Kaka tusubilie mech nyngne ya uholanzi utanipa jibu..spain ufatha mwngi..
 
Back
Top Bottom