Wosia wa Gardner lazima uheshimiwe, wimbo wake wa "Do you want a beer" lazima upigwe msibani

ADMN NILINDE IMEBIDI NIINGIE STUDIO KWA MUDA KUKUMBUKA KUMBUKIZI
 

Attachments

  • FB_IMG_1713759036508.jpg
    48.2 KB · Views: 7
Kwa afya yake ilivyokuwa alikuwa hana muda mrefu ,ila kuna watu kama professa jay roho ngumu balaa
 
Unakataaje au ulikuwa mkewe

Kama lady JD Amelia kashindwa kujizuia unajua Amelia kwa sababu zipo ,itakuwa ni ubora wa Gardner

Pia ,usiwe mzito kuelewa ubora wa sisi wanaume kwawanawake ni kitandani kuwakamua na sio Hela hela baadae
 
Unawajua wachagaa wa Rombo wewe ? Watu watakunywa Pombe mpaka wengine watafia huko huko sembuse wimbo tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…