World Islamic Cup, 2022 Qatar

World Islamic Cup, 2022 Qatar

Ina husu islamic world cup...au ulidhani inahusu nini??

#MaendeleoHayanaChama
"Ina husu" hili neno mbona halipo katika uandishi wa lugha ya kiswahili?

Nilidhani The Icebreaker anakuona kumbe ni kweli , sasa kwa nini muda unoutumia hapa kubishana usiutumie kujinza kuandika lugha yako kwa ufasaha walau uepukane na makosa ya wazi kama kama hayo ?
 
Umeanza kuamini uwepo wa Dini na uwepo wa Mungu toka lini? najua utakuja kujishaua hapa ila umeshajulikana,ukweli hua haujifichi siku zote.
Wewe ngumbaru jifunze kusoma kwa ufahamu na acha logical non sequitur.

Nikisema umevaa kibwaya kama cha Kipepe hapo maana yake naamini mtu anayeitwa Kipepe yupo?

Blood claat nincompoop.
 
Kiburi Cha uzima ndo kinatufanya kuwa faithless Hadi kukosa Hekima!
Hujajibu swali.

Mungu wako asiponipa hekima na hivyo nikakosa knowledge, hapo litakuwa kosa lake kwa kuwa yeye hajanipa hekima au kosa langu kwa kuwa yeye hajanipa hekima?
 
Na mechi zote zitapigwa na kanzi... na vilemba vya kichwani...
 
Kama DNI ya kweli ndio Muslim Bora niende motoni lkni sio kua Muslim.sababu najua dini yao ni ya mchongo na maigizo tu .
 
Hawa wangese waandae world cup yao waweke warabu wenzao
 
Wewe ngumbaru jifunze kusoma kwa ufahamu na acha logical non sequitur.

Nikisema umevaa kibwaya kama cha Kipepe hapo maana yake naamini mtu anayeitwa Kipepe yupo?

Blood claat nincompoop.
Unajishaua tu kwa upuuzi na kuandika matapishi ila ulisha someka,au ulijisahau? ndio maana umetema povu hapa kama mgonjwa wa kifafa,kwa kawaida ukweli hua unauma,sikushangai.
 
Unajishaua tu kwa upuuzi na kuandika matapishi ila ulisha someka,au ulijisahau? ndio maana umetema povu hapa kama mgonjwa wa kifafa,kwa kawaida ukweli hua unauma,sikushangai.
Nimejulikana nini, vipi, wapi, kwa maneno gani? Kwa mantiki gani?

Jenga hoja, acha viroja.
 
Hawa wangese waandae world cup yao waweke warabu wenzao
Na wewe kaanzishe World cup ya mashoga,wao wamekataa ushoga,hili povu halitobadili kitu,World cup ya Qatar hawataki ushoga kwenye nchi yao,kila nchi ina taratibu zake na sheria zake na unapoenda kwenye nchi za wenzako ni lazima ufuate taratibu na kanuni zao.
 
Hapo Kwa kweli sioni dini, Bali naona maadili mema kabisa.....hata mm mkristo nakubaliana na Qatar.
Leo hii wakristo tumekuwa watu wa ajabu Sasa tunafundishwa misimamo ya kiimani na Waislamu, sisi tumebaki tunachezacheza na comedy za dini.
Tumeanza na kusapoti mambo ya kijinga sana
 
Wewe umejenga hoja gani? acha kurukaruka kama Kangaroo,hivyo viswali vyako vya kipuuzi kawaulize wenzako wa level yako.
Nimekupa nafasi ya kujieleza na kuthibitisha madai yako, umeshindwa.

Unapapalika kama kuku aliyekatwa kichwa na kuachiwa.

Sina muda wa kujibizana nawe. Hujafikisha viwango vyangu vya watu wa kujibizana nao.

Nakupeleka ignore list.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Back
Top Bottom