Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua


Mwanakutaka mwanakulipata

Sasa watoto watasomeshwa na yeye atapewa kinachotakiwa kupewa kwa mjane kisheria

Akisusa wenzie wanakula
 
Wosia uliandikwa marehemu akiwa katika hali ya kutoweza kuwa na maamuzi sahihi (mgonjwa)
Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
 

Inawezekana pia uliandikwa yeye akapelekewa kutia saini tuu
 
1. Kuwa msimamizi wa mirathi haimaanishi 100% lazima u benefit na mali za marehemu

Unaweza kuwa msimamizi wa mirathi lakini kwenye mgao usipate chochote.

2. Kazi ya msimamizi wa mirathi ni kuisaidia mahakama kutambua mali zote za marehemu ili izigawe kwa kufuata taratibu za kisheria

3. Hii hukumu ni ya msingi sana kwa wale wanaodhani kuwa WOSIA ni final and conclusive
Pale ambapo wosia unaonekana una kasoro kama huu mahakama inautupilia mbali

4. Dakika za mwisho mzee alikuwa sio yeye, akaunti za WhatsApp, instagram zilifunguliwa bidada akajifanya mzee amekuwa kijana ghafla eti ni yeye alikuwa ana post.
 
Hapo wosia uliandaliwa kidijitali, kuorodhesha mali ambazo sio za marehemu ndiko kulikowaponza hao walio tengeneza wosia feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…