Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Hii ishu nilishasema toka mwanzo, Wosia ukienda kinyume na sheria, basi unajibatilisha wenyewe, watoto wa damu na wa ndoa (ya mwanzo) wa marehemu hawakuwekwa kwenye wosia bila sababu, WHY? Hiyo ni kinyume na sheria, lazima sababu iwekwe wazi!
MPWAA HUYUDADA ALIDANGANYWA NA WANASHERIA NA ...SASA WANAOMPENDA WAKAMSHAURI HAKUNA MIRATHI INAYORUKA WATOTO WA DAMUUU WANDOA HAHAHAA MALIZANA NAO NJE ELSE HUSHINDI WAPI

HAOOMAWAKILIWAKE ...ANAWAONAA MBINGU AWAIONI
 
Hata mimi ningekuwa jaji ule wosia ningeupiga chini, wosia gani ule watoto wake wakubwa wasipate kitu
Binafsi nilikuwa nawaza kama wewe ila jack alieleza kuwa kipindi mzee mengi anaachana na mkewe wa kwanza wale watoto walipewa urithi wao, mzee akabaki na mali alizobaki nazo ndio akaamua kumrithisha jack na wanawe mapacha
 
Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
Sio kwamba hakuandika yeye? Na pengine hakusaini yeye? Au alisainishwa akiwa mahututi?
 
Mahakama imetenda haki.

Kwenye kile kifungu kwenye wosia eti atakae jaribu kuweka pingamizi kwenye maamuzi aliyoyatoa marehemu mzee mengi iwapo atashinda kesi apatiwe Buku. Ndio nilijua wanawake wa kuokoteza uzeeni sio wazuri
Hamna mwanasheria mpumbavu atapitisha kipengele Cha kipuuzi km icho.

Huu wosia ulifojiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nilikuwa nawaza kama wewe ila jack alieleza kuwa kipindi mzee mengi anaachana na mkewe wa kwanza wale watoto walipewa urithi wao, mzee akabaki na mali alizobaki nazo ndio akaamua kumrithisha jack na wanawe mapacha
🤣🤣🤣 Khaaaa urithi wa wapi huo watoto wanapata mgao wao baada tu ya mama yao kuachwa ha ha ha
 
Hiziii HUKUMU MNAWEZA KUFUKUA MAKABURINIKESI
ZA NYUMA WATOTO WA NJE TUKANYANGANYWA KIDOGO TULICHONACHO EMBU NKALALEE KWANZA
CONGS MATE
VITAUMEIPIGA........MWENDO UMEUMALIZA
MZEE ALITAKIWA KUPIGWA AKIWA HAIII..VYA URITHI VIWE KAMA SADAKA VIKIJA SAWA VISIPOTOKEA SAWA
 
Back
Top Bottom