MPWAA HUYUDADA ALIDANGANYWA NA WANASHERIA NA ...SASA WANAOMPENDA WAKAMSHAURI HAKUNA MIRATHI INAYORUKA WATOTO WA DAMUUU WANDOA HAHAHAA MALIZANA NAO NJE ELSE HUSHINDI WAPIHii ishu nilishasema toka mwanzo, Wosia ukienda kinyume na sheria, basi unajibatilisha wenyewe, watoto wa damu na wa ndoa (ya mwanzo) wa marehemu hawakuwekwa kwenye wosia bila sababu, WHY? Hiyo ni kinyume na sheria, lazima sababu iwekwe wazi!
Sasa huyu mwanamke bwege nini? Yaani mungu kakupa uzuri ule alafu kibabu kile kinakugegeda unaambulia ujinga.. idiot! Mie kwa uzuri ule mbona sasa nina billion zangu 5 account imetuliaHii ni ile beauty with hollow heads
Wosia wa kihuni Sana ule , hata Mimi ningeukataaHapo wosia uliandaliwa kidijitali, kuorodhesha mali ambazo sio za marehemu ndiko kulikowaponza hao walio tengeneza wosia feki
Subiriiiitugawaneeekwanzaahuyuuhatokii....mdadaaa anamoyoo wa chuma.khaTena watoto wamfungulie Jackline,kesi ya kugushi wosia na sahihi ya Mengi.
Wallah hii news nimekutumia toka saa 2 asubuhi. Angalia pm.
Kabisa, she was on missionNna wasiwasi na mapenzi yake kwa mzee...sidhani kama alikuwa na true love
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
🤣🤣Mashaka matupu....
Ha ha ha yes. Yaan nilikutunia asubuhi nikasema u might be very busy. Nilikutumia summary kba.
Nipe shavu mama , Serengeti boy hapaSasa huyu mwanamke bwege nini? Yaani mungu kakupa uzuri ule alafu kibabu kile kinakugegeda unaambulia ujinga.. idiot! Mie kwa uzuri ule mbona sasa nina billion zangu 5 account imetulia
Binafsi nilikuwa nawaza kama wewe ila jack alieleza kuwa kipindi mzee mengi anaachana na mkewe wa kwanza wale watoto walipewa urithi wao, mzee akabaki na mali alizobaki nazo ndio akaamua kumrithisha jack na wanawe mapachaHata mimi ningekuwa jaji ule wosia ningeupiga chini, wosia gani ule watoto wake wakubwa wasipate kitu
Sio kwamba hakuandika yeye? Na pengine hakusaini yeye? Au alisainishwa akiwa mahututi?Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
work
Hamna mwanasheria mpumbavu atapitisha kipengele Cha kipuuzi km icho.Mahakama imetenda haki.
Kwenye kile kifungu kwenye wosia eti atakae jaribu kuweka pingamizi kwenye maamuzi aliyoyatoa marehemu mzee mengi iwapo atashinda kesi apatiwe Buku. Ndio nilijua wanawake wa kuokoteza uzeeni sio wazuri
Alikua Joyce kiriaJacky alitakiwa kumtunza sana Mzee wetu pamoja na kumtunzia heshma na furaha yake kwa kuwapenda watoto na ndugu zake
Sijui mshauri wake alikua nani
Mpuz San huyu dada...kadanganywa akadanyika,alijua atachukua maliWosia uliandikwa marehemu akiwa katika hali ya kutoweza kuwa na maamuzi sahihi (mgonjwa)
🤣🤣🤣 Khaaaa urithi wa wapi huo watoto wanapata mgao wao baada tu ya mama yao kuachwa ha ha haBinafsi nilikuwa nawaza kama wewe ila jack alieleza kuwa kipindi mzee mengi anaachana na mkewe wa kwanza wale watoto walipewa urithi wao, mzee akabaki na mali alizobaki nazo ndio akaamua kumrithisha jack na wanawe mapacha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Juha kweli yuleHalafu eti kama wakienda kupinga huo wosia mahakamani wapewe shilingi elfu moja[emoji23][emoji23][emoji23]
Si ana duka lake la masofaYaani jack bwana ...muda ule ilikua muda mzuri sana kufungua kampuni yake akakimbizana nayo ikasimama..mweee kwenye miti jamani!