World Islamic Cup, 2022 Qatar

World Islamic Cup, 2022 Qatar

Ila unaamini kuwa yesu alikuwa anakunya japo hakuna aya katika biblia kuwa yesu alikuwa anakunya.
Ila kutahiriwa kwa Muhammad hauamini sababu hakuna aya.
Ni ajabu kabisa.
Tunaongelea agano , kunya ni wapi iliwahi kuwa ni agano
 
Unasema kutahiriwa ni agano.
Nikikwambia paulo anampinga Mungu wenu UTABISHA?
Yeye anasema kutahiriwa si KITU.wewe unasema kutahiriwa ni agano.NANI MKWELI?
Tunaongelea agano , kunya ni wapi iliwahi kuwa ni agano
Screenshot_20221203-202759.jpg
 
Ila unaamini kuwa yesu alikuwa anakunya japo hakuna aya katika biblia kuwa yesu alikuwa anakunya.
Ila kutahiriwa kwa Muhammad hauamini sababu hakuna aya.
Ni ajabu kabisa.
Agano ni kitu tofauti, agano la Abraham halipo kwa Muhammad

Mifano Yako Haina mashiko
 
Wewe umesema kutahiriwa ni agano.paulo anasema kutahiriwa SI KITU KATI YA WEWE NA PAULO NANI MKWELI?
Unataka kusema Muhammad aliiga andiko na wala hakujua maana yake , yeye akaamua kuwa govi
Screenshot_20221203-202759.jpg
 
Mimi nimeweka aya.hicho unachokiita wewe commentary ya verse ndo kitu gani.nani MKWELI Kati yako na Paulo?
Kasome commentary ya verse , ndio maana nimekwambia Muhammad alisoma apo hakuelewa akaamua kuwa govi
Screenshot_20221203-202759.jpg
 
Mimi nimeweka aya.hicho unachokiita wewe commentary ya verse ndo kitu gani.nani MKWELI Kati yako na Paulo?View attachment 2434804
Aya haisomwi kama chiriku Kwa kukariri unatakiwa ujue Kwa Nini Paul aliandika hivyo na alikuwa anaongea na watu gani

Ata usomaji wa Koran unakitu kinaitwa asbab Al nuzul

Mpaka sasa hujajibu kwa Nini Muhammad hakutairiwa
 
Kwa kutahiriwa ni agano au sio agano?
Aya haisomwi kama chiriku Kwa kukariri unatakiwa ujue Kwa Nini Paul aliandika hivyo na alikuwa anaongea na watu gani

Ata usomaji wa Koran unakitu kinaitwa asbab Al nuzul

Mpaka sasa hujajibu kwa Nini Muhammad hakutairiwa
 
Wewe nimekuuliza Kuna aya yesu aliingia chooni kunya?umejibu?
Unaulizaje swali wakati swali langu hujajibu? Swala la kutahiriwa ndio itatupa jibu Muhammad ni abrahamic au la , kwamba kaiba tu maandiko ya waisrael kafanya yake kafanya uizi wa kazi plagiarism
 
Nilishakwambia kutahiriwa ni faragha ya mtu .na pia haiwezekani mtume wa Mungu kuacha kutahiriwa.pia kutahiriwa ni Mila na tamaduni ya waarabu.na Muhammad alikuwa mwarabu.hilo Jambo haliitaji aya.
Ni sawa na kwenda chooni kwa yesu tunajua alikuwa binadamu kwa hyo ni lazma alikuwa anakwenda chooni hatuhitaji aya ndo tujue yesu alikuwa anakunya
Unaulizaje swali wakati swali langu hujajibu? Swala la kutahiriwa ndio itatupa jibu Muhammad ni abrahamic au la , kwamba kaiba tu maandiko ya waisrael kafanya yake kafanya uizi wa kazi plagiarism
Screenshot_20221203-202759.jpg
 
Nilishakwambia kutahiriwa ni faragha ya mtu .na pia haiwezekani mtume wa Mungu kuacha kutahiriwa.pia kutahiriwa ni Mila na tamaduni ya waarabu.na Muhammad alikuwa mwarabu.hilo
Kwa hiyo Allah hakuna faragha kwa Abraham akatuhadithia mpaka amejitairi na shoka ,akaona faragha ni Kwa muhammad

Wewe jibu Kwa Nini Muhammad hakutairiwa? Je ni agano la govi Kati yake na Allah au?
 
Haya nipe aya nabii Adam wa kwenye biblia alitahiriwa.alitahiriwa na Nani?
Kwa hiyo Allah hakuna faragha kwa Abraham akatuhadithia mpaka amejitairi na shoka ,akaona faragha ni Kwa muhammad

Wewe jibu Kwa Nini Muhammad hakutairiwa? Je ni agano la govi Kati yake na Allah au?
 
Back
Top Bottom