Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Kuna yuke wa kike ndo alikua kipenzi cha baba balaaa. Huyu si kaolewa na watoto wawili keshazalia nje ama. Very arrogant
 
Imeisha hiyoooo
 
Cha kushangaza ni namna gani mnaweza kushauri kuhusu ndoa na affairs za watu wengine, huku za kwenu hatujui pengine zina hali mbaya..mnavyoelezea mtadhani mlikua kitanda kimoja na marehem mengi na mkewe jackline ..

Mbona inakupa shida sana!?
Wanajadiliwa kina Bill na Melinda Gate sembuse Jacky
Wacha watu wajifunze
 
Ile damu nilijua haijaenda bure.hivi yule jamaa yake wa kvant ametoka ndani?? Maana ndo alisababisha

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Sijataka fatilia ila ndugu yake alishatoka. Si unajua shayo alifungwa na kakake eh? Akaanza toka shayo ndo akafata mdogowe later huko..

Kwa huyu wa kvant kama vile nilimsikia baba akisema alishatoka. Sina hakika sana.
 
Angeweza fungua hata kampuni ya kuuza perfumes angepiga sana mpunga
marafiki wamemponza.....ila dada yake mmoja mwenye busara alimshauri sana atulie ale vinono vya mchagga tajiri....yeye anataka avimiliki.....mali usiyoichuma kamwe huwezi kuimiliki....
 
K lyn anadate mzungu sasa hv mkuu. Anaitwa ben[emoji23] ben alivyo matako anakujaga kino anashinda. Kuutwa yote
 
si za baba yao na mama yao. mi naona sawa tu. wkwa sababu wakati mengi anatafuta hizo mali mzee Ntuyabaliwe anasomea udokta na wazee wetu wengine wanakata mkaa Pori la Pugu hahaaaaaaaa........
 
marafiki wamemponza.....ila dada yake mmoja mwenye busara alimshauri sana atulie ale vinono vya mchagga tajiri....yeye anataka avimiliki.....mali usiyoichuma kamwe huwezi kuimiliki....
Yule dada yake nae alikuwapo katika mirathi ya Kylin aliyojitengezea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…