World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Pamoja na racisim..lkn ivorycost hawachezi kitimu..gervinho na kalou wachoyo mno..na lile kisa la kumwacha bony nje

Bony mzigo tu ..kalou mchawi mchawi sana ndo maana mchoyo sana..hyo gervinho rasta zinamkondesha na kusikia joto sana mwilini ndo maana akipata mpira yy ni kukimbia tu ili apate upepo
 
Dakika za mwisho more than 90% ya referee's decisions zilikuwa against Ivory Coast, wengi wetu hatukuona kama Ivory Coast walistahili kuadhibiwa kwa kuwa hakukuwa na rafu zozote. Referee alihakikisha mpira unachezwa golini mwa Ivory Coast katika zile dakika za mwisho ili kumpa yeye nafasi ya kufanya uonevu wake.

Yaani mkuu BAK nimetoka kukubalia sasa naamini yale maneno kuwa kuna timu zinapendelewa
 
Dakika za mwisho more than 90% ya referee's decisions zilikuwa against Ivory Coast, wengi wetu hatukuona kama Ivory Coast walistahili kuadhibiwa kwa kuwa hakukuwa na rafu zozote. Referee alihakikisha mpira unachezwa golini mwa Ivory Coast katika zile dakika za mwisho ili kumpa yeye nafasi ya kufanya uonevu wake.

Lini Africa tutameza ukweli mchungu kwamba sisi bado kabisa.....?Matendo km ya wachezaji wetu wakubwa km song kupiga mtu kiwiko .....Assou Kuoto kupigana....yanasaidiaje kusonga mbele....Tukubali sisi bado kabisa!
 
yaani timu za africa ni utumbo sana ..bora ninywe viroba tu na kubandua mademu wa bure huku Ustawi,kuliko kuangalia mautumbo haya ..,mmmxxxxx
 
hahahaha..........
wananyimana mno pasi za kufunga.

wapuuzi sana wachezaji wetu...yaani kuna kingine kiko Ghana sijui kinaitwa Jordan,yaani takataka kabisa ...bora kuuma meno watu kama Suarez
 
Lini Africa tutameza ukweli mchungu kwamba sisi bado kabisa.....?Matendo km ya wachezaji wetu wakubwa km song kupiga mtu kiwiko .....Assou Kuoto kupigana....yanasaidiaje kusonga mbele....Tukubali sisi bado kabisa!

na Suarez anayeng'ata wenzake naye ni muafrica? miafrika ndivyo tulivyo tu
 
Miafrika mpira hatujui bora tuache kushiriki wc
 
Ifikie hatua Afrika 2018 huko Russia wateue wachezaji wanaocheza nyumbani(Local players)maana hao wana hamu nao ya kwenda Ulaya

Cameroon 1990 walifika robo fainali kwa wachezaji wanaocheza ligi ya ndani mjini Younde!

Emanuel Kunde;Cyril Makanaky;Ebwele;Massingi;Louis Mfede;Roger Miller;Jules Onana;Captain Steven Tataw na wengineo walitingisha dunia wakicheza ligi ya Cameroon
 
Lini Africa tutameza ukweli mchungu kwamba sisi bado kabisa.....?Matendo km ya wachezaji wetu wakubwa km song kupiga mtu kiwiko .....Assou Kuoto kupigana....yanasaidiaje kusonga mbele....Tukubali sisi bado kabisa!

Na aliye mng'ata mtu meno jana au hilo kwako ni sawa...tena asante Mungu hakufanya balotel mbona ingekuwa majanga...angeandikwa na kutukanwa kila mahali...lakini tendo limefanywa na mzungu lipo sawa....team zetu zinahujumiwa...
 
2Q==
 
Back
Top Bottom