Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kataka apigiwe wimbo wake pendwa.MATAKWAAAA YAAAPI NDUGUUUU HAYO MANENO HATA KHANGAN YAMOOO
WATU WALITAKA WAWE CHIN MASAA 72 KENYA WAKASHINDWA SEMBUSE NYIMBO.PENDWA NAKWAMBIA NENDA MSIBAN ZILE NYIMBO HAPOOJUU ZINAMHUSUUUSi kataka apigiwe wimbo wake pendwa.
Niko hapo mkuu.WATU WALITAKA WAWE CHIN MASAA 72 KENYA WAKASHINDWA SEMBUSE NYIMBO.PENDWA NAKWAMBIA NENDA MSIBAN ZILE NYIMBO HAPOOJUU ZINAMHUSUUU
Bro hayo maneno yako + huyo digi digi mna tuzingua Sana 🤣 😂WELAWELAAAAAAA
MAREHEMU ANAWAJALI SANA WALEVI MAANA HUO WIMBO HAUWEZI PIGWA BILA KUWAPA WATU BIA.
View attachment 2969861
Kuwa na kusamehe JideHakunaga marehemu mwenye sifa mbaya sijui kwanini! Eti Gardner naye wakasema alikuwa na heshima kwa wanawake, sifa zooote za malaika wa mbinguni anapewaga marehemu! Na kati alikuwa akisemwa kakosa mwelekeo anakunywa pombe kawa kama wale wanywa matap tap alitukanaga wanawake hadi kigwangala akaingilia afu leo anapambwa mi sijui nikoje moyo wangu ushashindwa unafki
Bila shaka alieanza hakuanza nae akiwa vile.Mtoto mtamu sana yule.
Tunabaki na fumbo la nani kaanza🤔
Mwenye hiyo jingle atuwekee hapaIlo song ni nomq sana
wasisahau pia ile honi ya Panton ilie mara 21
Kweli mkuu alikuwa bado sana wakati napita 2012.Bila shaka alieanza hakuanza nae akiwa vile.
Nalaani tabia ya watu wengi waliobaki kutokuheshimu wosia wa Marehemu.
Gardner alisikika mara kadhaa redioni akisema siku akifariki wimbo wake pendwa " do you want a beer" kutoka Zimbabwe upigwe msibani, naomba wosia huu uheshimiwe na kila aliyebaki.
View: https://youtu.be/K08KPcivpv8?si=3AzwB3M_YnU_Pjo-
KichagaSinywi beer ila wimbo mzuri sana.
"Beer i love you dont tell somebody "
Rudia huo wimbo imba mara tatu utuandikie hapa umeimbaje
Wakuu mnanipa maumivu sana mimi ambaye nipo nae kwa sasa, kuweni wanaume acheni uvulanaKweli mkuu alikuwa bado sana wakati napita 2012.
Uvulana ndio nini?Wakuu mnanipa maumivu sana mimi ambaye nipo nae kwa sasa, kuweni wanaume acheni uvulana