World Islamic Cup, 2022 Qatar

World Islamic Cup, 2022 Qatar

Kwa yanayoendelea huko Qatar mmejionea jinsi uislam ulivyo dini ya kweli na ya haki

Sahivi huna haja ya kuelewa kwamba wale wale wanaopigania ushoga uenee ndo hao hao walipigania dini fulani ienee miaka 100 iliyopita rejea ishu ya Berlin conference.

Wazungu walivyokuja na ajenda ya kueneza dini yao miaka 100 iliyopita kupitia makoloni ndo nguvu hii hii wanayoitumia kueneza ushoga na usagaji duniani

Sasa hapo ni wewe uchague ufate kipi dini ya kweli au projects za watu?Ukitaka uamini nililokwambia someni machapisho ya hao hao waloleta dini fulani halafu ulinganishe na sasa utagundua kama walivyoweza kutupiga kwenye hiyo project ya kueneza dini ndo hivyo hivyo kwenye suala la ushoga

Kwa mantiki hiyo ni kichaa tu anayeweza kupinga kwamba uislam sio dini ya haki, waislam likija suala la maadili na dini huwa hawana utani kabisa lakini hao wa huko Ulaya sasa ni masikitiko kwakweli

Usiposhtuka mapema itakula kwako, wala sijaleta hii mada kwa nia mbaya lah lasha mimi naomba kila mtu afanye utafiti wake agundue ni dini ipi sahihi tu bila hivyo utakuja kulia na kusaga meno siku moja lazima ukweli usemwe tu
 
Unatumia nguvu sana ila wanaoeneza uislamu ndo wanaongoza kwa ugaudi Duniani
Biblia imekaa Ilo jambo na imeonyesha yalio wakuta waliofanya ivo sodoma na gomola
Hizi dini tunazishabikia tu ila Zina mapungufu mengi sanaaa muhimu fanya yanayo mpendeza mungu tu
 
Kwa yanayoendelea huko Qatar mmejionea jinsi uislam ulivyo dini ya kweli na ya haki

Sahivi huna haja ya kuelewa kwamba wale wale wanaopigania ushoga uenee ndo hao hao walipigania dini fulani ienee miaka 100 iliyopita rejea ishu ya Berlin conference.

Wazungu walivyokuja na ajenda ya kueneza dini yao miaka 100 iliyopita kupitia makoloni ndo nguvu hii hii wanayoitumia kueneza ushoga na usagaji duniani

Sasa hapo ni wewe uchague ufate kipi dini ya kweli au projects za watu?Ukitaka uamini nililokwambia someni machapisho ya hao hao waloleta dini fulani halafu ulinganishe na sasa utagundua kama walivyoweza kutupiga kwenye hiyo project ya kueneza dini ndo hivyo hivyo kwenye suala la ushoga

Kwa mantiki hiyo ni kichaa tu anayeweza kupinga kwamba uislam sio dini ya haki, waislam likija suala la maadili na dini huwa hawana utani kabisa lakini hao wa huko Ulaya sasa ni masikitiko kwakweli

Usiposhtuka mapema itakula kwako, wala sijaleta hii mada kwa nia mbaya lah lasha mimi naomba kila mtu afanye utafiti wake agundue ni dini ipi sahihi tu bila hivyo utakuja kulia na kusaga meno siku moja lazima ukweli usemwe tu
Na vichaa wenyewe ni ISIS, ALSHABAAB etc
 
waislam likija suala la maadili na dini huwa hawana utani kabisa
Mbona tunawakuta ulaya wakiwa limbukeni wa uhuru kwa kufanya lkolote as long as one is within the law? Ulaya wanakuwa so happy na uhuru wa huko utasikia wanasema Bwana haya kwetu huwezi kufanya tunabanwa na kulazimishwa kuishi maisha ya "kitumwa"...
 
Qatar masharti kila kukicha mara sijui hamna pombe mara uje na cheti cha ndoa, mara sijui nn Yani masharti kibao daily. Kwann msiandae kombe la maadili ya dini pendwa?
Mm nimewaaelewaa Sana acha mashonga wanyooshwe vzr
 
Mlokua naiita dini ya kigaidi ya wafia dini leo hii ndo dini inayopigana vita dhidi ya ushoga duniani asante Qatar

Tuliitwa wafia dini humu

Tuliitwa magaidi humu

Tuliitwa wavaa kanzu fupi humu

Tulikejeliwa kwa kuitwa wafuasi wa mwamedi

Tuliitwa wavaa makobazi

Tuliitwa majina chungu nzima ilimradi tu kutukejeli na kutuchachavya na kutupaka matope leo hii ndo sisi sisi tuloionyesha dunia njia sahihi

Ndo sisi sisi tunaosimamia sheria za Mungu angalieni kule Qatar

Ni suala la muda tu kuna siku mtaelewa kuwa uislam ndo dini pekee ya kweli hizi nyingine zote ni fix tu

Huamini do your own research utaelewa nachomaanisha
 
Mlokua naiita dini ya kigaidi ya wafia dini leo hii ndo dini inayopigana vita dhidi ya ushoga duniani asante Qatar

Tuliitwa wafia dini humu

Tuliitwa magaidi humu

Tuliitwa wavaa kanzu fupi humu

Tulikejeliwa kwa kuitwa wafuasi wa mwamedi

Tuliitwa wavaa makobazi

Tuliitwa majina chungu nzima ilimradi tu kutukejeli na kutuchachavya na kutupaka matope leo hii ndo sisi sisi tuloionyesha dunia njia sahihi

Ndo sisi sisi tunaosimamia sheria za Mungu angalieni kule Qatar

Ni suala la muda tu kuna siku mtaelewa kuwa uislam ndo dini pekee ya kweli hizi nyingine zote ni fix tu

Huamini do your own research utaelewa nachomaanisha
Kwani uongo???hamvai kobazi??

#MaendeleoHayanaChama
 
Takriban watu 900 walisilimu pambizoni mwa Kombe la Dunia, Qatar

Nov 27, 2022 07:51 UTC

[https://media]

Hadi sasa watu 887 kutoka nchi tofauti wamesilimu kando ya Kombe la Dunia la mwaka huu wa 2022.

Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti kuwa, Zakir Naik, mwanazuoni wa Kiislamu wa India aliyekwenda Qatar kufanya tablighi na kueneza mafundisho ya Uislamu, amesema kuwa hadi sasa raia 887 kutoka nchi mbalimbali duniani wamesilimu pambizoni mwa mashindano Soka ya Kombe la Dunia.

Naik ameongeza kuwa, usikiaji wa kisomo cha adhana huko Qatar umewaawathiri watazamaji wengi waliokwenda kushuhudia mashindano hayo ya soka ya dunia huko Qatar.

[https://media]Kombe la Dunia la Soka nchini Qatar

Ripoti hiyo imeongeza kuwa, Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Qatar pia inatekeleza ratiba mbalimbali za kuitangaza dini Tukufu ya Uislamu wakati huu sambamba na kufanyika mashindano hayo ya soka ya dunia.

Mashindano ya Soka ya Dunia yanayoendelea sasa huko Qatar ni Kombe la Dunia la 22 ambayo yameanza tangu Jumapili ya tarehe 21 mwezi huu wa Novemba; na yataendelea hadi tarehe 18 mwezi Disemba. Kombe la Dunia la Soka ndilo tukio la michezo linalotazamwa zaidi duniani na hufanyika kila baada ya miaka minne ili kumpata bingwa wa soka duniani.
 
Mbona magaidi wa kiislamu wote wanapinga mambo ya michezo ikiwamo mpira wa miguu.

Ijumaa na jumamosi Mtume Mwamposa alikuwa katika mji wa Musoma na zaidi ya waislamu 600 wameombewa na kupona na wamekiri kwamba Yesu ndio njia ya kwenda mbinguni.

Sasa wewe zubaa hapo bado ukigonga kichwa sakafuni utaenda motoni tu maanake hamna namna.
 
Hawa matapeli wenu wanaofufua mpaka wafu au????
Mbona magaidi wa kiislamu wote wanapinga mambo ya michezo ikiwamo mpira wa miguu.

Ijumaa na jumamosi Mtume Mwamposa alikuwa katika mji wa Musoma na zaidi ya waislamu 600 wameombewa na kupona na wamekiri kwamba Yesu ndio njia ya kwenda mbinguni.

Sasa wewe zubaa hapo bado ukigonga kichwa sakafuni utaenda motoni tu maanake hamna namna.
 
Mbona magaidi wa kiislamu wote wanapinga mambo ya michezo ikiwamo mpira wa miguu.

Ijumaa na jumamosi Mtume Mwamposa alikuwa katika mji wa Musoma na zaidi ya waislamu 600 wameombewa na kupona na wamekiri kwamba Yesu ndio njia ya kwenda mbinguni.

Sasa wewe zubaa hapo bado ukigonga kichwa sakafuni utaenda motoni tu maanake hamna namna.
Mkuu mm nampenda mwamposa San namkubali San

Ila nakuomba Sana usione imani yako ya kuwa mkristo Ni Bora Sana kuliko za wengine

Inasikitisha Sana unavyodharau imani za wengine kwa kuona yako ni muhimu na Bora kuliko zao Islamic

Umeanza vzr kuandika nikakupa like kumbe haya ya mwisho umeandika mavi matupu ,mavi haswa wew Ni mjinga na ujitambui kbsa shenzi kbsa
 
inabidi AU ianze kuchunguza nani anasupport Al shabab na Boko haram kipesa. haya makundi yana fadhiliwa na nani mpaka yaishi na kusurvive mpaka leo
 
Yanayompendeza mungu yupi? Na Kwa kupitia dini ipi?
Hakuna dini itakupeleka mbinguni Bali matendo yako izo dini kiongozi wako wa dini wa dhambi kulko muhadzabe wa porini je muhadzabe hatoenda mbinguni kisa hamjui Muhammad
Ok vipi Babu zako waliokufa kabla ya uyo mfanyabiashara za watumwa (mwarabu) hawatoenda mbinguni?
Unadhani ni kua uislam tu ndo wakwenda mbinguni vipi mkristo alie mtumikia mungu vizuri kabsa
 
Mbna unaweweseka ww,naona umejifcha lkn chuki zako zipo dhahiri
Hakuna dini itakupeleka mbinguni Bali matendo yako izo dini kiongozi wako wa dini wa dhambi kulko muhadzabe wa porini je muhadzabe hatoenda mbinguni kisa hamjui Muhammad
Ok vipi Babu zako waliokufa kabla ya uyo mfanyabiashara za watumwa (mwarabu) hawatoenda mbinguni?
Unadhani ni kua uislam tu ndo wakwenda mbinguni vipi mkristo alie mtumikia mungu vizuri kabsa
 
Back
Top Bottom