Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Hio Iran watambue vizuri...waliwahi kutoa mtu anaitwa "desert PELE" sayyid Al-howairan....si wa kudharau hata kidogo
Kwa sasa wanaye yule striker wa Fulham Dejegha(sina uhakika na spelling)!
Iran wala Nigeria hawawezi washinda teams hizi 2