Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Kwa nini lkn huyu dada ana nyanyasika?!!

Chama cha wanawake mteteeni mwanamke mwenzenu apate HAKI yake.

Kuna chama cha wana sheria wanawake, kuna taasisi mbali mbali..,

Kwa maoni yangu huyu Mjane wa Mengi anayo HAKI ila kuna hila zinafanyika kuhakikisha kuwa anakosa HAKI yake.

Bado anayo fursa ya kwenda mahakama za juu zaidi, kamwe asikate tamaa, sisi watetezi wa HAKI za walio dhulumiwa au kunyanyaswa tupo nyuma yake hadi atakapo fanikiwa.
Dah naomba wajoin hii vita halafu waone balaa lake..... One condition, vita visipiganwe kimya kimya.
 
hawamfikishi......atakufa kwenye mali za wenyewe.......so yule mualabu alikuwa eat n run.....wakiponda mali za Machache........Amorette walikuwa client wangu....nilipiga pesa sana.....angenisikilzaga hata kiduchu tuu.....angeweza kuwa na kitu kwenye ramani ta TZ.
Ulimshaurije kwan?
 
Kwenye Ile will iliyokataliwa Mahakamani clause 21 ilikuwa inasema kama Watoto wa Mengi wakubwa wakiamua kwenda Mahakamani basi wapewe shilingi elfu moja. [emoji2][emoji2][emoji2]

.....
Wosia Wa Jaq Unasema Watoto wakubwa Wa Mzee Mengi wakiamua kwenda kwa court wanakula buku,wakikausha wanakula zero regardless ya hisa zao zingne hizo.[emoji38][emoji38]
Duuh,am seeing things
 
Uko sahihi kabisa. Jacky alijilengesha na alimpora mwenzake. Yaan ilikua ni target kbs. Ni kwasababu she wanted a gucci life[emoji23][emoji23]

Huko twita ndo amekosea kabisa kupeleka jambo lake. Anakula spana za akina funjo balaa. Ngoja nikamuue tena
anatumia jina gani Twitter
 
Uko sahihi kabisa. Jacky alijilengesha na alimpora mwenzake. Yaan ilikua ni target kbs. Ni kwasababu she wanted a gucci life[emoji23][emoji23]

Huko twita ndo amekosea kabisa kupeleka jambo lake. Anakula spana za akina funjo balaa. Ngoja nikamuue tena
Funjo kakomenti kwenye post ipi kwenye ile tatizp twitter sio kama jamiiforum post hazifatani. Nikitaka nicapture every inch of the comments.
 
Funjo kakomenti kwenye post ipi kwenye ile tatizp twitter sio kama jamiiforum post hazifatani. Nikitaka nicapture every inch of the comments.
Ameandika kwa page yake. Ila spana anakila hapohapo kwenye tweets zake
 
wewe bwana kama mzee alikuwa hataki mambo ya relationship mbona kwa hela alizokuwa nazo alikuwa anakula mbususu atakayo tena kwa condition kuwa nasassambua na hatujuani.
kwani ukiwa billionea kuna mwanamke hapa duniani atakataa kuwa sexmate wako? kama yupo basi huyo mwenyewe tayari billionea.
Duh sijui tunabishana nini sasa na upo upande wa kile ninachosema. [emoji23][emoji23][emoji23]

Nimekwambia binti alikuwa anakaba beki zote ili amshike mzee akili. Wewe unang'ang'ania ooh mzee alikuwa na uwezo wa kupiga na kusepa, sasa si ndio nakupa sababu kwann aligandana na binti sababu binti alimkazia mzee hakuwa anataka maisha ya kuwa mchepuko, alijua mzee age imeenda so akajua hawawezi toboa zaidi ya miaka 10 mzee atasanda.....
 
Ulimshaurije kwan?
ana dharau yule....ila sikujali ....just money...alikuwa na factory nzuri sana ya furniture -Amoratte, kosa ni bei zake....soko la TZ ni zuri sana kwa interior thing.......but hakuelewa....nina wateja maalum.......mpaka mishahara alishindwa....mzee alisafiri...kampuni imekufa...alikuwa na full fuctory...
 
Hahaha twende front mkuu. Twendee. Sisi ndo jamhuri yenyewe. We are the power. Hatutaki ujinga. Halafu anawatisha watoto wa marehem maskini. I feel so bad for them. Anataka tumia connections zake. Kwa hili tunamuomba jk akae pembeni kbs. Asije kutuharibia furaha
Wale watoto wote ni wa marehemu so wana haki sawa. Alitakiwa kuwa mtulivu na kuwa nao makini si lazima sana kuwa nao karibu kama hawakuwa wakimpenda ila alitakiwa asiwaonyeshe ubabe kwenye mali ya baba yao ambayo wao kama watoto wamezaliwa na kuiona ikiongezeka plus watoto wenyewe kiumri ni wakubwa hata kwa kyln wamemzidi kiumri so hakuwa na haja ya kuwazingua.

Tena alitakiwa awe benet sana na yule wa kiume.
 
Mkuu naogopa kuandika mengine. Hakika hali si nzuri. Battle lilikuwepo sema sasa yeye ni mke mwisho wa siku. Ila nakuhakikishia yako mengi ambayo naluambia leo hii jacky angekua ndani. Me viongozi wengine wananiudhi na ustaarabu wao
Anavyozidi kuvurumua madocument anazidi kuleta complications
 
Kwa nini lkn huyu dada ana nyanyasika?!!

Chama cha wanawake mteteeni mwanamke mwenzenu apate HAKI yake.

Kuna chama cha wana sheria wanawake, kuna taasisi mbali mbali..,

Kwa maoni yangu huyu Mjane wa Mengi anayo HAKI ila kuna hila zinafanyika kuhakikisha kuwa anakosa HAKI yake.

Bado anayo fursa ya kwenda mahakama za juu zaidi, kamwe asikate tamaa, sisi watetezi wa HAKI za walio dhulumiwa au kunyanyaswa tupo nyuma yake hadi atakapo fanikiwa.
Huwa sipendagi wanawake wanaotetea ujinga ujinga .

Huyo kajikoroga mwenyewe

Acheni kubeba mizigo ya watu wajinga na wapumbavu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni kwamba, mke wa kwanza na Mzee Mengi walishagawana mali nusu kwa nusu. Na Mama alikuwa anaudumia mali hizo hadi alifariki dunia. Mali hizo kugawana watoto wawili wa Mama Mengi. Hivyo mali za Mama Mengi walishagawana watoto makubwa wawili wa Mengi na mke wa kwanza. Baada ya Mzee Mengi kufariki, zile mali alizokuwa amebakiwa nazo, ndiyo zinaleta shida. Mengi alidhani wale watoto wadogo wangeridhi hizo mali walizogawana na mke wa kwanza. Sasa yameshindikana. Na mali walizo wagawana za mke wa kwanza, watagawana tena. Mbali na mali za Mama Mercy. Watoto makubwa wanapata zaidi. Mali za Mama. Na mali za Baba.
 
Back
Top Bottom