Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Yaani Jack bwana ...muda ule ilikuwa muda mzuri sana kufungua kampuni yake akakimbizana nayo ikasimama..mweee kwenye miti jamani!
Alianzishiwa....but akili yake ilikuwa kula bata tuuu.......alitakiwa atulie kimya....wangemfikiria asingekosa mali za kuanzia, isitoshe anao watoto na mzee.......marafiki zake ndio waliomponza........wacha tumvizie tuone kama mzigo bado kabana....
 
Mpaka hapa naona kumbe hakuna haja ya kuandika wosia, kutokana kwamba unaweza kufuatwa au kutofiatwa kwa kuzingatia sheria, Basi Bora tu kuacha sheria ichukue mkondo wake..
 
True. True.

But mwanamke njia rahisi ya kuwa vema katika ndoa ni kuwa busy katika biashara na mume wako.

Kama ana biashara promising na inalipa, join in kwa ridhaa yake everything will turn out okay. In the past faulo zilikuwa nyingi kwa wanawake ila nowadays wanaume wapo very conscious kuhusu domestic violence kushinda hata wanawake so huwa sioni point ya wanawake kuact or behave hostile or defensive towards wanaume wao katika ndoa.

Women need to be re-educated because they have been miseducated for a while now.
 
Yeye angetakiwa achukue angalau 25, 75 awaachie watoto wakubwa wa marehemu akutumia akili hata kidogo

Kama ule wosia amefoji swali la kujiuliza hata kifo Cha mengi kitakua na utata, ingekua nchi nyingine polisi wangekua na sehemu ya kuanzia
Hii bongo askari wetu ukiachia kupiga tu sijui uwezo gani mwingine wanao
 
Unamgeuza incubator tu. Unampa ujauzito unachukua mtoto unalea mwenyewe na housegirl hadi anakuwa mkubwa akianza kwenda sekondari tayari kazi imeisha.
 
Haujalewa bado, demu alikuwa na mission yake so akatengeneza mazingira ya kumganda huyo mzee kupitia ndoa na watoto aliozaa nae.
 
Yaani Jack bwana ...muda ule ilikuwa muda mzuri sana kufungua kampuni yake akakimbizana nayo ikasimama..mweee kwenye miti jamani!
Kabisa hakuna wajenzi. Tena angesapotiwa kwa haraka,huku akichota kutoka kwenye kampuni mama,kuvutia kwenye kampuni yake.
 
Dada naona analialia twitter ila na majibu anayapata. Mimi nilitegemea angeelewa makosa yake kwa hiyo hukumu ila bado kichwa ngumu sasa asubiri kutoka damu masikioni maana atapewa 1,000. Mali wanapewa watoto yeye atapewa mkopo wa mtaji.
Ego.... Too much... Big and fat Ego leaves no space for intelligence.
 
Haujalewa bado, demu alikuwa na mission yake so akatengeneza mazingira ya kumganda huyo mzee kupitia ndoa na watoto aliozaa nae.
wewe bwana kama mzee alikuwa hataki mambo ya relationship mbona kwa hela alizokuwa nazo alikuwa anakula mbususu atakayo tena kwa condition kuwa nasassambua na hatujuani.
kwani ukiwa billionea kuna mwanamke hapa duniani atakataa kuwa sexmate wako? kama yupo basi huyo mwenyewe tayari billionea.
 
Watoto ni mali ya jamuhuri, na jamuhuri yenyewe ndio sisi.... So lazima tuwateteee hawa watoto kwa masilahi ya baadae.

Infact kwann tusifile for custody......?!
Hahaha twende front mkuu. Twendee. Sisi ndo jamhuri yenyewe. We are the power. Hatutaki ujinga. Halafu anawatisha watoto wa marehem maskini. I feel so bad for them. Anataka tumia connections zake. Kwa hili tunamuomba jk akae pembeni kbs. Asije kutuharibia furaha
 
Namshangaa anatetea malaya. Tunapenda haki. Hao watoto wa likwelile ni yatima. Anataka nani awasimamie kuwatetea kama siyo sisi ulimwengu? Na tutamsagia kunguni pia mpaka kieleweke.
Unajua hawa wanawake wanaotafuta maisha kupitia miili yao wanapenda sana kujivika vazi la kuonewa mara tu mitikasi zako zikivurugwa.
 
Kabisa hakuna wajenzi. Tena angesapotiwa kwa haraka,huku akichota kutoka kwenye kampuni mama,kuvutia kwenye kampuni yake.
Yaani alikosa washauri kbs yule dada .
Ila hata sasa naona bado anapenda maisha ya uslay sana...uwii umri w 40 yrs jaman uslay wa nn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…