Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Ukishaona mdada anatembea na mtu mzima au mume wa mtu ujue huyo hana aibu kbs. Unaanzaje kumvulia baba yako nguo!?

[emoji23][emoji23][emoji23]aisee waja msituseme sana
Aibu tunazo
Msiseme sana hata nyie mkipata nafasi kama hizo mtazitumia vizuri
 
Inaonekana marehemu hakuwa kwenye good terms na watoto wake wakubwa
Haijalishi, ilimradi watoto hawakutembea na mke wa marehemu baba yao, na hawakukataa kumsaidia wakati anaumwa, sheria inasema ni lazima wapte urithi
 
Sheria inasema, ilimradi watoto hawakutembea na mke wa baba yao, na hawakukataa kumsaidia kipindi anaumwa, basi ni lazima wapewe urithi, chochote kinyumecna hapo, huo wosia unakuwa batili, automatically
 

Acha kabisa ilikuwa aibu kubwa sana,kuna Wageni walikuja kwa Harusi kutoka Mwanza tunafahamiana,baada ya Harusi kupaa walikuja nyumbani kusimulia,ni kweli kabisa ilibidi litengenezwe tukio la uongo la yeye kulazwa ili kuficha aibu ile na inasemekana alikuwa na kibendi cha Bwana Harusi tapeli aliitwa Charles Pai.Kibendi kiliishia wapi,nadhani na yeye hakutaka kubaki na alama ya maisha ya yule Tapeli[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Kaka unatumia wine?
Kama
Ndio ipi
Ninunue
 
Umeolewa na babu?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
hiyo ni robbery case.
 
Why wosia uandikwe kimya kimya. Wosia una taratibu zake kiasi kwamba ukiupeleka mahakamani hakuna mtu anapinga.
 
Na ukute hata hao watoto mapacha si watoto halali wa mengi

"wanaume ishini na wake zenu kwa akili"

Mwanamke hajawai kuaminika
Watoto wanafanana na dada yao, huyo mtoto wa kike wa mengi.
 
Vicky yupi?!
 
Huyu dada kashindwa kutafuta hela zake mwenyewe, anataka kutumbua za huyu Mzee wa watu aliyechuma miaka nenda rudi tena kwa shida kubwa.
Mali ya Wachaga hailiwi kirahisi hivyooo... Washauri wake wamemuingiza cha kike... Umeingia cha kikee, cha cha kikee ewaaa [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji91] [emoji91]
 
Mkuu maelezo ni hayo kwenye attachment labda kama unataka kwa kiswahili ambacho hata Mimi sijui
Mwambie tuu kwamba ule mchongo wake wa kubadilisha wosia origino wa Mzee machache umebumaaa, yaani ameingia choo cha kikeee [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…