Kichaa.Hii nchi ni tajiri, Tanzania ni Tajiri sana ndugu zangu
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani
Tunakumiss ila tunakushukuru kwa kutuachia chuma kingine Samia Suluhu Hassan, Mama wa taifa.
Mama anasema KAZI IENDELEE ๐ช
Mtanyooka tu na tunaambiwa kua strategies za sgr ni tangu enzi ya mkapa ๐๐๐. Inabid mtunze legacy kwa mtutu
Ila nakuhurumia san kupambania legacy ambayo inafumuliwa kila kukicha ๐๐๐๐Hakuna kandokando bovu zaidi yako๐๐๐๐
Wala sina neno na Samia issue ni huu ujinga wenu wa legacyUtanyooka wewe. Subiri Rais wa kwanza mwenye jinsia ya kike akuonyeshe vile kazi inaendelea
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan
Goodguy๐๐Huyu mzee katuamsha usingizini, watanzania wengi ni watu wa kuchukulia poa kila jambo na wafuata mkumbo.
Endeleeni na upuuzi wenu wa kuabudu wazungu mtakula makombo ya nchi yenu viuno nyie.
Huyu mzee alikuwa na uthubutu, Namuomba Mungu atuletee mwingine kama huyu anyooshe wajinga wachache waliosalia.
Hatuwezi kuishi kipuuzi puuzi bila msimamo na kuamini mawazo yetu.
Basi ndo kaamua kutapika nyongo. CCM ijaribu kumgusa anukeHuyo jamaa bila CCM maisha yake magumu sana.
Hakuna samaki mjanja nje ya maji.Basi ndo kaamua kutapika nyongo. CCM ijaribu kumgusa anuke
Swala la SGR hili kila mtu ameona . ... Ujenzi umeanza na JPM. Hilo nalo mnataka kupindisha?Mtanyooka tu na tunaambiwa kua strategies za sgr ni tangu enzi ya mkapa ๐๐๐. Inabid mtunze legacy kwa mtutu
Tatizo lenu hamjui kua serikali huweka mikakati ya kimaendeleo kati ya miaka 10-50 na kuendelea so hilo la sgr hajabuni yeye ni moja ya mpango mkakatiSwala la SGR hili kila mtu ameona . ... Ujenzi umeanza na JPM. Hilo nalo mnataka kupindisha?
Imeisha hiyooRest in peace JPM.