WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Samahani mkuu unajua chochote kuhusu har-maggedon war? Nasikia itakuja kutokea
Hili nimelifuatilia kidogo mkuu na ninachotaka kusema ni kwamba kwa namna ndogo nijuavyo ni kwamba vita hii itatokea muda mfupi baada ya miaka 1000 ya Yesu kutawala dunia wakati shetani atakuiwa kifungoni na nabii wa uongo atakuwa kwenye ziwa la moto....

Hiki bndicho ambacho nimekijua kwa uchache japokuwa kuna wengine wana mitazamo tofauti tofauti.....

Ieleweka kwamba vita hii kwa namna nijuavyo mimi siyo baina ya binadamu na binadamu bali ni kati ya wanadamu,Aliens,Nephilims na Jeshi la Mungu.....

Hiki ndicho ninachokijua kwa ufupi sana mkuu na niko tayari kukosolewa maana hapa sijatafiti sana mkuu....
 
A23.jpg

labda uwe specific hukubaliani nae nini na unakubaliana nae nini. Sina haja ya kulist vitu anavyodai anaushahidi nao. ili tutuoke hapa. elezea na uwe specific (Direct to the points)
Mbona mkuu nishasema huko juu?

Au husomi ninachokuwa naandika?
 
Mbona mkuu nishasema huko juu?

Au husomi ninachokuwa naandika?
hiyo story nnimeisoma na unaweza kuhoji kwakuwa iko sahihi....

/////////////////////////////////////////////

VITU AMBAVYO ANAVIELEZA MBABE HUYU;
1: Serikali ya Marekani iliiingia mkataba na Viumbe hawa mwaka 1954. Aliingia mkataba na SPECIES 11 ya Hawa Extraterrestrial Beings/UFO/ALIENS .

2: ANasema Hizi Black Projects za chini ya Ardhi Huko marekani zinaigharimu serikali USD Trill1.03 Kila baada ya miaka Miwili. Kitu ambacho hakuna raia anayeishi huku juu ardhini anajua. Huko wanaendesha Miradi amabayo Technologia yake iko miaka 1000 mbele ya hii tunayoiona sasa hapa ardhini.

3:Anadai anatembea na kipande kidogo cha chuma (TITANIUM METAL ALLOY) amabayo alikipata katika mapambazo na hawa wadudu. Ila anasema technology hiyo kutoka kwa hawa viumbe US wametumia kutengeneza SR-71 Blackbird, F117A Nighthawk, “black” helicopters, satellites, and Phoenix Nuclear Submarines.

4:Anasema katika ushuhuda wake yeye ameshiriki kujenga Vituo hivyo vya Chini ya Ardhi marekani zaidi ya 131 Vinavyounganishwa kwa TRENI ZENYE SPEED NA TECHNOLOGY YA HALI YA JUU. TRENI HIZO ZINAZUNGUKA CHINI YA ARDHI KIMYAKIMYA HAKUNA MTU YOYOTE HUKU JUU ANAJUA> HUKO JAMAA HAO UFO NA MAELFU YA WANADAMU WAKO BIZE WANAANDAA MIPANGO.(DUMP PROJECTS). Miradi kama hii amabyo imeunganishwa chini kwa chini imetapakaa Dunia nzima vipo vituo zaidi ya 1000 chini ya ardhi.
ad3034ec2e8a.gif


3:TUKIO ALILOSHIRIKI NA LINALOKMFANYA AWE MTU WA KUTUMAINIWA DUNIANI ALIYEVUJISHA SIRI HIZO

mWAKA 1979 Alikuwa katika harakati ya UJENZI WA KITUO HICHO cha chini ya ardhi huko Dulce Military Compound, Los Alamos Jimbo la NEW MEXICO.
Yeye akiwa na Kikosi cha Delta force wakiwemo na wanajeshi wa nato (WATU 66). Anasema walitumia HIgh tech drilling mashine kushimba chini ili wajenge hiyo base. Baada ya zoezi kuwa Gumu alitumwa chini kuangalia nini Kilichokuwa kinakwamisha Hilo zoezi akisindikizwa na mwenzake. ANasema Kumbe Walikuwa wanachimba Juu ya BASE ya HAWA ALIEN Wailikwa na kakambi kao hapo chini ya arthi mahala ambapo wao pia walikuwa wakichimba. Ndipo akakutana na hao GREY ALIENS uso kwa Uso. Katk mpambano huo na hao viumbe wenye akili sana Alichomoa Pistol yake akafanikiwa kuwaua wawili huko chini. Kisha mmoja akafunua tumbo lake Kama Samaki Ikatoka mionzi iliyompiga na Kumkata vidole pia Kumsababishai madhara kama kansa. Green Beret (SPECIAL US FORCE) aliyekuwa karibu nae akamtupia kwenye Lift faster na kufanikiwa kutoroka na Kurudi juu ya ardhi. Pia anareport wengine wote waliokuwa kwenye mchakato huo akiwemo huyo aliyemuokoa waliuwawa na wadudu hao kisha yeye na wenzake wawili walifanikiwa kutoroka.
c1ad2bb61730.jpg


Amezunguka Duniani na sehemu mbali mbali kama mwanaharakati wa kuhamasisha wanadamu kupambana na viumbe hawa na kuvujisha siri hizi. Ametoa zaidi ya LEcture 30 sehemu mbalimbali miaka miwili kabla hajafa.
Anadai amenusurika vifo zaidi ya mara 13 na ilibidi atembee na pistol ili kujihami. Alikutwa amekufa kwenye apartment yake January 17, 1996 Huko Oregon Marekani. Na report zilizovuja zinasema alikutwa na mpira Shingoni kana kwamba kanyongwa au kajinyonga. Familia yake, wafuasi wake na marafiki wanaamini aliuwawa kutokana na kuvujisha hizo siri.

Kwa Ufupi hii ndio story ya HuyU MDAU AMBAYE MKUU Eiyer anaomba tumuamini. Mkuu naomba uedit kama nimekosea na kama kuna mtu anamaswali akuulize.


Anasema lengo la hawa viumbe (ALLIEN) kushirikana na wanadamu na kujenga hivyo vituo dunia nzima vya siri chini ya ardhi ni kwamba hadi kufikia 2029 WAITAWALE DUNIA NZIMA kwa kitu kinachoitwa NEW WORLD ORDER. Mkandarasi wa Serikali ya marekani EG&G alipewa tenda ya kushirikiana na hawa ALLIENS katika hiyo miradi. Kuna jumla ya kabila saba za hawa ALIEN wanaoishi duniani na wengine waovu kabila kama NNE nao wapo.

Mikataba takribani Minne ilisainiwa kati ya serikali ya marekani na Hizi Koo za ALiens mwaka 1944, 1954, 1962, na 1979.
Mkataba uliosainiwa Mwaka 1954 uliitwa Greata Treaty kati ya serikali ya marekani na Grey Aliens ili Serikali Isuply watu huko chini kwa ajili ya Kuchunguzwa na aliens na kuwapa maujanja ya kitechnologia kama unavyamini. Anasema hawa walitokea sehemu iitwayo Zeta Reticuli.

Anaonya dunia kuhusu kuwepo kwa mkakati huo wa kuiteka dunia yote kabisa. Yaani wanadamu wote kuwa chini ya TOTARITALIAN DICTATORSHIP chini ya hawa viumbe ALIENS/NEPHILS/SEMISHETANI BEINGS (Acording to you also) Dunia nzima inakuwa kama POLICE STATE. Kuhakikisha hakuna wa kufurukuta hao viumbe wameandaa Black hericopters 64,000 ingawa hakusema zimewekwa wapi. Pia anadai kuwa 107,2000 Magereza yanayotembe (Prison box cars ) zimeandaliwa, Hilo gereza tembezi lina pair 143 ya sehemu pa kufungia watu lenye jumla ya uwezo wa kuwafunga hadi wamarekani15 Milioni watakaogomea huo mkakati. Hao wabishi watapelekwa kwenye kile kinachoitwa "Fema Detention camps " zitakazokuwa zimeandaliwa hasa hii ni kwa wana US wabishi.

Mkuu hii ndio habari unayoogopa kuielezea imebidi nieleze ili tujue unakwepa nini na tupate uhalali wa kukuhoji.
Haya yote sijatunga mimi ni kutoka kwenye source huyu mdau na video lecture zake.

USHAURI, Inawezekana unawazo zuri lakini Source ulizonazo zitakupotosha. Narudia tena kwa mara nyingine hii mipango ya dunia kutawaliwa na kuwa kitu kimoja ni mipango ya wanadamu tu na hakuna cha aliens wala nini hivyo ni vichaka vya kuwaficha watu wachanganyikiwe na kuogopa. Ndio maaana wewe sio tu kwenye hii thread popote utakapokuwa unacomment unaleta hzi story kwa hofu alafu ufunguki. Nimekuwa najiuliza huyu jamaa anakitu gani anachoficha? na sio mimi watu wengi tu. Atleast sasa tunaweza kwenda sawa maana mbichi na mbivu ziko mezani.

Nakushauri umuombe Mungu Urudi kusoma Daniel 2, Daniel 7 with suported books huku ukitoa concept zako za aliens, utagundua umechelewa kujua vitu vingi sana ambavyo bibilia ilivisema na ni kweli vitatokea.

KWa elimu hii hii ya viumbe wasio watu Unaamisha goli na kutumia mzigo WW1,WW2,HIV aids,EBOLA etc hao MAUFO, na ELIENS, NEPHILS na MACHOTARA Wa Shetani lkn kwa ukweli hii ni mipango ya wanadamu kabisa. Ukielewa hilo utakuwa umepiga hatua kubwa sana.

NARUDIA KUKUULIZA, TENA MAANA mkuu naona sikusomi, KATI YA HAYA UNAAMINI NINI HUAMINI NINI MAANA ULIPONIAMBIA KILA KITU ALICHOSEMA NI SAHIHI NILIKUELEWA NILIPOKUPRESS KIDOGO UKAANZA KUTAWANYIKA TENA. NDIO MAANA NIKAACHA HATA KUKUULIZA. NIORODHESHEE UNAVYOAMINI HAPO JUU NA USIVYOAMINI MKUU ILI TUWEKE RECORD SAWA. AU KAMA VIPI TUMUWEKE PEMBENI KWA BARAKA ZAKO
 
Tunazungumzia enlignment ou age of reasoning, ambacho umeonyesha mashaka juu ya uhalali wake.

Kabla sijakujibu au kutoa maelezo yangu kuhusu hili. Naomba kujua kama unaufahamua au uelewa wa nini halisi kilitokea kipindi hicho kwa maana ya HISTORY na kwa nini?
Pili ushauri mwingine unaposema hiki ni hapana ni hekima kusema NDIO ni kile, Uwe free kushare hata kama ni hao machotara wa kishetani nao uwaelezee kinagaubaga with evidence, historical. Na kama ni siri useme pia. Nitajibu na kuelezea kuanzia kwa adam pia kama uliivyohitaji
Ukisoma hja yangu hapo juu utaona kwamba nilizungumzia suala zima la tangu kuanza kuwepo kwa binadamu hadi sasa na kimsingi jibu la swali lako limo humo....

Kwangu mimi hakuna kilichotokea kipindi chochote katikati ya maisha ya binadamu kilichomfanya akawa na ufahamu wa ziada yeye kama yeye bali suala zima la kipindi fulani kutokea jambo hili ni uongo tu wa Shetani.Tatizo la msingi la binadamu lilitokea pale Eden na kuanzia hapo tumekuwa tukipoteza ubora wetu sisi kama binadamu kadiri siku zinavyoendelea kwenda mbele....

So kujibu swali lako ni kwamba kwangu mimi hakuna kipindi cha enlightement wala nini bali ni kwamba kuficha ukweli wa binadamu kuendelea kuwa wa hovyo shetani ameleta hawa viumbe watusaidie kuonesha "uongo" wa Biblia na Mungu wakati siyo kweli...

Kivipi anaonesha hilo?

Biblia inatuambia kwamba matatizo yote yalianzia pale tu Adamu alipokosea.Binadamu akapoteza ubora wake wa hali ya juu sana aliokuwa nao.......

Alikuwa hafi sasa akawa anakufa....
Alikuwa hazeeki sasa anazeeka....
Alikuwa na akili sasa anaendelea kuwa mjinga tu....
Alikuwa na uwezo hata wa kuzungumza na ndege sasa hana....n.k n.k...

Sasa ili kuondoa hilo lisionekana na Mungu kuonekana mkweli anataka binadamu aone kuwa aliyosema Mungu yatampata binadamu hayampati tena na ndiyo ameleta hawa viumbe na ndiyo sababu wanafichwa kwa gharama yoyote ili tusijue maana kujua haya ni kuujua ukweli.....
 
Msingi wa hoja yako ni mtu kuingia kwenye eneo la kufanyia kazi ambapo halihusiani na yeye kumiliki silaha.Bahati mbaya kabisa hujaeleza ni kwa vipi huo mfano wangu hauko sawa na ulichokisema....

Unashangaa huyu mtaalam wa miamba kuingia shimoni na silaha mahali ambapo hapaswi kuingia na silaha,je,hospitalini tena kwenye chumba cha kumhudumia mgonjwa ni sawa kuingia na silaha?

Hivi huyu jamaa,tena kwa wadhifa aliokuwa nao,siyo jambo la ajabu kumiliki silaha,wakati anatoka nyumbani kwake kuelekea kazini ni lazima alichukua silaha yake ambayo ni kwaajili ya kujilinda na kufika nayo kazini,kuna ubaya gani kwenda nayo kwenye eneo la kazi? Ulitaka aiache wapi? Ni sawa kuacha silaha yako mahali tu hivi hivi?

Mkuu u nafikiria namna gani?

Bila hata kueleza ni kivipi ni uongo ushahitimisha kuwa ni uongo,inastaajabisha kabisa....

Ulisema kwamba utakuja kusema kipi ni uongo na kipi ni kweli kwenye maelezo uliyoyaleta, na mimi nikawa nasubiria uchambuzi ambao utakuja kuelezea kwa kina ni kivipi siyo kweli mambo fulani na fulani na kwanini mambo fulani na fulani ni kweli lakini naona umeishia kukanusha tu.Hii ni hatari sana kwa afya ya akili na inaonekana hukuwa na haja ya kufanya ulichosema kuwa utafanya.Nimesikitika sana aisee.....

Sifa ninazowapa aliens ni uongo based on this only siyo? Tena bila hata kusema ni uongo kivipi,interesting.....

Mgonjwa gani wa akili anauawa?Kwanini?

Mgonjwa gani wa akili anawindwa kuuawa kwa matukio zaidi ya 10?

Mgonjwa gani wa akili anafanya kazi serikalini kwenye kitengo maalum kama hiki?

Mkuu vipi aisee?

Aisee....

Mbona unapinga tu bila basic ya unachopinga?

Kwanza nilikushauri kwamba unapotaka mtazamo wangu kuhusu suala fulani ni afadhali ukaniuliza nikakueleza kuliko ku assume halafu ukafanya assumption zako kuwa sahihi wewe mwenyewe...

Pili,kuna ushahidi pia kuwa Hitler na NAZI walikuwa na secret meeting na hawa viumbe na pia walikwenda bara antarctica na hiki ndiyo kilichompeleka Admiral Raymond Byrd askari ambaye alikuwa ni Navy Officer wa jeshi la Marekani kule na alikaa sana kule na kuna mambo alikuja kuyasema baada ya kutoka huko unaweza kuyatafuta na utayapata...

Angalozo;
Usije kuanza kusema tena msinbgi wa ninayoyasema ni huyu askari maji wa ki-Marekani maana wewe namna unavyofikiri unaijua wewe mwenyewe tu.Lakini ishu ya Hitler na Aliens pia ipo unaweza kuitafuta mwenyewe na ukajua....

Pia unaweza kufuatilia na ukajua ni nani aliyekuwa mtaala wa kemikali wa NAZI kipindi kile na aliyesaudua sana kupatikana kwa acid na silaha za kinyama kabisa zilizotumika na NAZI kuua watu Ulaya wakati wa vita vile pamoja na kuhusika kwao na "Hallocast"....

Kuna mengi sana na naona kama hatuwezi kujadili jambo hili mkuu maana mimi na wewe tunayatazama mambo haya kwa namna tofauti sana na naona kama unakataa mambo bila ku reason jambo ambalo linanifanya nisione kama kuna nitakachojifunza kutoka kwako na kama nitapata changamoto nzuri kutoka kwako.....
Naomba uweke mtazamo wako au historia yako ya WW2,WW1 kwa perspective ya Nephils/Alliens/Ufo. na lengo ni nini, Na kwa nini hao jamaa wawashirikishe wanadamu walio na uwezo mdogo wa akili tena saaana kulingana na uchambuzi wako, na hawa viumbe wanaakili kubwa saaaaana. kwa nini wasiije kutawala siku moja au wiki kwa nini wahangaike hivyo na viumbe ambao ni weak. Weka maelezo maana nimeulizia tu kuhusu uhalali wa silaa iliyoogopwa na us pamoja na uk lkn mkuu naona umekumbia hadi antarctica. Hebu weka muhutasari wa vita hivi na aim ya aliens.
Binafsi naamini. Ni vita vya wandamu tu hakuna kiumbe yoyote kutoka popote alihusika vinginevyo itabidi washiriki hadi majimaji war.
 
hiyo story nnimeisoma na unaweza kuhoji kwakuwa iko sahihi....

/////////////////////////////////////////////

VITU AMBAVYO ANAVIELEZA MBABE HUYU;
1: Serikali ya Marekani iliiingia mkataba na Viumbe hawa mwaka 1954. Aliingia mkataba na SPECIES 11 ya Hawa Extraterrestrial Beings/UFO/ALIENS .

2: ANasema Hizi Black Projects za chini ya Ardhi Huko marekani zinaigharimu serikali USD Trill1.03 Kila baada ya miaka Miwili. Kitu ambacho hakuna raia anayeishi huku juu ardhini anajua. Huko wanaendesha Miradi amabayo Technologia yake iko miaka 1000 mbele ya hii tunayoiona sasa hapa ardhini.

3:Anadai anatembea na kipande kidogo cha chuma (TITANIUM METAL ALLOY) amabayo alikipata katika mapambazo na hawa wadudu. Ila anasema technology hiyo kutoka kwa hawa viumbe US wametumia kutengeneza SR-71 Blackbird, F117A Nighthawk, “black” helicopters, satellites, and Phoenix Nuclear Submarines.

4:Anasema katika ushuhuda wake yeye ameshiriki kujenga Vituo hivyo vya Chini ya Ardhi marekani zaidi ya 131 Vinavyounganishwa kwa TRENI ZENYE SPEED NA TECHNOLOGY YA HALI YA JUU. TRENI HIZO ZINAZUNGUKA CHINI YA ARDHI KIMYAKIMYA HAKUNA MTU YOYOTE HUKU JUU ANAJUA> HUKO JAMAA HAO UFO NA MAELFU YA WANADAMU WAKO BIZE WANAANDAA MIPANGO.(DUMP PROJECTS). Miradi kama hii amabyo imeunganishwa chini kwa chini imetapakaa Dunia nzima vipo vituo zaidi ya 1000 chini ya ardhi.
ad3034ec2e8a.gif


3:TUKIO ALILOSHIRIKI NA LINALOKMFANYA AWE MTU WA KUTUMAINIWA DUNIANI ALIYEVUJISHA SIRI HIZO

mWAKA 1979 Alikuwa katika harakati ya UJENZI WA KITUO HICHO cha chini ya ardhi huko Dulce Military Compound, Los Alamos Jimbo la NEW MEXICO.
Yeye akiwa na Kikosi cha Delta force wakiwemo na wanajeshi wa nato (WATU 66). Anasema walitumia HIgh tech drilling mashine kushimba chini ili wajenge hiyo base. Baada ya zoezi kuwa Gumu alitumwa chini kuangalia nini Kilichokuwa kinakwamisha Hilo zoezi akisindikizwa na mwenzake. ANasema Kumbe Walikuwa wanachimba Juu ya BASE ya HAWA ALIEN Wailikwa na kakambi kao hapo chini ya arthi mahala ambapo wao pia walikuwa wakichimba. Ndipo akakutana na hao GREY ALIENS uso kwa Uso. Katk mpambano huo na hao viumbe wenye akili sana Alichomoa Pistol yake akafanikiwa kuwaua wawili huko chini. Kisha mmoja akafunua tumbo lake Kama Samaki Ikatoka mionzi iliyompiga na Kumkata vidole pia Kumsababishai madhara kama kansa. Green Beret (SPECIAL US FORCE) aliyekuwa karibu nae akamtupia kwenye Lift faster na kufanikiwa kutoroka na Kurudi juu ya ardhi. Pia anareport wengine wote waliokuwa kwenye mchakato huo akiwemo huyo aliyemuokoa waliuwawa na wadudu hao kisha yeye na wenzake wawili walifanikiwa kutoroka.
c1ad2bb61730.jpg


Amezunguka Duniani na sehemu mbali mbali kama mwanaharakati wa kuhamasisha wanadamu kupambana na viumbe hawa na kuvujisha siri hizi. Ametoa zaidi ya LEcture 30 sehemu mbalimbali miaka miwili kabla hajafa.
Anadai amenusurika vifo zaidi ya mara 13 na ilibidi atembee na pistol ili kujihami. Alikutwa amekufa kwenye apartment yake January 17, 1996 Huko Oregon Marekani. Na report zilizovuja zinasema alikutwa na mpira Shingoni kana kwamba kanyongwa au kajinyonga. Familia yake, wafuasi wake na marafiki wanaamini aliuwawa kutokana na kuvujisha hizo siri.

Kwa Ufupi hii ndio story ya HuyU MDAU AMBAYE MKUU Eiyer anaomba tumuamini. Mkuu naomba uedit kama nimekosea na kama kuna mtu anamaswali akuulize.


Anasema lengo la hawa viumbe (ALLIEN) kushirikana na wanadamu na kujenga hivyo vituo dunia nzima vya siri chini ya ardhi ni kwamba hadi kufikia 2029 WAITAWALE DUNIA NZIMA kwa kitu kinachoitwa NEW WORLD ORDER. Mkandarasi wa Serikali ya marekani EG&G alipewa tenda ya kushirikiana na hawa ALLIENS katika hiyo miradi. Kuna jumla ya kabila saba za hawa ALIEN wanaoishi duniani na wengine waovu kabila kama NNE nao wapo.

Mikataba takribani Minne ilisainiwa kati ya serikali ya marekani na Hizi Koo za ALiens mwaka 1944, 1954, 1962, na 1979.
Mkataba uliosainiwa Mwaka 1954 uliitwa Greata Treaty kati ya serikali ya marekani na Grey Aliens ili Serikali Isuply watu huko chini kwa ajili ya Kuchunguzwa na aliens na kuwapa maujanja ya kitechnologia kama unavyamini. Anasema hawa walitokea sehemu iitwayo Zeta Reticuli.

Anaonya dunia kuhusu kuwepo kwa mkakati huo wa kuiteka dunia yote kabisa. Yaani wanadamu wote kuwa chini ya TOTARITALIAN DICTATORSHIP chini ya hawa viumbe ALIENS/NEPHILS/SEMISHETANI BEINGS (Acording to you also) Dunia nzima inakuwa kama POLICE STATE. Kuhakikisha hakuna wa kufurukuta hao viumbe wameandaa Black hericopters 64,000 ingawa hakusema zimewekwa wapi. Pia anadai kuwa 107,2000 Magereza yanayotembe (Prison box cars ) zimeandaliwa, Hilo gereza tembezi lina pair 143 ya sehemu pa kufungia watu lenye jumla ya uwezo wa kuwafunga hadi wamarekani15 Milioni watakaogomea huo mkakati. Hao wabishi watapelekwa kwenye kile kinachoitwa "Fema Detention camps " zitakazokuwa zimeandaliwa hasa hii ni kwa wana US wabishi.

Mkuu hii ndio habari unayoogopa kuielezea imebidi nieleze ili tujue unakwepa nini na tupate uhalali wa kukuhoji.
Haya yote sijatunga mimi ni kutoka kwenye source huyu mdau na video lecture zake.

USHAURI, Inawezekana unawazo zuri lakini Source ulizonazo zitakupotosha. Narudia tena kwa mara nyingine hii mipango ya dunia kutawaliwa na kuwa kitu kimoja ni mipango ya wanadamu tu na hakuna cha aliens wala nini hivyo ni vichaka vya kuwaficha watu wachanganyikiwe na kuogopa. Ndio maaana wewe sio tu kwenye hii thread popote utakapokuwa unacomment unaleta hzi story kwa hofu alafu ufunguki. Nimekuwa najiuliza huyu jamaa anakitu gani anachoficha? na sio mimi watu wengi tu. Atleast sasa tunaweza kwenda sawa maana mbichi na mbivu ziko mezani.

Nakushauri umuombe Mungu Urudi kusoma Daniel 2, Daniel 7 with suported books huku ukitoa concept zako za aliens, utagundua umechelewa kujua vitu vingi sana ambavyo bibilia ilivisema na ni kweli vitatokea.

KWa elimu hii hii ya viumbe wasio watu Unaamisha goli na kutumia mzigo WW1,WW2,HIV aids,EBOLA etc hao MAUFO, na ELIENS, NEPHILS na MACHOTARA Wa Shetani lkn kwa ukweli hii ni mipango ya wanadamu kabisa. Ukielewa hilo utakuwa umepiga hatua kubwa sana.

NARUDIA KUKUULIZA, TENA MAANA mkuu naona sikusomi, KATI YA HAYA UNAAMINI NINI HUAMINI NINI MAANA ULIPONIAMBIA KILA KITU ALICHOSEMA NI SAHIHI NILIKUELEWA NILIPOKUPRESS KIDOGO UKAANZA KUTAWANYIKA TENA. NDIO MAANA NIKAACHA HATA KUKUULIZA. NIORODHESHEE UNAVYOAMINI HAPO JUU NA USIVYOAMINI MKUU ILI TUWEKE RECORD SAWA. AU KAMA VIPI TUMUWEKE PEMBENI KWA BARAKA ZAKO
Unaandika maelezo mengi bila sababu ya msingi.Nasema hivi kwasababu kama ungekuwa unaelewa ninachoandika hapa usingehangaika kuleta haya yote....

Nilikuambia kuwa nimemleta hapa huyu Phil Schneider kwasababu moja tu,yes moja tu ambayo ni kitendo cha yeye kukutana na Aliens uso kwa uso,haya mengine ya nini mkuu?

Ulipaswa ku stick kwenye hicho tu na kama ni hoja zako zingelalia hapo pekee,lakini sijui kwasababu hunielewi au sijui ni kwanini unaleta masuala la mikataba na mengine ambayo siyahitaji kabisa hapa.Kama utakumbuka ni kwamba nilikueleza kuwa "usidhani kwamba ishu za Aliens ni hadithi maana kuna watu wamekutana nao" kisha nikakutajia huyu mtu na nikakuwekea video ili uone namna ambavyo anasema alikutana nao na nikakuambia kuwa sababu ya mimi kuzingatia maelezo yake ni wadhifa wake ambao hata wewe ulisema hauna tatizo nao....

Sasa mkuu hayo yote ya nini?

Sijui umenielewa au bado.....
 
Naomba uweke mtazamo wako au historia yako ya WW2,WW1 kwa perspective ya Nephils/Alliens/Ufo. na lengo ni nini, Na kwa nini hao jamaa wawashirikishe wanadamu walio na uwezo mdogo wa akili tena saaana kulingana na uchambuzi wako, na hawa viumbe wanaakili kubwa saaaaana. kwa nini wasiije kutawala siku moja au wiki kwa nini wahangaike hivyo na viumbe ambao ni weak. Weka maelezo maana nimeulizia tu kuhusu uhalali wa silaa iliyoogopwa na us pamoja na uk lkn mkuu naona umekumbia hadi antarctica. Hebu weka muhutasari wa vita hivi na aim ya aliens.
Binafsi naamini. Ni vita vya wandamu tu hakuna kiumbe yoyote kutoka popote alihusika vinginevyo itabidi washiriki hadi majimaji war.
Mengine nimeshayajibu na ambalo labda nitalijibu ni hilo la sababu ya hawa viumbe kuitokuja kutawala siku moja tu kwasababu wana uwezo mkubwa....

Iko hivi,huyu binadamu unayemuona siyo kwamba anahangaika peke yake kiroho na kimwili bali kuna Mungu anamlinda....

Mungu huyu hamlindi kwa lazima bali binadamu huyu anapaswa kukubali ulinzi wa Mungu kwa hiyari na wapo ambao anawalinbda kwa wao kukubali....

Hawa viumbe wanashindwa kutawala kwa nguvu kwasababu ya jambo hilo maana Mungu hatokubali watu wakle watawaliwe.Lakini kuna wakati ambapo mkuu wa hawa viumbe atachoka na kutaka kulazimisha na hapo ndipo Mungu ataimngilia kati na kuwaondoa watu wake [rupture?] na baada ya hapo kichapo la malazimisho ya kutoka kwa hawa viumbe yatafuatia....

Kwa maana hiyo kinachowafanya washindwe kutawala sasa ni Mungu na siyo kitu kimgine...
 
Mfano wa Tunisia ni ili kukuonyesha kuwa mtu mmoja kufa anaweza kuleta madhara makubwa sana katika jamii pana. Usisahau hiyo Arab Spring chanzo ni huyo mtu wa Tunisia kujikoka. Na scale yake si ndogo. Hadi sasa inaendelea na mataifa mengi tu yanahusishwa. Urusi na US kwa uchache.

Hizo world wars zilizopita zilikua rahisi kusambaa dunia nzima kwa sababu ya ukoloni. Mataifa yaliokua yanatawaliwa hayakua na uchaguzi ispokua kushiriki walau kwa kutoa askari.

Halafu dunia ni lazima iwe na taifa/dola lenye uwezo na nguvu kubwa linalidhibiti mengine. Iko hivyo tangu kale. Tangu enzi za falme ndogondogo mpaka madola makubwa kama la Babiloni, Misri, Roma, Britain, n.k.

Na kwa sasa ni USA ndio mtawala. Tangu baada ya vita ya 2 ya dunia amekamatia. So kama ana mipango ya NWO ni sawa tu maana ndo wakati wake. Nae itafika mahali ataanguka atakuja mwingine. Kama tu Roma lilivyoanguka japo nadhani Roma ndio limetawala kwa muda mrefu sana (karne zaidi ya 20) kuliko madola mengine.

At that point (call it an era or epoch maana ni miaka resentments zikiwa zinabuild up) lazima pawe na unrest kubwa sana duniani kwa kupangwa au kwa ajali.

Mostly kwa ajali maana tension itakua imefikia pa kubasti. Na taifa litakalokua na viongozi waerevu na technolojia imara ya kivita ndio litaibuka tawala kwa enzi ingine.

Hizo stori zingine za njama/conspiracy haziendani kabisa na historia ya dunia ya kukua na kuanguka kwa madola.
hizi conspiracy theories japo hiyo ya mkuu Eiyer ya kama inamantiki kabisa (alien conspiracy theory) ili kuzifuatilia kwa karibu ni vizuri kujua front historical view ya dunia yetu kwanza. Kuiangalia hizo dora za zamani zilitabiriwa according to daniel 2 kama unaamini lakini japo historia haipishani na maelezo hayo.
Image%2Bof%2BDaniel%2B2.png

freebiblestudylessons07a_image-of-daniel-2.jpg

Baada ya dora la rumi kuanguka 476, inaonyesha lilibaki ila vipande vipande na halitapotea hadi mwisho. hapa panatoa loophole ya kuchungulia matukio kwa jicho kutoka rumi na makao makuu yake kama kuna chochote tunaweza kuokota.
Kuhusu kutapakaa kwa arab spring sijafuatilia lkn kuna conspirancy kuwa zilipangwa lkn sina uhakika.

Kuhusu kuamini njama za siri juu ya haya mambo sio suala la wazi na siwezi kusema kunauhakika asilimia mia juu ya hizo njama. Ila njia nzuri ni kuangalia Sababu, Matokeo mapana ya Vita na trend za dunia kama angalau zinarandana na consprancy hizo. Matokeo ya vita vya pili ni Mataifa mawili makubwa US na USSR lkn kuibuka kwa israel political nation. Sasa kuna haja ya kujua nafasi ya wakina JP Morgan, Rckerfellor, Rothchilds, Bavarians,na hiyo rumi ambayo kwa mujibu wa historia ya kinabii hadi kesho ipo duniani na inainfluence kubwa kuliko kawaida. Hata kwa jicho la historia hii ya kawaida hiyo sababu ni hafifu sana. Wakati mzee Winston Churchill alioenda Ujerumani kabla ya vita wakati akifanya resarch yake aliona uwezekano kabisa baada ya kuona maandalizi makali ya Hitler na akwaambia Viongozi wasipokuwa makini kuna hatari mbele inakuja ndio maana vita vilipoanza walimkabidhi yeye Usukani. Na US wanavyoingizwa kwenye vita hivi vyote huwa ni kwa utata mwingi unaoacha maswali mengi pia.
 
Unaandika maelezo mengi bila sababu ya msingi.Nasema hivi kwasababu kama ungekuwa unaelewa ninachoandika hapa usingehangaika kuleta haya yote....

Nilikuambia kuwa nimemleta hapa huyu Phil Schneider kwasababu moja tu,yes moja tu ambayo ni kitendo cha yeye kukutana na Aliens uso kwa uso,haya mengine ya nini mkuu?

Ulipaswa ku stick kwenye hicho tu na kama ni hoja zako zingelalia hapo pekee,lakini sijui kwasababu hunielewi au sijui ni kwanini unaleta masuala la mikataba na mengine ambayo siyahitaji kabisa hapa.Kama utakumbuka ni kwamba nilikueleza kuwa "usidhani kwamba ishu za Aliens ni hadithi maana kuna watu wamekutana nao" kisha nikakutajia huyu mtu na nikakuwekea video ili uone namna ambavyo anasema alikutana nao na nikakuambia kuwa sababu ya mimi kuzingatia maelezo yake ni wadhifa wake ambao hata wewe ulisema hauna tatizo nao....

Sasa mkuu hayo yote ya nini?

Sijui umenielewa au bado.....
*************************************************************************************************
Ukijua hili kwanza ndiyo utaona kama unachotaka tujadili kina mashiko au hakina maana naona kama unadhani huyu jamaa alikuwa ni mtu tu aliyeibuka na kuanza kusema aliyotaka kusema bila kuzingatia alikuwa ni nani kwa maana ya wadhifa wake.....
Kama hautakubaliana na wadhifa wake mjadala wa kumhusu huyu jamaa unajifia wenyewe maana kikubwa ambacho kilifanya nizingatie alichokisema ni wadhifa wake kwanza kisha alichokisema kinafuata baadaye....
*************************************************************************************************
mkuu naona kama hapo juu umekula kona flani maana, yaani mtu kuwa Geologist tu ndio uamini ujanjaujanja huu najua umemrahisha huku mwishoni ili upate mwanya wa kutokujadili hotuba zake, Maana hajasemea Kupigana na aliens tu bali hadi mambo mengine ambayo umeyaquote kwenye maelezo yako, ndio maana nilikuorodheshea mavitu mengi.
*************************
haya mengine ya nini mkuu?------> kwa sababu miongoni mwa hayo mengine umeyatumia kwenye hoja zako ndio maana nataka uniorodheshee yapi unaamini yapi huyaamini
mfano:

Kwa kuliona hili,kwenye D.U.M.B's kuna treni zenye uwezo wa kukimbia kwa speed ya sauti na hili halijulikani na wengi....

Again,bado kabisa mkuu unapaswa kujua kinachoendelea chini ya miguu yetu ambako kuna mengi sana na yanayoendeshwa na viumbe ambao siyo binadamu kabisa....
 
Mihadhara tena mkuu?

Ipi?
Nikuambie tu kwamba kuna ushahidi wa kutiosha wa haya ninayokueleza na Mungu akijaalia nikimaliza nitaanza masomo kwaajili ya kuwaeleza watu jambo hili la kutisha kabisa ambalo kwako ni kama hadithi.....
Mihadhara -LECTURES - nitaanza masomo
 
Ukisoma hja yangu hapo juu utaona kwamba nilizungumzia suala zima la tangu kuanza kuwepo kwa binadamu hadi sasa na kimsingi jibu la swali lako limo humo....

Kwangu mimi hakuna kilichotokea kipindi chochote katikati ya maisha ya binadamu kilichomfanya akawa na ufahamu wa ziada yeye kama yeye bali suala zima la kipindi fulani kutokea jambo hili ni uongo tu wa Shetani.Tatizo la msingi la binadamu lilitokea pale Eden na kuanzia hapo tumekuwa tukipoteza ubora wetu sisi kama binadamu kadiri siku zinavyoendelea kwenda mbele....

So kujibu swali lako ni kwamba kwangu mimi hakuna kipindi cha enlightement wala nini bali ni kwamba kuficha ukweli wa binadamu kuendelea kuwa wa hovyo shetani ameleta hawa viumbe watusaidie kuonesha "uongo" wa Biblia na Mungu wakati siyo kweli...

Kivipi anaonesha hilo?

Biblia inatuambia kwamba matatizo yote yalianzia pale tu Adamu alipokosea.Binadamu akapoteza ubora wake wa hali ya juu sana aliokuwa nao.......

Alikuwa hafi sasa akawa anakufa....
Alikuwa hazeeki sasa anazeeka....
Alikuwa na akili sasa anaendelea kuwa mjinga tu....
Alikuwa na uwezo hata wa kuzungumza na ndege sasa hana....n.k n.k...

Sasa ili kuondoa hilo lisionekana na Mungu kuonekana mkweli anataka binadamu aone kuwa aliyosema Mungu yatampata binadamu hayampati tena na ndiyo ameleta hawa viumbe na ndiyo sababu wanafichwa kwa gharama yoyote ili tusijue maana kujua haya ni kuujua ukweli.....
Kwa maelezo yako sioni haja ya kukueleza historia ya maendeleo ya mwanadamu(karne hizi 17 -21). Maana unaamini wanadamu wa siku hizi akili zao ni ndooogo mno kiasi kwamba chochote kizuri au advanced ni Product ya Hao Viumbe wako.

Sasa hata shetani mwenyewe anaweza kukushangaa. Kwa nini Shetani atafute intermediate beings wakati anajeshi kubwa la Malaika zake waovu ambao idadi yao ni kubwa saaana mbali kabisa na idadi ya wandamu.
Ukumbuke alifukuzwa mbinguni: Ufunuo12:4 na 1/3 ya maraika wote wakati maraika idadi yao ni kubwa mno tena hawahesabiki (Daniel7:10, waebrania 12:22). Ukisema wamefungwa unakoswa uhalali wa kuwepo hao viumbe.

Pili Turudie matokeo ya dhambi;
1: Utazaa kwa uchungu
2:Utakula kwa jasho
3:Na tokeo kubwa kabisa ni KIFO(Kwa ufupi hili ndio tokeo ambalo tunashare wote sawa adam NA SISI),
Ni kweli tuliathirika kiasi ila siamini kama Dhambi ilipunguza idadi ya Brain Cells kwenye kichwa cha mwanadamu.
Ndio maana kila zama ya mwanadamu kila mwanadamu aliyejishughulisha alikuwa zaidi ya wenzake.

Kuhusu Uwezo wa Kiakili ni Suala la Lifestyle na Chakula.
Mfano hai kwenye bibilia SOMA DANIEL MOJA KUNA JARIBIO LILIFANYWA AMBALO UKILIANGALIA LINAHAFIFISHA KABISA HOJA YAKO.
Daniel, Meshack, Shedrack na abednego walitakiwa kula vizuri ili pamoja na wenye busara wengine wa Mesopotamia na sehemu nyingine duniani. Wao Wakaigomea ile MENYU ya mfalme. Wakaomba wapewe nafaka,Maji,Matunga (Live foods). Walipokuja kujaribiwa walikuwa na Uwezo mkubwa mara kumi ya wale wengine mkuu.

Tena Usijeukajidanganya au kuwadanganya watoto wako (Kama wapo) kuwa hawana akili kwa sababu ya dhambi, na kwasababu wao ni 6000th copy ya adam. Laana haikugusa akili. Ukisema kuongea na wanyama. Mtamo wangu ni kuwa unataka kuhafifisha Uwezo wa kiakili wa kibinadamu ili ukubwishe uwezo wa hao allien ili upate ground ya kupenyezea uzushi huu kuwa aliens wako nyuma ya haya maendeleo kwa sababu sisi hatuna akili. Kilichotokea kwenye ENLIGHMENT AGE watu waliambiwa maneno kama yako na kuamini ni kasisi tu au kiongozi wa dini ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kumpangia mwanadamu nini cha kufanya. Watu walipanza kufikiri nje ya box na utando huu uliowekwa na imani. Ndio nata newton alijiuliza kwa nini APPLE lianguke kwenda chini badala ya Juu, Watu wakaanza kutafuta majibu from nature. Jamaa wa uingereza akagundua steam engine ambayo baadae ikaja kuwa pivotal kwa industrial revolution. Hata Benjamin Franklin alipoenda england kikazi akiwa anamiaka 15 vuguvugu alililikuta huko lilimbadili maisha yake na Philadefia mji aliotoka na baadae marekani nzima. Waliamini Radi ni Ni adhabu kutoka kwa Mungu, Ben akagundua ni Charges na Kudesign Thunder arrester na Fire system, Magonjwa mengi mtaani, Akaanzisha Sewage system philadelphia nzima.
Kwa ufupi hiki unachokiona na kukihusudu kiasi cha kusema ni product ya aliens ni matokeo ya hawahawa wanadamu walioanguka dhambini kutumia 1/100000 ya ubongo wao wenye zaidi ya 100 billion cells. Nadhani kwa uwezo huo wa mwanadamu ndio maana mwenye hekima alisema Muhubiri 1:9- Hakuna Jipya chini ya jua.

Alikuwa na akili sasa anaendelea kuwa mjinga tu....
Mkuu hapa naomba ututake radhi, Bibilia inamzungumzia huyuhuyu mwanadamu unayedhani hana akili yaani makapi ya adamu kiakili Mungu anasema NiMEMFANYA MWANDAMU PUNDE KIDOGO YA MALAIKA (Little Lower than angels). Yaana kimsingi Unamdharirisha na kumdogosha mwanadamu ili upate upenyo wa kuhalalisha story za UFO/ALIEN.

1PSALM 8
what is mankind that you are mindful of them,
human beings that you care for them?c
5You have made them a little lower than the angels
and crowned themf with glory and honor.
6You made them rulers over the works of your hands;
you put everything under theirg feet:
7all flocks and herds,
and the animals of the wild,
8the birds in the sky,
and the fish in the sea,
all that swim the paths of the seas.
9Lord, our Lord,
how majestic is your name in all the earth!
Waebrania/Hebrew 2:7
 
*************************************************************************************************
Ukijua hili kwanza ndiyo utaona kama unachotaka tujadili kina mashiko au hakina maana naona kama unadhani huyu jamaa alikuwa ni mtu tu aliyeibuka na kuanza kusema aliyotaka kusema bila kuzingatia alikuwa ni nani kwa maana ya wadhifa wake.....
Kama hautakubaliana na wadhifa wake mjadala wa kumhusu huyu jamaa unajifia wenyewe maana kikubwa ambacho kilifanya nizingatie alichokisema ni wadhifa wake kwanza kisha alichokisema kinafuata baadaye....
*************************************************************************************************
mkuu naona kama hapo juu umekula kona flani maana, yaani mtu kuwa Geologist tu ndio uamini ujanjaujanja huu najua umemrahisha huku mwishoni ili upate mwanya wa kutokujadili hotuba zake, Maana hajasemea Kupigana na aliens tu bali hadi mambo mengine ambayo umeyaquote kwenye maelezo yako, ndio maana nilikuorodheshea mavitu mengi.
*************************
haya mengine ya nini mkuu?------> kwa sababu miongoni mwa hayo mengine umeyatumia kwenye hoja zako ndio maana nataka uniorodheshee yapi unaamini yapi huyaamini
mfano:

Kwa kuliona hili,kwenye D.U.M.B's kuna treni zenye uwezo wa kukimbia kwa speed ya sauti na hili halijulikani na wengi....

Again,bado kabisa mkuu unapaswa kujua kinachoendelea chini ya miguu yetu ambako kuna mengi sana na yanayoendeshwa na viumbe ambao siyo binadamu kabisa....
Kuna mambo unapaswa uyaelewe mkuu...

1;Huyu mtu nilisema kwamba kinachofanya niyachukulie maelezo yake kwa umuhimu wa pekee ni wadhifa wake,hapa nilikuwa ninamaanisha sio wadhifa wake kitaalam tu bali na aliyoyafanya na hadhi aliyopewa na serikali ya Marekani...

2; Hayo mengine niliyosema huyu siyo source yangu ya haya mambo japokuwa na yeye ameyazungumzia.Tatizo lako la kudhani kwamba huyu ndiyo source ya yote ninayoyasema hapa ndiyo imepelekea wewe kujenga hoja kwa kumuegemea huyu wakati sivyo....

3;Kuna wengi sana waliofanya utafiti,waliotoka kwenye serikali ya Marekani na kusema na hata wale ambao wanafanya utafiti hadi leo..

4;Kuna coverup ya kutiosha ya mambo haya na miongoni mwa wanaohusika ni Vatican na serikali kubwa za nchi kubwa duniani...

Haya na mengine mengi sana ni miongoni mwa mambo ambayo yanaweza kukufanya ukaanza kujiuliza maswali ambayo yatakufanya uanze kupata picha,lakini kwasababu wewe ushaanza tu kusema ni uongo huna ambacho utajifunza na utaishia kusema tu ni uongo....
 
Kwa maelezo yako sioni haja ya kukueleza historia ya maendeleo ya mwanadamu(karne hizi 17 -21). Maana unaamini wanadamu wa siku hizi akili zao ni ndooogo mno kiasi kwamba chochote kizuri au advanced ni Product ya Hao Viumbe wako.
Unafikia mahitimisho ya ajabu kabisa na ambayo hata sijayasema na sijui ni kwanini uko hivi.Unashindwa kabisa ku stick kwenye kile ninachokisema na matokeo yake unaibuka na mahitimishi ya ajabu ajabu tu...

Wapi nimesema "chochote kizuri ni cha advanced being"?

Mimi kusema kuwa kwa kiwango kikubwa maendeleo na sayansi tunayoijua ni matokeo ya viumbe hawa simaanishi kwamba binadamu ni zuzu kiasi hicho,unasomaje maandiko yangu aisee?

Point yangu ya msingi ni kwamba haya unayoyaona siyo yote ni production ya akili ya binadamu wa kawaida,hii kauli unaielewa lakini?
Sasa hata shetani mwenyewe anaweza kukushangaa. Kwa nini Shetani atafute intermediate beings wakati anajeshi kubwa la Malaika zake waovu ambao idadi yao ni kubwa saaana mbali kabisa na idadi ya wandamu.
Ukumbuke alifukuzwa mbinguni: Ufunuo12:4 na 1/3 ya maraika wote wakati maraika idadi yao ni kubwa mno tena hawahesabiki (Daniel7:10, waebrania 12:22).
Unataka hili jeshi lote la Shetani lifanye nini kwa mfano?
Shetani anahitaji nini?

Nakuuliza haya maana hata sielewi mantiki ya hiki ulichokiandika hapa,ukifafanua huenda nitakuelewa....
Ukisema wamefungwa unakoswa uhalali wa kuwepo hao viumbe.
Moja,sijasema mimi kuwa wamefungwa bali ni Mungu mwenyewe kupitia maandiko ambayo nilishakupa...

Mbili,Kwanini uhalali wa kuwepo hawa viumbe ukosekane? Kwani baada ya kukosea huyu Shetani alifungwa hapo hapo?
Pili Turudie matokeo ya dhambi;
1: Utazaa kwa uchungu
2:Utakula kwa jasho
Haya siyo matokeo ya dhani bali haya ni adhabu baada ya kukosea.Matokeo ya dhambi ni sisi kupokwa mamlaka ambayo tulipewa na Mungu ambayo sasa anayo Shetani...

Tofautisha matokeo ya dhambi na adhabu ya dhambi....
3:Na tokeo kubwa kabisa ni KIFO(Kwa ufupi hili ndio tokeo ambalo tunashare wote sawa adam NA SISI),
Hapana,hili nalo siyo tokeo la dhambi bali ni matokeo ya kula tunda la ujuzi wa mema na mabaya.Binadamu hakuumwa na mwili wa ku withstand ujuzi wa mema na mabaya na ndiyo maana anakufa leo.Ili aweze kuishi milele huku akijua mema na mabaya alitakiwa ale tena tunda lingine ambalo ni la uzima na hili Mungu alilizuia na kumfukuza mwanadamu kwenye bustani ya Eden...

Ni sawa na wewe ulibebeshe gari mzigo mkubwa zaidi ya uwezo wake wa kuubeba.Gari lile litaharibika kwa namna mbali mbali.Inawezekana chesis ikavunjika kwa mfano.Kuvunjika kwa kifaa hiki kwenye gari ni matokeo ya gari kuwa dhaifu kuhimili uzito wa mzigo ambao gari hilo lilibebeshwa.On the other hand binadamu naye ni hivyo hivyo,hakuwa na uwezo wa kuhimili kujua mabaya na mema na matokeo yake ni kuharibika kwa mwili wake na kusababisha kifo,hatukuumbwa kuweza kuhimili jambo hili mkuu...

Kwa hiyo kifo ni matokeo ya kula tunda la ujuzi wa mema na mabaya....
Ni kweli tuliathirika kiasi ila siamini kama Dhambi ilipunguza idadi ya Brain Cells kwenye kichwa cha mwanadamu.
Ndio maana kila zama ya mwanadamu kila mwanadamu aliyejishughulisha alikuwa zaidi ya wenzake.
Nilikuambia kwamba tangu binadamu akosee mambo yalibadilika kabisa...

1;Kwanza unapaswa ujue kwamba binadamu hakuumbwa na maarifa ya kujenga majengo,kugundua nguo au mengine yoyote yale ndio maana kabla ya kukosea alikuwa uchi na hakuona kama jambo hilo ni tatizo na hakuishi kwenye nyumba yoyote maana halikuwa hitaji lake,haya mambo yalikuja baadaye baada ya kukosea na kwasababu hii Mungu ndiyo akawa anampa mwanadamu maarifa kutokana na mahitaji yake lakini Mungu amekuwa specific kwenye mambo haya kama maandiko ambayo umekuwa ukinipa huko juu ambayo Mungu amekuwa akisema amewapa wanadamu akili au uwezo wa kufanya hiki na kile lakini huyu mwanadamu hakuwa hivyo kutokea mwanzo...

Lakini pamoja na hayo,ubora wa mwanadamu kuanzia akili hadi mwili umekuwa ukipungua kadiri siku zinavyokwenda.Kukupa mfano rahisi kabisa ni kwamba,ukiangalia tu kwenye mazingira yako ya shughuli za mwanadamu utaona ushahidi wa haya....

Angalia hata muziki kwa mfano,muziki wa kipindi cha nyuma unaonekana bora kabisa kuliko wa sasa.Angalua hawa wanaomaliza chuo leo,angalia uwezo wa michezo mbali mbali,kwa sisi ambao tunaangalia soka tunaliona hili maana siku hizi ni kama hakuna kabisa vipaji ukilinganisha tu na miaka ya juzi juzi hapa ya 2000...

Nini kinasababisha yote haya?

Watu wanaendelea tu kuwa wajinga na hili halijaanza leo bali tangu anguko la mwanadamu.Nina mifano mingi sana lakini huenda hiyo ikakusaidia kuelewa angalau ninachokisema....
Kuhusu Uwezo wa Kiakili ni Suala la Lifestyle na Chakula.
Mfano hai kwenye bibilia SOMA DANIEL MOJA KUNA JARIBIO LILIFANYWA AMBALO UKILIANGALIA LINAHAFIFISHA KABISA HOJA YAKO.
Daniel, Meshack, Shedrack na abednego walitakiwa kula vizuri ili pamoja na wenye busara wengine wa Mesopotamia na sehemu nyingine duniani. Wao Wakaigomea ile MENYU ya mfalme. Wakaomba wapewe nafaka,Maji,Matunga (Live foods). Walipokuja kujaribiwa walikuwa na Uwezo mkubwa mara kumi ya wale wengine mkuu.
Kwanza naomba ujue kwamba uwezo wa Danieli ulikuwa ni kutoka kwa Mungu moja kwa moja kwasababu maalum...

Pili;Ni kweli kwamba vyakula vinamfanya mtu awe na afya nzuri ya akili,lakini kuna kitu inaonekana hukijui mkuu.Ni kwamba baada tu ya dhambi kuingia duniani ardhi nayo ililaaniwa.Hii ina maana kwamba vyakula navyo vinaendelea kufifia ubora wake,kile ambacho chakula kilikuwa kikiupa ubongo wakati ule wa Adamu siyo kile kile ambacho kinaupa ubongo wako leo...

Haya ni mambo ambayo yapo wazi kabisa na ukiyatazama yanaeleweka.Kipindi cha nyuma wakati niko kijijini kwa mfano,nakumbuka tulikuwa tukilima mahindi na yalikuwa yanazaa mahindi makubwa sana na kuanzia mahindi matatu hadi manne bila kutumia mbegu feki za kisasa lakini leo hii hakuna kabisa.Huu ni mfano wa kawaida kabisa ambao kila mtu anaweza kuuona.Hili lipo wazi kabisa mkuu,afya ya ubongo najua inategemea unachokula lakini hiki nacho kinafifia kutokana na ardhi nayo kuendelea kuzeeka na kupoteza rutuba yake kadiri siku zinavyokwenda na ndiyo maana dunia hii inaondolewa kwenye maisha ya baadaye na kuletwa nyingine....
Tena Usijeukajidanganya au kuwadanganya watoto wako (Kama wapo) kuwa hawana akili kwa sababu ya dhambi, na kwasababu wao ni 6000th copy ya adam. Laana haikugusa akili. Ukisema kuongea na wanyama. Mtamo wangu ni kuwa unataka kuhafifisha Uwezo wa kiakili wa kibinadamu ili ukubwishe uwezo wa hao allien ili upate ground ya kupenyezea uzushi huu kuwa aliens wako nyuma ya haya maendeleo kwa sababu sisi hatuna akili.
Mbona haya unayakanusha tu hivi hivi bila hata kusema ni kwa vipi laana haikugusa akili?

Ni akili ipi unayoizungumzia wewe kwanza?

Akili ya kujenga ghorofa au akili ipi?
Kilichotokea kwenye ENLIGHMENT AGE watu waliambiwa maneno kama yako na kuamini ni kasisi tu au kiongozi wa dini ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kumpangia mwanadamu nini cha kufanya.
Kwanza kwangu mimi hakuna hiki kipindi.Hata kama kilikuwepo na kama nikaimua ku assume kuwa ilikuwa kama unavyosema wewe hili linaeleweka kuwa lilikuwa ninamfaidisha nani.Sasa kwenye hili nani anafaidika?

Swali hili nimekuwa nikikuuliza lakini umekuwa uki skip tu bila hata kulijibu.Hebu nieleze,habari za kuwepo Aliens zinamfaidisha nani?
Watu walipanza kufikiri nje ya box na utando huu uliowekwa na imani. Ndio nata newton alijiuliza kwa nini APPLE lianguke kwenda chini badala ya Juu, Watu wakaanza kutafuta majibu from nature. Jamaa wa uingereza akagundua steam engine ambayo baadae ikaja kuwa pivotal kwa industrial revolution. Hata Benjamin Franklin alipoenda england kikazi akiwa anamiaka 15 vuguvugu alililikuta huko lilimbadili maisha yake na Philadefia mji aliotoka na baadae marekani nzima. Waliamini Radi ni Ni adhabu kutoka kwa Mungu, Ben akagundua ni Charges na Kudesign Thunder arrester na Fire system, Magonjwa mengi mtaani, Akaanzisha Sewage system philadelphia nzima.
Kwa ufupi hiki unachokiona na kukihusudu kiasi cha kusema ni product ya aliens ni matokeo ya hawahawa wanadamu walioanguka dhambini kutumia 1/100000 ya ubongo wao wenye zaidi ya 100 billion cells. Nadhani kwa uwezo huo wa mwanadamu ndio maana mwenye hekima alisema Muhubiri 1:9- Hakuna Jipya chini ya jua.
Hizi hadithi zako zitakuwa na maana kama ukinijibu hoja zangu huko juu lakini tofauti na hapo utakuwa ni kama unasema riwaya ambayo ulikaririshwa tu bila kuwa na ushahidi wowote ule...
Alikuwa na akili sasa anaendelea kuwa mjinga tu....
Mkuu hapa naomba ututake radhi, Bibilia inamzungumzia huyuhuyu mwanadamu unayedhani hana akili yaani makapi ya adamu kiakili Mungu anasema NiMEMFANYA MWANDAMU PUNDE KIDOGO YA MALAIKA (Little Lower than angels). Yaana kimsingi Unamdharirisha na kumdogosha mwanadamu ili upate upenyo wa kuhalalisha story za UFO/ALIEN.

1PSALM 8
what is mankind that you are mindful of them,
human beings that you care for them?c
5You have made them a little lower than the angels
and crowned themf with glory and honor.
6You made them rulers over the works of your hands;
you put everything under theirg feet:
7all flocks and herds,
and the animals of the wild,
8the birds in the sky,
and the fish in the sea,
all that swim the paths of the seas.
9Lord, our Lord,
how majestic is your name in all the earth!
Waebrania/Hebrew 2:7
Umenifanya nicheke kabisa mkuu.....

Haya yanayosemwa hapa context yake ni nini?

Kabla au baada ya dhambi?

Ukijibu hayo nitaelewa kama unasoma Biblia kama gazeti au vinginevyo....
 
Nikuambie tu kwamba kuna ushahidi wa kutiosha wa haya ninayokueleza na Mungu akijaalia nikimaliza nitaanza masomo kwaajili ya kuwaeleza watu jambo hili la kutisha kabisa ambalo kwako ni kama hadithi.....
Mihadhara -LECTURES - nitaanza masomo
Nimekuelewa....

Lakini mbona unauliza kitu ambacho kina majibu humo humo kwenye unacho quote?
 
hizi conspiracy theories japo hiyo ya mkuu Eiyer ya kama inamantiki kabisa (alien conspiracy theory) ili kuzifuatilia kwa karibu ni vizuri kujua front historical view ya dunia yetu kwanza. Kuiangalia hizo dora za zamani zilitabiriwa according to daniel 2 kama unaamini lakini japo historia haipishani na maelezo hayo.
Image%2Bof%2BDaniel%2B2.png

freebiblestudylessons07a_image-of-daniel-2.jpg

Baada ya dora la rumi kuanguka 476, inaonyesha lilibaki ila vipande vipande na halitapotea hadi mwisho. hapa panatoa loophole ya kuchungulia matukio kwa jicho kutoka rumi na makao makuu yake kama kuna chochote tunaweza kuokota.
Kuhusu kutapakaa kwa arab spring sijafuatilia lkn kuna conspirancy kuwa zilipangwa lkn sina uhakika.

Kuhusu kuamini njama za siri juu ya haya mambo sio suala la wazi na siwezi kusema kunauhakika asilimia mia juu ya hizo njama. Ila njia nzuri ni kuangalia Sababu, Matokeo mapana ya Vita na trend za dunia kama angalau zinarandana na consprancy hizo. Matokeo ya vita vya pili ni Mataifa mawili makubwa US na USSR lkn kuibuka kwa israel political nation. Sasa kuna haja ya kujua nafasi ya wakina JP Morgan, Rckerfellor, Rothchilds, Bavarians,na hiyo rumi ambayo kwa mujibu wa historia ya kinabii hadi kesho ipo duniani na inainfluence kubwa kuliko kawaida. Hata kwa jicho la historia hii ya kawaida hiyo sababu ni hafifu sana. Wakati mzee Winston Churchill alioenda Ujerumani kabla ya vita wakati akifanya resarch yake aliona uwezekano kabisa baada ya kuona maandalizi makali ya Hitler na akwaambia Viongozi wasipokuwa makini kuna hatari mbele inakuja ndio maana vita vilipoanza walimkabidhi yeye Usukani. Na US wanavyoingizwa kwenye vita hivi vyote huwa ni kwa utata mwingi unaoacha maswali mengi pia.
Moja:Unaweza kufafanua ni kwa namna ipi Rumi ipo kwenye huo unabii wa Danieli?
Mbili;Roman Empire ilianguka mwana 476 kwa historia ipi mkuu?
 
Tangu niliposoma na kujua alichokuwa anakimaanisha Plato kwenye kitabu chake cha Republic hasa kwenye story yake ya Allegory of the Cave ndiyo nilianza kuelewa kabisa hasa tunaishi kwenye dunia ya namna ipi....

Kimsingi,watu wote ambao leo tunawachukulia kama "majiniaz" walipata ujuzi waliokuwa nao kutoka mahali fulani,Mesopotamia huko.Pythagoras,Socrates,Galileo,Alexander the Great,Plato na hadi hawa akina Sir Francis Beacon na John Dee ni watu ambao walipata elimu hizi tofauti kabisa na wanafunzi wengine waliikuwa kwenye madarasa ya watu hawa....

Socrates aliwahi kumueleza mwanafunzi wake mmoja aitwaye Plato kwenye madarasa yao kwamba,elimu anayowapa ni elimu iliyoko kwenye makundi mawili.Kunsi la kwanza ni lile la kawaida ambalo wanapewa elimu ya kawaida kuhusu mafuzo waliyokuwa wanapewa na kundi la pili ni lile ambalo linapewa elimu maalum na nyeti ambayo hakupaswa kupewa mtu yoyote na ni elimu maalum ambayo ndiyo lengo kuu la wao kufundishwa....

Kwenye darasa maalum ambalo walipewa elimu maalum ambayo Socrates alimueleza Plato,miongopni mwa wanafunzi waliokuwemo ni Plato mwenyewe.Utaratiobu huu ambao Plato alielezwa na mwalimu wake ulikuwepo tangu Socrates mwenyewe alipopata ujuzi huo kutoka kwa Pythagoras na Plato aliendelea kuwa nao na hata wanafunzi wake waliofuatioa kama akina Alexander The Great waliendelea nao....

Hapa sasa dipo tunakuja kupata maana mbili za hadithi ya Allegory of the Cave inayopatikana kwenye kitabu cha Plato kiitwacho The Republic.....

Hadithi ile inazungumzia watu waliokuwa kwenye pango ambao walikuwa wamefungwa kwa minyororo kwenye miguu yao wakati huo huo nyuma yao kukiwa kuna mto unaowaka.Watu hawa waliishi kwenye pango hili kwa miaka mingi sana,wakiwa wameelekezea nyuso zao kwenye ukuta wa pango lile wakitazama vivuli vyao ukutani na waliamini ule ndiyo ulikuwa uhalisia [the dancing shadow became their reality]....

Kwao maisha na dunia ilikuwa ni ile waliyokuwa wakiiona kwenye pango lile.vivuli ndiyo mazingira yaliyowazunguka na huo ulikuwa ni ukweli mkubwa sana kwao....

Uhalisia ule ambao ulikuwa wazi kabisa kwenye macho yao ndiyo ulikuwa ukweli.Haikuwa rahisi kabisa kuja kumueleza mmoja wao au wote kwamba ule hukuwa uhalisia kwakuwa walikuwa wakiona kwa macho yao.Waliamini kila walichokuwa wakikiangalia kilikuwa ndicho halisi...

Bahati mbaya kabisa ni kwamba hawakujua kwamba uhalisia ule ulikuwa umetengenezwa tu,haukuwa halisi.Waliamini kila walichokuwa wanakiona ni halisi.Waliamini hakuna anayeweza kutengeneza kitu halafu kikaonekana kuwa halisi hadi siku mmoja wao alipokata mnyororo na kutoka nje na kuuona uhalisia halisi na kurudi ndani kuwafungua wenzake minyororo ile na wao kuja kuuona uhalisia ambao hata kwa bunduki wasingekubali kuwa upo kama mtu angeenda kuwaeleza hili.....

Ukiangalia au ukitaka kujua maana ya hadithihii ndipo utakuja kuona kile ambacho kinaendelea duniani.Plato aliwaeleza maana halisi ya hadithi hii watu wachache sana wanaitwa "the elect ones",watu ambao walikuwa wakielezwa haya kwa sababu maalaum ili waje kutawala dunia....

Kinachoendelea duniani leo sicho kilichopo kwenye uhalisia,siyo uhalisia bali ni uhalisia uliotengenezwa tu.Wengi na nadhani hata wewe unaamini kuna ugonjwa unaosababishwa na kirusi fulani kinachoitwa HIV,unaamini kuna ugonjwa unoitwa EBOLA unaoua kikatili kabisa,unaamini kuna mafua ya ndege,unaamini kuna watu wanaotishia maisha ya watu wanaoitwa magaidi,unaamini rais wa Marekani anachaguliwa na wapiga kura kidemokrasia,unaamini kuna uadui kati ya Marekani,China na Urusi,unaamini dunia ina watu wengi sana hivyo inaweza kuja kuleta matatizo hapo baadaye hivyo tunapaswa kutumia uzazi wa mpango.Unaamini kuwa dunia ina mabilioni ya miaka,Unaamini kuwa viwanda vinaharibu hali ya hewa na kuzababisha mvua kutonyesha na kuongeza joto duniani,fake relity ziko nyingi sana....

Tunaishi kwenye pango,vivuli vilivyotengenezwa na moto ndiyo uhalisia wetu,giza lililoko ndani ya pango ndiyo ukweli wetu.Minyoror inatufanya tuamini hivyo kwakuwa hatuwezi kutoka humo....

Sasa basi pango ni nini,minyororo ni nini?Moto na vivuli ni nini? Maana za haya yote utaweza kupata angalau clue kama utanisoma hapo juu kwa makini.Hapa ndipo tunapokuja kuamini kwamba vita vinasababishwa kwasababu tunazoambiwa,lakini kuna sababu za kweli ambazo hatuambiwi....

Tunaishi kwenye dunia ambayo ukipata hata nukta kidogo ya ukweli utaogopa....

Nimesema haya ili kukufanya mkuu MSEZA MKULU uangalie tena mara mbili sababu za vita ulivyovisema hapo kwenye mada yako ili uone kama hazina chumvi au uongo.....

Ashante......
Umeisoma The republic nzima au ulisoma article fupi na ufafanuzi wake ukafunguka akili? Plato ni sehemu ndogo sana katika siasa za karne ya 18 mpka leo... Jaribu kupitia "On politics" ya Aristotle pamoja na kitabu cha Machiavelli "..Prince"

Maisha hayapo kama Plato anavyosema,ulimwemgu umebadilika. Hatuishi kwa nadhalia bali sayansi ya vitendo na chunguzi(research).

Kinachozungumzwa hapo juu ni conspiracy theories na sio si the art of leadership kama Plato anavyowaitwa "chosen one to lead.
 
Umeisoma The republic nzima au ulisoma article fupi na ufafanuzi wake ukafunguka akili? Plato ni sehemu ndogo sana katika siasa za karne ya 18 mpka leo... Jaribu kupitia "On politics" ya Aristotle pamoja na kitabu cha Machiavelli "..Prince"

Maisha hayapo kama Plato anavyosema,ulimwemgu umebadilika. Hatuishi kwa nadhalia bali sayansi ya vitendo na chunguzi(research).
Mimi nimeandika nilichokisema na nimejenga hja ni kwanini nimesema nilichokisema kutoka kwenye kitabu cha Plato nikiunganisha na kinachotokea duniani.Pia,sijasema kuwa Plato ndiyo kila kitu kwenye maisha ya karne ya 18 isipokuwa nimesema kile ambacho alikisema na kinavyohusiana na maisha tunayoishi leo tena kwa mifano kabisa...

Wewe unakuja na kusema maisha hayapo kama Plato anavyosema bila hata kusema hayapo hivyo namna ipi,unataka nikuelewe namna ipi?

Nilichokisema hakukisema Palto moja kwa moja bali ni namna ambayo wale ambao hawakupendezwa na mtindo wao wa kufundisha [akina Plato,Socrates,Aristotle n.k] ambapo walikuwa wakiwa group wanafunzio wao na kundi moja kupewa elimu iliyokuwa inamaanisha kile walichokuwa wakifundishwa na wengine wakiambiwa ambayo hayakuwa kweli,wewe hapa tayari umeshamhukumu Plato kudanganya,utajisikiaje akina mtu mwingine akiyafasiri tofauti maandiko ya Plato?

Usimhukumu Plato kutokana na kile nilichokisema japokuwa kinaweza kuwa kweli na kinaelekea kuwa kweli bali unapaswa wewe unihoji mimi niliyenandika hayo...

Nadharia ndiyo msingi wa sayansi yote.Unaanza na nadharia kisha unafanya utafiti bna baadaye unapata jibu,huwezi kuanza bila nadharia hivyo kusema hatuishi bila nadharia unakuwa haupo sawa kwa kiwango chote....
Kinachozungumzwa hapo juu ni conspiracy theories na sio si the art of leadership kama Plato anavyowaitwa "chosen one to lead.
Kinachozungumzwa na nani?

Kwanini ni conspiracy?
 
Kuna mambo unapaswa uyaelewe mkuu...

1;Huyu mtu nilisema kwamba kinachofanya niyachukulie maelezo yake kwa umuhimu wa pekee ni wadhifa wake,hapa nilikuwa ninamaanisha sio wadhifa wake kitaalam tu bali na aliyoyafanya na hadhi aliyopewa na serikali ya Marekani...

2; Hayo mengine niliyosema huyu siyo source yangu ya haya mambo japokuwa na yeye ameyazungumzia.Tatizo lako la kudhani kwamba huyu ndiyo source ya yote ninayoyasema hapa ndiyo imepelekea wewe kujenga hoja kwa kumuegemea huyu wakati sivyo....

3;Kuna wengi sana waliofanya utafiti,waliotoka kwenye serikali ya Marekani na kusema na hata wale ambao wanafanya utafiti hadi leo..

4;Kuna coverup ya kutiosha ya mambo haya na miongoni mwa wanaohusika ni Vatican na serikali kubwa za nchi kubwa duniani...

Haya na mengine mengi sana ni miongoni mwa mambo ambayo yanaweza kukufanya ukaanza kujiuliza maswali ambayo yatakufanya uanze kupata picha,lakini kwasababu wewe ushaanza tu kusema ni uongo huna ambacho utajifunza na utaishia kusema tu ni uongo....
hayo mengine yanaumana au ya napishana na siri zilizovijishwa na huyu jamaa. Kama vipi tusiende sana huko naona tutazunguka sana. Mada inazungumzia Vita hivi vilipangwa au vilitokea. Kwa maelezo yako Kuwa Mipango hii walio nyuma yake sio tu wanadamu bali Advanced Beings ambao ni machotara wa kishetani sio maraika wala majini. Naoma uzame zaidi kuthibitisha hilo kwa lugha ya kueleweka kirahisi.
 
Unafikia mahitimisho ya ajabu kabisa na ambayo hata sijayasema na sijui ni kwanini uko hivi.Unashindwa kabisa ku stick kwenye kile ninachokisema na matokeo yake unaibuka na mahitimishi ya ajabu ajabu tu...

Wapi nimesema "chochote kizuri ni cha advanced being"?

Mimi kusema kuwa kwa kiwango kikubwa maendeleo na sayansi tunayoijua ni matokeo ya viumbe hawa simaanishi kwamba binadamu ni zuzu kiasi hicho,unasomaje maandiko yangu aisee?

Point yangu ya msingi ni kwamba haya unayoyaona siyo yote ni production ya akili ya binadamu wa kawaida,hii kauli unaielewa lakini?

Unataka hili jeshi lote la Shetani lifanye nini kwa mfano?
Shetani anahitaji nini?

Nakuuliza haya maana hata sielewi mantiki ya hiki ulichokiandika hapa,ukifafanua huenda nitakuelewa....

Moja,sijasema mimi kuwa wamefungwa bali ni Mungu mwenyewe kupitia maandiko ambayo nilishakupa...

Mbili,Kwanini uhalali wa kuwepo hawa viumbe ukosekane? Kwani baada ya kukosea huyu Shetani alifungwa hapo hapo?

Haya siyo matokeo ya dhani bali haya ni adhabu baada ya kukosea.Matokeo ya dhambi ni sisi kupokwa mamlaka ambayo tulipewa na Mungu ambayo sasa anayo Shetani...

Tofautisha matokeo ya dhambi na adhabu ya dhambi....

Hapana,hili nalo siyo tokeo la dhambi bali ni matokeo ya kula tunda la ujuzi wa mema na mabaya.Binadamu hakuumwa na mwili wa ku withstand ujuzi wa mema na mabaya na ndiyo maana anakufa leo.Ili aweze kuishi milele huku akijua mema na mabaya alitakiwa ale tena tunda lingine ambalo ni la uzima na hili Mungu alilizuia na kumfukuza mwanadamu kwenye bustani ya Eden...

Ni sawa na wewe ulibebeshe gari mzigo mkubwa zaidi ya uwezo wake wa kuubeba.Gari lile litaharibika kwa namna mbali mbali.Inawezekana chesis ikavunjika kwa mfano.Kuvunjika kwa kifaa hiki kwenye gari ni matokeo ya gari kuwa dhaifu kuhimili uzito wa mzigo ambao gari hilo lilibebeshwa.On the other hand binadamu naye ni hivyo hivyo,hakuwa na uwezo wa kuhimili kujua mabaya na mema na matokeo yake ni kuharibika kwa mwili wake na kusababisha kifo,hatukuumbwa kuweza kuhimili jambo hili mkuu...

Kwa hiyo kifo ni matokeo ya kula tunda la ujuzi wa mema na mabaya....

Nilikuambia kwamba tangu binadamu akosee mambo yalibadilika kabisa...

1;Kwanza unapaswa ujue kwamba binadamu hakuumbwa na maarifa ya kujenga majengo,kugundua nguo au mengine yoyote yale ndio maana kabla ya kukosea alikuwa uchi na hakuona kama jambo hilo ni tatizo na hakuishi kwenye nyumba yoyote maana halikuwa hitaji lake,haya mambo yalikuja baadaye baada ya kukosea na kwasababu hii Mungu ndiyo akawa anampa mwanadamu maarifa kutokana na mahitaji yake lakini Mungu amekuwa specific kwenye mambo haya kama maandiko ambayo umekuwa ukinipa huko juu ambayo Mungu amekuwa akisema amewapa wanadamu akili au uwezo wa kufanya hiki na kile lakini huyu mwanadamu hakuwa hivyo kutokea mwanzo...

Lakini pamoja na hayo,ubora wa mwanadamu kuanzia akili hadi mwili umekuwa ukipungua kadiri siku zinavyokwenda.Kukupa mfano rahisi kabisa ni kwamba,ukiangalia tu kwenye mazingira yako ya shughuli za mwanadamu utaona ushahidi wa haya....

Angalia hata muziki kwa mfano,muziki wa kipindi cha nyuma unaonekana bora kabisa kuliko wa sasa.Angalua hawa wanaomaliza chuo leo,angalia uwezo wa michezo mbali mbali,kwa sisi ambao tunaangalia soka tunaliona hili maana siku hizi ni kama hakuna kabisa vipaji ukilinganisha tu na miaka ya juzi juzi hapa ya 2000...

Nini kinasababisha yote haya?

Watu wanaendelea tu kuwa wajinga na hili halijaanza leo bali tangu anguko la mwanadamu.Nina mifano mingi sana lakini huenda hiyo ikakusaidia kuelewa angalau ninachokisema....

Kwanza naomba ujue kwamba uwezo wa Danieli ulikuwa ni kutoka kwa Mungu moja kwa moja kwasababu maalum...

Pili;Ni kweli kwamba vyakula vinamfanya mtu awe na afya nzuri ya akili,lakini kuna kitu inaonekana hukijui mkuu.Ni kwamba baada tu ya dhambi kuingia duniani ardhi nayo ililaaniwa.Hii ina maana kwamba vyakula navyo vinaendelea kufifia ubora wake,kile ambacho chakula kilikuwa kikiupa ubongo wakati ule wa Adamu siyo kile kile ambacho kinaupa ubongo wako leo...

Haya ni mambo ambayo yapo wazi kabisa na ukiyatazama yanaeleweka.Kipindi cha nyuma wakati niko kijijini kwa mfano,nakumbuka tulikuwa tukilima mahindi na yalikuwa yanazaa mahindi makubwa sana na kuanzia mahindi matatu hadi manne bila kutumia mbegu feki za kisasa lakini leo hii hakuna kabisa.Huu ni mfano wa kawaida kabisa ambao kila mtu anaweza kuuona.Hili lipo wazi kabisa mkuu,afya ya ubongo najua inategemea unachokula lakini hiki nacho kinafifia kutokana na ardhi nayo kuendelea kuzeeka na kupoteza rutuba yake kadiri siku zinavyokwenda na ndiyo maana dunia hii inaondolewa kwenye maisha ya baadaye na kuletwa nyingine....

Mbona haya unayakanusha tu hivi hivi bila hata kusema ni kwa vipi laana haikugusa akili?

Ni akili ipi unayoizungumzia wewe kwanza?

Akili ya kujenga ghorofa au akili ipi?

Kwanza kwangu mimi hakuna hiki kipindi.Hata kama kilikuwepo na kama nikaimua ku assume kuwa ilikuwa kama unavyosema wewe hili linaeleweka kuwa lilikuwa ninamfaidisha nani.Sasa kwenye hili nani anafaidika?

Swali hili nimekuwa nikikuuliza lakini umekuwa uki skip tu bila hata kulijibu.Hebu nieleze,habari za kuwepo Aliens zinamfaidisha nani?

Hizi hadithi zako zitakuwa na maana kama ukinijibu hoja zangu huko juu lakini tofauti na hapo utakuwa ni kama unasema riwaya ambayo ulikaririshwa tu bila kuwa na ushahidi wowote ule...

Umenifanya nicheke kabisa mkuu.....

Haya yanayosemwa hapa context yake ni nini?

Kabla au baada ya dhambi?

Ukijibu hayo nitaelewa kama unasoma Biblia kama gazeti au vinginevyo....
Hapa ndio tunapopishania. Wavumbuzi wa kila kitu duniani unaweza kuwatraceback ukapata kujua ilikuwajekuwaje. Anza na Historia ya Dunia halisi kabla hujaingia kwenye upimwengu wa kufikirika.

Umeandika vingi sana; ila kati ya vyote havijasakafiwa na biblical evidences zaidi ya kutoa Mifano ya Mpira wa Miguu kuwa viwango vinatisha utadhani hujamuona yule dogo DEMBELE wa CELTIC alivyoonyesha ujuzi wa hali ya juu alivyocheza na timu ya wakubwa. Hijawahi kutokea tangu dunia iumbwe.
 
Back
Top Bottom