Jack tatizo alikua ana tamaa sana, yeye angewazuga hata kidogo.
Mtu baba yake asipate urithi hata kidogo eti alipata kwa mama yao, ngumu sana aisee.
Ni bora hata angewagana nao nusu kwa nusu, ila pamoja na yote kuwa na wale watoto wadogo hawezi kusahaulika
Mjane ana haki ya kukata rufaa!!
Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.Wosia uliandikwa marehemu akiwa katika hali ya kutoweza kuwa na maamuzi sahihi (mgonjwa)
Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
Akate basi😃😃
Inawezekana pia uliandikwa yeye akapelekewa kutia saini tuu
Siwezi kufikiri mkuuWewe unafikiri hatakata?
" MAJUTO NI MJUKUU"Haya mambo wangeyamaliza kifamilia tu. Labda sasa it's too late.
Hapo wosia uliandaliwa kidijitali, kuorodhesha mali ambazo sio za marehemu ndiko kulikowaponza hao walio tengeneza wosia fekiMahakama kuu yatupilia mbali wosia wa marehemu Reginald Mengi na kumchagua mtoto wa marehemu Abdiel Mengi na kaka wa marehemu Benjamin Mengi kuwa wasimamazi wa mirathi
Maamuzi hayo yamekuja baada ya mahakama kujiridhisha pasi shaka kwamba wosia huo uliandikwa marehemu akiwa hayuko sawa kiafya, kuna mali ambazo zimejumuishwa kwenye wosia huo kimakosa kwani sio za marehemu peke yake, na pia wosio huo umewanyima watoto wengine halali wa marehemu haki yao
Waschana wadogo kuolewa na mtu mzima mwenye mali zake sio dhambi ila mnapoolewa mkumbuke kumtunza sana huyo mume pamoja na mali zake. Pia muache tamaa inayopelekea kujenga uadui na watu wa karibu na marehemu maana matokeo yake ndio haya pale mume anapofariki
Hapa ndio Jacky ataukumbuka ule usemi wa wahenga usemao - Kisicho rizki hakiliki!
Wosia feki huoHakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
Eti mafao [emoji28][emoji28]Safi sana na iwe funzo kwa walee wapenda mafao.