Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Nigeria na irani?huyu yupo kundi moja na GHANA na USA
Nimechanganya,hili kundi ni ngumu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nigeria na irani?huyu yupo kundi moja na GHANA na USA
Jamaa aliruka utafikiri kapigwa kichwa.
Mtani leo huko timu gani?Ureno wametepeta mpaka wanatia huruma.
Mkuu Ritz leo Nani ana jitahidi.
Sijui kama atapata nafasi ya kuingia raundi inayofuata. Ana hali mbaya kama mwenzake spain.Portgual aliamka vibaya tu leo ila ana team nzur
Mkuu utafuta kauli yako kabla ya mpira kumalizika au bado unashikilia msimamo wako?Leo anakaaa huyo bingwa wako
Sent from my iPhone using JamiiForums.