Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Tena mauno umkatie mtu mwenye umri wa baba yake. Bibi yangu aliniambia pesa kuitoa mfukoni mwa mwenzio iwe mfukoni mwako si shughuli ndogo.
Alizuga kuanzisha biashara ya furniture, Amorrette akawa anahonga mpaka Forbes wanamtangaza kwenye exhibitions za kibiashara anaenda Dubai kumbe zilikuwa mbwembwe tu.

Dunia ina maigizo sana. Ndio maana inashauriwa, kutotamani maisha mtu.

Kila mtu kabarikiwa kuliko anavyodhani vyovyote alivyo.


 
Wata appeal , ngoja tuone. Huyo Ntulabaliye alikuja kurithi mali, maana katika hali ya kawaid huwezi kulipenda lizee la uri huo kama hana mali. Kuna driving force ilimleta pale. Uzinzi mbaya na lizee likaingia mkenge!
 
Huyo Jack ni msanii tu
Alidhani mali ya mchaga inapotea kizembe hivyo?
Bora angeandika nusu kwa nusu,lakini kila kitu kajiandika yeye!
 
Dah kulamba 100% ya urithi hata watoto wa primary level wanaweza kususpect kuwa something is fishy about the whole thing.
Afu bila aibu eti "Atakayekata rufaa mahakamani na kushinda, apewe tshs buku moja" ... Yaani mwendazake aliamua kabisa kuipangia mahakama....???

Matusi mengine ni bora uitwe kuku asiyevaa viatu...

Jamaa wangeamua kufanya autopsy unaweza kukuta haka kaJaklini kalimdedisha mzee wa watu mara tu baada ya kuiweka will fake kwenye sidiria yake...
 
kama hujui kiswahili, Title umeandiakje na umeipata wapi
Aiseee acha kumpa stress huyu Dada za makasiriko.Kwani tatizo Ni Nini so nenda kwa Mange au Google au huko huko mahakamani? Imekuwa kesi sasa
 
Hapo Jack ajindae kukaa chini ya mila zetu za kichaga. Atapata tunachoona kinafaa kumsaidia na sio more.
Sisi ndio WACHAGA TAIFA TEULE TANZANIA MZIMA.
Wasukuma fools mpoooo.
 
Ni funzo kwa wanawake mnaotaka kuolewa kwa ajili ya kujipatia mali
 
Hakuwa Yeye ulichapishwa na wanasheria kanjanja we uliona Ni mwandiko Wake?
 
Kwamba hata wakienda mahakamani wapewe buku
Hii sio akili ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…