pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Potelea mbali, inaitwa 'butua uokoe na wenzako'Kuna muda nikikaa kuna mawazo yanakuja na kuniambia huenda kifo cha mzee Magufuli kilikuwa na mkono wa watu kadhaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Potelea mbali, inaitwa 'butua uokoe na wenzako'Kuna muda nikikaa kuna mawazo yanakuja na kuniambia huenda kifo cha mzee Magufuli kilikuwa na mkono wa watu kadhaa.
Wanaowapatia hao wazungu huo utajiri ni kina nani..? Jibu ccm na mwendazake akiwa miongoni mwao...mchana wanahuburi kujitegemea usiku wanawapigia magoti kuomba mikopooo...ukitaka kuamini kaangalie kiwango alichokopa tokea aingie madarakaniKuna watu wanaamini kabisa kuwa Tanzania ni masikini huku wazungu wanachukua utajiri hapa hapa nchini.
R.I.P JPM
Ungeishia kwa huyo mmoja ulivomalizia haitoki moyoni...Hii nchi ni tajiri, Tanzania ni Tajiri sana ndugu zangu
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani
Hata wasiompenda kwa kuwabana kwa maslahi ya taifa wanakubali kazi zake
View attachment 1849270
Tunakumiss ila tunakushukuru kwa kutuachia chuma kingine Samia Suluhu Hassan, Mama wa taifa.
Mama anasema KAZI IENDELEE [emoji123]
Utakuwa unaishi Nyuma ya wakati wako.Wanaowapatia hao wazungu huo utajiri ni kina nani..? Jibu ccm na mwendazake akiwa miongoni mwao...mchana wanahuburi kujitegemea usiku wanawapigia magoti kuomba mikopooo...ukitaka kuamini kaangalie kiwango alichokopa tokea aingie madarakani
Mama D, ukweli ni kwamba anyemsifu sana magufuli amempunguzia sifa mama Samia. Na anyemsifu sana mama Samia amempunguzia sifa Magufuli. Anayewapa sifa sawa huyo ni mnafiki wa kiwango cha juu sana kama ni joto basi kitayeyusha chuma!Ila nakuhurumia san kupambania legacy ambayo inafumuliwa kila kukicha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nchi ni tajiri, Tanzania ni Tajiri sana ndugu zangu
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani
Hata wasiompenda kwa kuwabana kwa maslahi ya taifa wanakubali kazi zake
View attachment 1849270
Tunakumiss ila tunakushukuru kwa kutuachia chuma kingine Samia Suluhu Hassan, Mama wa taifa.
Mama anasema KAZI IENDELEE 💪
Ungeishia kwa huyo mmoja ulivomalizia haitoki moyoni...
Ukifikiri vizuri, kwa utulivu - kwa upana na urefu na kina; there is only one conclusion; Umaskini wa Tanzania unatokana na CCM, Yaani CCM ndio mhimili wa umaskini wa nchi na wananchi wa Tanzania - kwa sera mbovu, uongozi mbovu na ukosefu wa dira na welede ambao umejikita katika kila ngazi ya CCM.Kuna watu wanafikiria Tanzania kuwa nchi maskini ni sifa kwa mabwana zao
Sikia neno hapa
View attachment 1848789
Naunga mkonyo honyaPotelea mbali, inaitwa 'butua uokoe na wenzako'
WAAFRIKA HAWAWEZI KUJITAWALA DEMOCRATICALLY PASIPO NA MKONO WA CHUMA, SIMPLY KOZ MOST ARE NOT CIVILIZED.Wakati mwingine ni bora tungewaacha tu wakoloni waendelee angalau tungekuwa na ajira tele maisha bora huduma bora za kijamii kuliko kuongozwa na chama hichi asili yake ni muunganiko wa vyama vya kichawi vilivyomwendea shetani awasaidie kuwaondoa wakoloni.Tabu tupu unakufa kwa kukosa panadol ya 500.
ni jambo jingine na utekelezaji ni jambo jingine pia .Tatizo lenu hamjui kua serikali huweka mikakati ya kimaendeleo kati ya miaka 10-50 na kuendelea so hilo la sgr hajabuni yeye ni moja ya mpango mkakati
Bila mjeredi haendi.Wajerumani,makaburu walikuwa right.WAAFRIKA HAWAWEZI KUJITAWALA DEMOCRATICALLY PASIPO NA MKONO WA CHUMA, SIMPLY KOZ MOST ARE NOT CIVILIZED.