Wosia wa Gardner lazima uheshimiwe, wimbo wake wa "Do you want a beer" lazima upigwe msibani

Wosia wa Gardner lazima uheshimiwe, wimbo wake wa "Do you want a beer" lazima upigwe msibani

MH WA JESHI KENYA KAANDIKA AZIKWE MASAA 72 WATU WAMEPITILIXA NAYO HAPA NIKO AIRPORT NARUD DAR ...USIOGOPÈEE AMINI
 
WATU WALITAKA WAWE CHIN MASAA 72 KENYA WAKASHINDWA SEMBUSE NYIMBO.PENDWA NAKWAMBIA NENDA MSIBAN ZILE NYIMBO HAPOOJUU ZINAMHUSUUU
Niko hapo mkuu.
Acha tu tumzike baba mkwe kwanza. Tutafatilia haki yake ya kupigiwa huo wimbo baadae.
 
Hakunaga marehemu mwenye sifa mbaya sijui kwanini! Eti Gardner naye wakasema alikuwa na heshima kwa wanawake, sifa zooote za malaika wa mbinguni anapewaga marehemu! Na kati alikuwa akisemwa kakosa mwelekeo anakunywa pombe kawa kama wale wanywa matap tap alitukanaga wanawake hadi kigwangala akaingilia afu leo anapambwa mi sijui nikoje moyo wangu ushashindwa unafki
Kuwa na kusamehe Jide
 
Umeondoka umekwenda mbaalii, nani wakunifuta machozi, nailazimisha furaha ingawa moyoni na machoziii ~Jidee
 
Nimemuona Mpoto nae kama kawaida yake akitoa salamu,akadai pamoja na kuwa yeye huwa anakuwa kwenye shughuli za watu mashuhuri sana leo yupo hapo kusherehekea, nimemuona kanyoa nyusi, sijui imekuwaje mwanaume kunyoa nyusi!
 
Sinywi beer ila wimbo mzuri sana.

"Beer i love you dont tell somebody "

Rudia huo wimbo imba mara tatu utuandikie hapa umeimbaje
 
ADMN NIPE WIMBO WA DUNIA TUNAPITA EEEH UKIMALIZA WEKA WA WEMA....WA REMMY ONGALA
POLEN SANA DADA JD
 
Back
Top Bottom