World Islamic Cup, 2022 Qatar

World Islamic Cup, 2022 Qatar

Hivi hujajishtukia tu kua umegeuka kituko kwenye hii thd? udini unakutesa sana aisee,huu muda unaoutumia kupambana na jambo usiloliweza kwanini usiutumie kujifundisha kuandika lugha yako kwa ufasaha?
Acheni unafiki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mashoga wamepigwa ban,acha kukikimbia kimvuli chako,tunajua hasira zenu zinatokana na hilo tu.
Kama wewe inshu zako ni mashoga sawa..endelea kuwafuatairia...wapigwe ban wasipigwe ban..maisha lazima yaendelee.

#MaendeleoHayanaChama
 
Qatar kwenye draft tunasema wamepelekewa mbuzi kavimba lazima hiyo ngoma wafe wao walijua Kombe la Dunia ni kujenga viwanja vizuri tuu kumbe ni pamoja na kubeba mambo yote ya Magharibi na hapo wanaolalamika sana ni wale wapinzani wao UK baada ya kumpeleka Beckham kuwa balozi wao kugombania nani ataandaa hili Kombe kushindwa wao kila kukicha ni visa juu ya visa UK wana kachuki fulani kaasili ambako hata wakitolewa mapema wataendelea kuongea na wale vibaraka wao na Makoloni yao wataendelea kupiga kelele hii ndio Dunia bhana ukielewa miguu yake hakuna tatizo maana hizo Pbe wanazopiga kelele sehemu zingine zipo wao wanataka mpaka viwanjani ziwepo yaani hawawezi kuvumilia kwa masaa matatu tuu...
 
Kama wewe inshu zako ni mashoga sawa..endelea kuwafuatairia..wapigwe ban wasipigwe ban..maisha lazima yaendelee.

#MaendeleoHayanaChama
Nimekushauri kua huu muda unaoutumia hapa kutema pumba,ni bora uutumie kujifundisha kuandika kwa ufasaha lugha yako.
 
Nimekushauri kua huu muda unaoutumia hapa kutema pumba,ni bora uutumie kujifundisha kuandika kwa ufasaha lugha yako.
Sawa mwalimu wa kiswahili...waambie bwana zako waarabu waache unafiki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wazungu hawatarudia kupeleka World Cup Uarabuni.
 
Mashoga ni marufuku Qatar huo ndio ukweli mchungu msiotaka kuukubali,nakujibu ili huo ujinga wako usije ukaaminika na kuipotosha jamii.
Nimekwambia siungi mkono ushoga..au wewe basha nini mbona unakomalia ushoga wakati mambo mengi yanazungumziwa kuhusu Qatar.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nimekwambia siungi mkono ushoga..au wewe basha nini mbona unakomalia ushoga wakati mambo mengi yanazungumziwa kuhusu Qatar.

#MaendeleoHayanaChama
Unaandika vitu ambavyo hujui hata maana yake,unatia huruma aisee,udini unakutesa sana muimba kwaya.
 
Back
Top Bottom