MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Kiukweli gadner angekuwa baba mkwe wangu ...sema ndo hivyo niliachana na karen ...... its was great loveNalaani tabia ya watu wengi waliobaki kutokuheshimu wosia wa Marehemu.
Gardner alisikika mara kadhaa redioni akisema siku akifariki wimbo wake pendwa " do you want a beer" kutoka Zimbabwe upigwe msibani, naomba wosia huu uheshimiwe na kila aliyebaki.
View: https://youtu.be/K08KPcivpv8?si=3AzwB3M_YnU_Pjo-
Mtoto mtamu sana yule.Kiukweli gadner angekuwa baba mkwe wangu ...sema ndo hivyo niliachana na karen ...... its was great love
Acha wivu kwa marehemuHakunaga marehemu mwenye sifa mbaya sijui kwanini! Eti Gardner naye wakasema alikuwa na heshima kwa wanawake, sifa zooote za malaika wa mbinguni anapewaga marehemu! Na kati alikuwa akisemwa kakosa mwelekeo anakunywa pombe kawa kama wale wanywa matap tap alitukanaga wanawake hadi kigwangala akaingilia afu leo anapambwa mi sijui nikoje moyo wangu ushashindwa unafki
Mimi wakati yuko last year IFM paleMtoto mtamu sana yule.
Tunabaki na fumbo la nani kaanza🤔
Naunga mkono hojaIlo song ni nomq sana
wasisahau pia ile honi ya Panton ilie mara 21
kwanini umeifuta... na umeifutaje...?Waipige waache masikhara!
Niliwaambia marafiki zangu mwaka juzi siku nikifa nizikwe na picha ya mama angu. Hii kauli NIMEIFUTA...!