World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

France walibeba kombe 1998,walikuwa watetezi 2002 mechi ya kwanza walipigwa na Senegal.hawakuvuka round ya kwanza

Sio kwamba walipigwa tu, walitolewa bila kufunga hata goli moja, kama ilivyokua mwaka 2010
 
Bqb980oCYAEujil.png


Facts: Diego Costa alibadilisa uraia na kuwa muhispania....Leo anajutia maamuzi yake
 
Kwani walikuwa watetezi? Italy ilishinda fainali za 2006 na France walitolewa mapema fainali za 2010.

Watetezi Italy walitolewa kwenye group stages fainali za 2010 lakini sidhani kama walikuwa wa kwanza kutolewa.

Ila South Africa waliweka rekodi kwa kuwa waandaaji wa kwanza kutolewa kwenye round ya kwanza.

Sorry mkuu ni fainali ya 2002 na sio 2012 ufaransa alitolewa katika hatua ya makundi akiwa bingwa,,,,
 
yes...walikuwa watetezi mwaka 2002 after winning 1998....

Tena hata France walikuwa mabingwa wa Ulaya pia (2000) kama Spain (2012)...unajua when you reach the PEAK and stay there for sometimes kifuatacho uta attain kitu tunaita Saturation Point and from it you automatically start dropping... that's nature.

Ambacho wangefanya ili kiwasaidie ni either kubadili kocha au kubadili baadhi ya wachezaji...sasa wao they have kept everything CONSTANT and yet expect different results.

Imekula kwao sasa.
 
Back
Top Bottom