Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
naubaguzi wao waache wapite kushoto ukiongeza Laana ya kumchukua COSTA ndo kabisaaaa...
Adios Adios Adios
hyo costa ana mikosi sana,cku ya kubeba ndoo ya la liga aliumia hakumaliza mechi,fainali ya eufa nayo katoka dakika za mwanzo,kumbe la dunia kachukua uraia acheze spain nao wametolewa mapema... Kwa uswaz 2naxema jamaa ana kima.v.i labda pia ndo amepeleka gundu spain