Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikanyaga china watamnyonga.Akitoka huko aende China [emoji630]
Ova
Bora akamatwe na dawa za kulevya China sio kwenda na uchochezi wake maana yeye kila alipo wanamfungia tuu, China watamuua tuu.Akitoka huko aende China [emoji630]
Ova
Usipate shida anza kumfuatilia Youtube Andika Dr. Zakir Naik ufuatilie mijadala yake na japo kwa nusu saa kila siku utapata mwanga wapi amesomea lakini hasa Dr Zakir ni nani na anaongelea juu ya nini na elimu yake hasa ana uwezo ganiHuyu udaktari kasomea wapi? Hiko chuo kifungwe
Nimeongea vizuri kwenye hizo hoja uliyoweka juu ya kilichozushwa na hao makafir dhidi yake lengo likiwa ni nini lakini hakukutwa na hiyo hatiawewe na polisi wa india nani anayemfahamu
Fuatilia mijadala yake youtube andika Dr Zakir Naik tu inatosha utajua nini hasa Dr Zakir anaongelea otherwise utakuwa muoga kuhofia Imani yako ambayo ulirithi tu kwa babu zak, msikilize kwnza kabla ya kumpeleka ChinaBora akamatwe na dawa za kulevya China sio kwenda na uchochezi wake maana yeye kila alipo wanamfungia tuu, China watamuua tuu.
Wewe yako uliirithi kutoka kwenye monsoon wind kipindi waarabu wanavamia na majambia.Fuatilia mijadala yake youtube andika Dr Zakir Naik tu inatosha utajua nini hasa Dr Zakir anaongelea otherwise utakuwa muoga kuhofia Imani yako ambayo ulirithi tu kwa babu zak, msikilize kwnza kabla ya kumpeleka China
Acha woga ingia youtube, mimi naskiliza zote halaf nafanya maamuzi acha khofu, go and watch..Wewe yako uliirithi kutoka kwenye monsoon wind kipindi waarabu wanavamia na majambia.
Huyu jamaa ni qualified Medical DoctorHuyu udaktari kasomea wapi? Hiko chuo kifungwe
Akikutana na mwamba Championship ambaye ameenda huko ni lazima huyo Zakir atampokea Yesu Kristo na kuokoka.Kwa wale waliokwenda kutazama kombe la dunia usije kushangaa wanamaliza wanaenda kuiji
Akienda kwa wavimbamacho niite umbwa [emoji23]Akitoka huko aende China [emoji630]
Ova
Hivi wewe Execute na Championship ni ID moja si ndio?Akikutana na mwamba Championship ambaye ameenda huko ni lazima huyo Zakir atampokea Yesu Kristo na kuokoka.
Hapana ila tuko pamoja kwenye kuwaelimisha waislamu kuhusu kitabu chao ambacho wamezoea kukikariri.Hivi wewe Execute na Championship ni ID moja si ndio?