sokwe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,022
- 1,059
wanatunza energy dakika 10 za mwisho watawakimbiza ubelijiji
Naona unaota ndoto za alinacha mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanatunza energy dakika 10 za mwisho watawakimbiza ubelijiji
Ndio mwenyewe kapewa Pasi na lukaku.ebana aliyefunga goli si ndo yule dogo aliyetemwa na Chelsea au nimechanganya? DonDonald, Pazi
USA plz basi hata Penalt ili tuone Penalt, mtangazaji wa USA hachelewi kusema goli touch down.
Nadhani umeona uchovu huo,akili inagoma maamuzi ya haraka,huyu mbelgiji badala ya kuingia kwa golie,anahangaika mwenyewe hadi beki ambane,golden opportunity to finish the game
ebana aliyefunga goli si ndo yule dogo aliyetemwa na Chelsea au nimechanganya? DonDonald, Pazi
Naona unaota ndoto za alinacha mkuu.
. Teh tehtehteh wacheni utani wenu Mbavu sina.