WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa.......

Mkuu unanifurahisha sana aisee.Nani kasema kuwa Phil Schneider ni mtu wa kwanza kuzungumzia haya mambo? Masuala ya UFOs yapo since B.C huko halafu nije niseme mtu aliyekuja kusema kwenye miaka ya 1990's ndiye wa kwanza?

Hivi hao akina Senetor Barry Goldwater, Lord Hill Norton mkuu kitengo flani British loyal army, Brigedia General Urther Axon.Director ni reliable source namna ipi aisee?

Nilikupa hiyo video kwasababu nilitaka usikilize kutoka kwa mtu ambaye ana wadhifa ambao hutaweza kutilia mashaka kirahisi rahisi tu anachokisema kama unavyotilia mashaka ninayosema mimi hapa kwakuwa hata hunifahamu....

Masuala ya UFOs sijui unataka uyasikie kutoka kwenye vyanzo vipi unavyoviamini.Ungeelewa msingi wa hoja zangu ni kwamba tunadanganywa juu ya uwepo wa hawa viumbe na wenye mamlaka makuu kabisa duniani kwaajili ya faida zao binafsi na kwasababu wao wanahusiana kwa namna moja au nyingine na hawa viumbe wala usingekuwa unataka vyanzo kutoka kwa watu ambao ndiyo wanatudanganya kama unamaanisha vyombo vya habari vikubwa vukubwa kusema au wataalam wenye noble prize waseme....

Unataja watu ambao ni wahusika wa serikali,unarudi kule kule.Kama hujui ni kwamba kuna web nyingi sana za hawa hawa wanaotudanganya ambao wanatoa fake info kupoteza watu.Wale ambao waliasi na baadaye kuuawa ndiyo hutoa ushuhuda unaoshikika....

Unaposema ushahidi usio na shaka kutoka kwa Phil Schneider unakuwa na maana ipi? Yaani kwa mfano hilo "jiwe" ulitaka awape watu wakahakikishe asemacho au ulitaka afanye nini? Hivi unajua ni nini alichokuwa anamaanisha huyu mtu? Unajua ni aina ipi ya maisha alikuwa anaishu huyu jamaa? Unajua ni madhara yapi ambayo aliyapata akiwa kazini akijihusisha na haya masuala?

Hoja zako ni nyepesi sana kwa wale ambao tunajua ni namna gani haya mambo yanaendeshwa lakini kwa watu ambao hawajui wanaweza kuona zina mashiko.Ni ngumu sana kuthibitisha kitu ambacho kwanza ni kinyume cha sheria kuwa nacho halafu ni ngumu kumpa mtu yoyote tu aka verify ili aamini.Mazingira haya ni magumu sana.Mtu alikuwa hadi anahama nyumba tano kwa usiku mmoja ili aendelee kuwa hai unakuja kusema tu hapa "hataki kutoa nafasi kwa wengine kuthibitisha asemacho" utadhani ni mtu tu ana gari halali halafu anasema linakimbia kuliko yote kisha ukahoji sababu ya yeye kutompa mtu mwingine aendeshe kuthibitisha....

Unayohoji yangekuwa ya maana sana kama ingekuwa ni kitu halali tu tunakijadili hapa ambapo tungeweza kwenda kwenye maabara zozote za kisayansi tukathibitisha....

Bado,huwezi kupata majibu ya maswali yako kirahisi hivyo kwa kuangalia video moja....

Eti tuje tujadili ukweli na uongo kwenye maelezo yake.Utatumia nini kusema hiki ni uongo au hiki ni ukweli? Hisia au nini hasa? Una hilo "jiwe" lake ili ukalipime uone ni uongo aliyokuwa akiyasema kulihusu?

Unafurahisha sana aisee...
nimegundua haya madude yamekushika sana mkuu. Yaani vitu ambavyo havina proof. Sikuwahi kutegemea kuwa kuna mtanzania anaamini mambo mepesi kishabiki hivi.

Tunazungumzia Extraterestrail being wenye uwezo zaidi ya Mara Mia wa Binadamu (Kwa mujibu wa Wanaoamini). Jamaa wanachimba Underground Station tena HAO VIUMBE ETI pamoja na uwezo mliowapa wanamsubiria huyo jamaa aje awapige risasi. Kwa akili ya kijijini kabisa hizo stori hazina mantiki. Ngoja niiandike yote. Eti UFO akampiga na kumkata Vidole Kisha kukimbia. Daa!!! nimeelewa kwa nini hauna ujasiri wa kuyanena haya waziwazi hadi tukupress sana maana unajua hayana Mantiki. Na wengi walishazipuuza hizo stori maana hakuna Uthibitisho na ni za kufirika. Nimegundua tunakazi kubwa sana bado. Na nafikiri haya ni madhara ya kuaminishwa haya mambo ni siri hivyo unajilimit kufikiri. Ni bora sana ungeyaweka kama MYTH au Assumptions ili ikiwa sio kweli iwe safi sasa mkuu unajiaminisha kabisa stori zile daa!!!!
 
kama basis ya haya unayotoa unayaassociate na maelezo ya yule jamaa yako. Basi utakuwa na tatizo kubwa sana.
nitaeleza baadae kdg
Huyu siyo main basis bali ni sehemu ya bahari kubwa sana ya msingi wa yote haya.....

Nasubiria uje useme unachotaka kusema lakini najua utajichanganya tu....
 
nimegundua haya madude yamekushika sana mkuu. Yaani vitu ambavyo havina proof. Sikuwahi kutegemea kuwa kuna mtanzania anaamini mambo mepesi kishabiki hivi.
Proof,siyo? What kind of proof do ypou need mr?

Hahahahahaaaaaaa......Eti proof....

Unanifurahisha sana aisee....
Tunazungumzia Extraterestrail being wenye uwezo zaidi ya Mara Mia wa Binadamu (Kwa mujibu wa Wanaoamini). Jamaa wanachimba Underground Station tena HAO VIUMBE ETI pamoja na uwezo mliowapa wanamsubiria huyo jamaa aje awapige risasi. Kwa akili ya kijijini kabisa hizo stori hazina mantiki. Ngoja niiandike yote. Eti UFO akampiga na kumkata Vidole Kisha kukimbia. Daa!!! nimeelewa kwa nini hauna ujasiri wa kuyanena haya waziwazi hadi tukupress sana maana unajua hayana Mantiki. Na wengi walishazipuuza hizo stori maana hakuna Uthibitisho na ni za kufirika. Nimegundua tunakazi kubwa sana bado. Na nafikiri haya ni madhara ya kuaminishwa haya mambo ni siri hivyo unajilimit kufikiri. Ni bora sana ungeyaweka kama MYTH au Assumptions ili ikiwa sio kweli iwe safi sasa mkuu unajiaminisha kabisa stori zile daa!!!!
Ngoja niache hizi hadithi zako za ajabu na nikuulize kijiswali....

Huyu ndugu nini kilitokea baada ya kukutana na timbwili la hawa viumbe?

Maana naweza kuwa najadiliana na mtu ambey ameangalia vijipande vijipande tu vya documentary ahalfu anajengea hoja hivyo vipande kama ulivyofanya kwenyer kitabu cha Enoch....

Nijibu kwanza hicho kijiswali mkuu....
 
Proof,siyo? What kind of proof do ypou need mr?

Hahahahahaaaaaaa......Eti proof....

Unanifurahisha sana aisee....

Ngoja niache hizi hadithi zako za ajabu na nikuulize kijiswali....

Huyu ndugu nini kilitokea baada ya kukutana na timbwili la hawa viumbe?

Maana naweza kuwa najadiliana na mtu ambey ameangalia vijipande vijipande tu vya documentary ahalfu anajengea hoja hivyo vipande kama ulivyofanya kwenyer kitabu cha Enoch....

Nijibu kwanza hicho kijiswali mkuu....
Nitakueleza kila kitu maana wewe unaona aibu kufunguka kwa sababu wenda huna uhakika.
aliens-597x297.jpg

Hawa jamaa zako ndio waliingia Mkataba na US mwaka 1954. Na wanampango wa Kuitawala Dunia (NWO). Eti wameshaua wanadamu kati ya Mil 6 hadi 8. Na Wanampango wa kupunguza watu kabisa hadi wabaki wachache. Kisha Wawatawale wanadamu wote kama watumwa Kwa faida yao. Mkuu mbona unatolewa kwenye mstari na story za kufikirika kirahisi namna hii aisee. Kisa Umeambiwa siri umekunywa bila kufikiri. Huu ni mpango wa kuwatoa watu kwenye BIG PICTURE ya NWO ili wakazi wa dunia wawe na hofu. These things are not only Unscientific but also non-biblical.
 
Nimefanya utafiti wangu kwa kiasi nilichoweza na bado naendelea kufanya utafiti huu.Kuna mengi nisiyoyajua na machache sana nayajua....

Nina miaka zaidi ya 8 ninafanya utafiti huu,ni miaka michache sana ukilinganisha na wale ambao nawaona na nimewakuta humo kwenye utafiti wa haya mambo ambao wana zaidi ya miaka 30 hivyo najiona kama katoto kachanga kwao.....

Ninachoweza kuwahimiza nyote hapa ni kupenda kusoma na kutafiti.Kuna watu wanadhani ishu kama za UFO's ni hadithi wakati zipo kabisa na kuna watu wamepoteza maisha yao kwa kusema hadharani....

Mambo ambayo tunatamani kuyajua yana gharama yake.Tupo na tunaendelea kufanya utafiti,unaweza kudhani najua mengi kumbe ninachokijua ni kama punje ya mchanga kwenye fukwe ya bahari....
UFO's ni nini mkuu embu jaza nyama kidogo katika hili.
 
Swali dogo sana hili na hii siyo mada yake....

Tuache kuharibu mada hii na hili tutajadili kwenye mada nyingine.Lakini unapaswa kujua mambo mengi kabla hujauliza swali kama hili....

Unapaswa kujua kwamba huyo Kain aliishi miaka mingapi pia unapaswa kujua kwamba alipata ndugu wengine kutoka kwa wazazi wake vile vile.....

Mwishowe utauliza Musa alijuaje mambo ya uumbaji wakati hakuwepo wakati wa uumbaji....
Hilo la Mussa sina haja kuuliza maana liko wazi. La Adamu unaweza kusaidia hata kwa kifupi maana ndugu yake mwingine Kaini alikua Seti. So Kaini na Seti walioa kina nani?

Ndio maana mi naona ni stori tu ile. Unless iwe kuwa Mungu aliumba wengine zaidi ya Adamu.
 
Kuhusu Wanefili ni kwamba nina vyanzo tofauti tofauti ikiwemo Biblia.Kuna findings nyingi zana za kiutafiti ambazo zimepatikana na zinazoendelea kupatikana ambazo zinaonesha kwamba ni kweli wanefili walikuwepo.Vyanzo ambavyo ni baadhi ni The Book of Enock,The book of Giants,The book of the Dead n.k....

Ni kweli na nina uhakika kuwa Wanefili na masuala yote ya interbreed ni matokeo ya malaika waasi kukutana na wanadamu kimwili.Hili limeelezwa kwa upana wa ajabu kabisa na Henoko [Enoch] kwenye kitabu chake,ngoja nikuambie kitu....

Wakati wa kihistoria wa kule Qumran wa vitabu vya kale kabisa kugunduliwa karne ya 20,miongoni mwa vitabu vilivyogunduliwa huko ni The Book of Enoch,baada ya ugunduzi huu kutokea taarifa zilipofika UN,haraka sana jeshi la umoja huo lilifika eneo lile na kuzuia kile kilichokuwa kikiendelea eneo lile na baadaye eneo lile lilikabidhiwa kwa Vatican na baadaye hakuna kilichosikika tena kuhusu kitabu cha Enoch lakini ikasikika kuhusu mambo mengine ambayo yanaendana sawia kabisa na historia yetu.....

The book of Enoch ni kitabu ambacho kinaelezea mengi yasiyotakiwa kujulikana katika ulimwengu huu ikiwemo na rangi halisi ya Yesu,Waisraeli na ukweli juu ya yote haya ambayo yanaendelea leo.Yesu alikuwa mweusi kama wewe pamoja na Waisraeli,pia kwa namna ya ajabu ya ambayo unaweza kuona ni kama kichaa hivi ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa Wabantu ni Waisraeli,hili tuliache kwa sasa maana unaweza kuniona kichaa,lakini hayo ndiyo ambayo yalisababisha kitabu cha Enock kupigwa ban....

Kwa bahati mbaya sana copy ya kitabu hiki ilikuja kugunduliwa tena Ethiopia na walishindwa kuthibiti kusambaa kwake.kwa maana hii kitabu hiki kinatoa details za kutisha juu ya haya mambo....

Kinawataja malaika hao kwa majina,kazi walizofanya kudanganya wanadamu na chanzo cha yote haya.Kitabu cha ufunuo nacho kilitakiwa kisiwepo kwenye maandiko matakatifu ya Biblia lakini kilisalimika kutokana na lugha yake kuwa ngumu na kushindwa kueleweka na watu wengi.Lakini pamoja na hayo Shetani ameleta walimu wa uongo ili kupotosha kile ambacho kimeandikwa humo japokuwa kwa lugha ngumu kabisa,tuwe makini sana na hawa watu.....

Uwezekano wa jambo hili upo na linawezekana kabisa malaika hao waasi kuingiliana na binadamu.Kuna watu wanapinga hili lakini ushahidi uliopo unaonesha kinyuime na madai yao.Mfano kwenye Biblia agano la kale,waana wa Mungu wamekuwa wakisemwa kuwa ni malaika,ushahidi wa hili ni kwenye kitabu cha Ayubu nimesahau kidogo ni mstari upi lakini ipo na siyo mara moja,nikikumbuka nitakueleza maana hapa sipo kwenye utulivu mzuri kiasi,pia ushahidi kutoka kwenye vitabu vingine nilivyovitaja hapo juu....

Naomba niweke wazi kuwa,vitabu hivi,ukiacha kitabu cha Enoch,vingine vinbazungumzia mambo mengine ambayo siyo ya kweli.Kitabu cha Enech ni kitabu ambacho kwangu ni muhimu sana kwasababu ni kitabu ambacho hata baadhi ya wanafunzi wa Yesu walikirejea hasa Yuda aliyeandika barua ambayo ni miongoni mwa barua zilizopo kwenye Biblia,hivyo watu wanapovitafuta vitabu hivyo na kuvisoma wawe makini kweli kweli.....

Kuna kitabu ambacho wanaweza wasikipate,kitabu hicho ni The book of Jasher,hiki ni kitabu kilichosemekana kilitoweka na kilichopo ni copy ambayo siyo halisi hivyo pia wawe makini.Vitabu hivi ni source nzuri ya mambo haya pamoja na kutafuta makala ambazo watafiti wamefanya na kupata ushahidi wa uwepo wa viumbe hawa....

Kwa maana rahisi kabisa ni kwamba inawezekana na ilifanyika na inafanyika hadi leo kwamba kuna binadamu tunawaona kuwa ni binadamu lakini kiuhalisia siyo binadamu kwa silimia 100 na hawa ni matokeo ya wanadamu kukutana kimwili na wale malaika waovu....

Fuatilia kitu kinachoendelea kule Geneva kwenye mitambo ya baraza la Nyuklia la Ulaya lijulikanalo kama CERN kwenye mitambo ya LHC kisha uanzie hapo.Kama ni mchunguzi kuna mengi utayajua kupitia project hiyo.....
Mkuu naomba majibu juu ya uwepo wa alliens,,na je viumbe hawa wanaishi miaka mingi kama tunavo aminishwa,na je wanapatikana nchi gani?? Je ni kweli ni viumbe wenye akili nyingi sana duniani??


,,ahsante.
 
STORY FUPI YA HUYU MBABE PHIL SCHNEIDER KAMA ULIVYOMLETA MKUU Eiyer

1:BACKGROUND
images

Huyu ni mmarekani ambaye amejitambulisha kama alikuwa mfanyakazi wa Serikali. Professionally ni Geologist na Structural engineer ambaye kwa muda wa miaka 17, Alishiriki katika Mipango ya Siri ya Kujenga Underground Top Secret Military bases Huko marekani Au GOVEMENT black projectS (Rhyolite 38 Clearance).
Alijifunza Mwenyewe METALLURGIST na Akawa na Mbinu za Kutengeneza Milipuko ambayo ilimpa ujuzi wa kumfanya afae kushiriki kwenye miradi Hii Ya siri kubwa duniani kwa Mujibu wa wanaemuamini.

2:VITU AMBAVYO ANAVIELEZA MBABE HUYU;
1: Serikali ya Marekani iliiingia mkataba na Viumbe hawa mwaka 1954. Aliingia mkataba na SPECIES 11 ya Hawa Extraterrestrial Beings/UFO/ALIENS .

2: ANasema Hizi Black Projects za chini ya Ardhi Huko marekani zinaigharimu serikali USD Trill1.03 Kila baada ya miaka Miwili. Kitu ambacho hakuna raia anayeishi huku juu ardhini anajua. Huko wanaendesha Miradi amabayo Technologia yake iko miaka 1000 mbele ya hii tunayoiona sasa hapa ardhini.

3:Anadai anatembea na kipande kidogo cha chuma (TITANIUM METAL ALLOY) amabayo alikipata katika mapambazo na hawa wadudu. Ila anasema technology hiyo kutoka kwa hawa viumbe US wametumia kutengeneza SR-71 Blackbird, F117A Nighthawk, “black” helicopters, satellites, and Phoenix Nuclear Submarines.

4:Anasema katika ushuhuda wake yeye ameshiriki kujenga Vituo hivyo vya Chini ya Ardhi marekani zaidi ya 131 Vinavyounganishwa kwa TRENI ZENYE SPEED NA TECHNOLOGY YA HALI YA JUU. TRENI HIZO ZINAZUNGUKA CHINI YA ARDHI KIMYAKIMYA HAKUNA MTU YOYOTE HUKU JUU ANAJUA> HUKO JAMAA HAO UFO NA MAELFU YA WANADAMU WAKO BIZE WANAANDAA MIPANGO.(DUMP PROJECTS). Miradi kama hii amabyo imeunganishwa chini kwa chini imetapakaa Dunia nzima vipo vituo zaidi ya 1000 chini ya ardhi.
ad3034ec2e8a.gif


3:TUKIO ALILOSHIRIKI NA LINALOKMFANYA AWE MTU WA KUTUMAINIWA DUNIANI ALIYEVUJISHA SIRI HIZO

mWAKA 1979 Alikuwa katika harakati ya UJENZI WA KITUO HICHO cha chini ya ardhi huko Dulce Military Compound, Los Alamos Jimbo la NEW MEXICO.
Yeye akiwa na Kikosi cha Delta force wakiwemo na wanajeshi wa nato (WATU 66). Anasema walitumia HIgh tech drilling mashine kushimba chini ili wajenge hiyo base. Baada ya zoezi kuwa Gumu alitumwa chini kuangalia nini Kilichokuwa kinakwamisha Hilo zoezi akisindikizwa na mwenzake. ANasema Kumbe Walikuwa wanachimba Juu ya BASE ya HAWA ALIEN Wailikwa na kakambi kao hapo chini ya arthi mahala ambapo wao pia walikuwa wakichimba. Ndipo akakutana na hao GREY ALIENS uso kwa Uso. Katk mpambano huo na hao viumbe wenye akili sana Alichomoa Pistol yake akafanikiwa kuwaua wawili huko chini. Kisha mmoja akafunua tumbo lake Kama Samaki Ikatoka mionzi iliyompiga na Kumkata vidole pia Kumsababishai madhara kama kansa. Green Beret (SPECIAL US FORCE) aliyekuwa karibu nae akamtupia kwenye Lift faster na kufanikiwa kutoroka na Kurudi juu ya ardhi. Pia anareport wengine wote waliokuwa kwenye mchakato huo akiwemo huyo aliyemuokoa waliuwawa na wadudu hao kisha yeye na wenzake wawili walifanikiwa kutoroka.
c1ad2bb61730.jpg


Amezunguka Duniani na sehemu mbali mbali kama mwanaharakati wa kuhamasisha wanadamu kupambana na viumbe hawa na kuvujisha siri hizi. Ametoa zaidi ya LEcture 30 sehemu mbalimbali miaka miwili kabla hajafa.
Anadai amenusurika vifo zaidi ya mara 13 na ilibidi atembee na pistol ili kujihami. Alikutwa amekufa kwenye apartment yake January 17, 1996 Huko Oregon Marekani. Na report zilizovuja zinasema alikutwa na mpira Shingoni kana kwamba kanyongwa au kajinyonga. Familia yake, wafuasi wake na marafiki wanaamini aliuwawa kutokana na kuvujisha hizo siri.

Kwa Ufupi hii ndio story ya HuyU MDAU AMBAYE MKUU Eiyer anaomba tumuamini. Mkuu naomba uedit kama nimekosea na kama kuna mtu anamaswali akuulize.


VIDEOS ZA MIADHARA YAKE, MKUU HAPO KATUWEKEA KAMOJA TU
Phil Schneider 1 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 2 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 3 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 4 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 5 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 6 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 7 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube

MAPAMBANO KWA UFUPI KATIKA PICHA
 

Attachments

  • upload_2016-11-30_20-12-20.jpeg
    upload_2016-11-30_20-12-20.jpeg
    10 KB · Views: 54
  • upload_2016-11-30_20-11-26.jpeg
    upload_2016-11-30_20-11-26.jpeg
    13.9 KB · Views: 92
STORY FUPI YA HUYU MBABE PHIL SCHNEIDER KAMA ULIVYOMLETA MKUU Eiyer

1:BACKGROUND
images

Huyu ni mmarekani ambaye amejitambulisha kama alikuwa mfanyakazi wa Serikali. Professionally ni Geologist na Structural engineer ambaye kwa muda wa miaka 17, Alishiriki katika Mipango ya Siri ya Kujenga Underground Top Secret Military bases Huko marekani Au GOVEMENT black projectS (Rhyolite 38 Clearance).
Alijifunza Mwenyewe METALLURGIST na Akawa na Mbinu za Kutengeneza Milipuko ambayo ilimpa ujuzi wa kumfanya afae kushiriki kwenye miradi Hii Ya siri kubwa duniani kwa Mujibu wa wanaemuamini.

2:VITU AMBAVYO ANAVIELEZA MBABE HUYU;
1: Serikali ya Marekani iliiingia mkataba na Viumbe hawa mwaka 1954. Aliingia mkataba na SPECIES 11 ya Hawa Extraterrestrial Beings/UFO/ALIENS .

2: ANasema Hizi Black Projects za chini ya Ardhi Huko marekani zinaigharimu serikali USD Trill1.03 Kila baada ya miaka Miwili. Kitu ambacho hakuna raia anayeishi huku juu ardhini anajua. Huko wanaendesha Miradi amabayo Technologia yake iko miaka 1000 mbele ya hii tunayoiona sasa hapa ardhini.

3:Anadai anatembea na kipande kidogo cha chuma (TITANIUM METAL ALLOY) amabayo alikipata katika mapambazo na hawa wadudu. Ila anasema technology hiyo kutoka kwa hawa viumbe US wametumia kutengeneza SR-71 Blackbird, F117A Nighthawk, “black” helicopters, satellites, and Phoenix Nuclear Submarines.

4:Anasema katika ushuhuda wake yeye ameshiriki kujenga Vituo hivyo vya Chini ya Ardhi marekani zaidi ya 131 Vinavyounganishwa kwa TRENI ZENYE SPEED NA TECHNOLOGY YA HALI YA JUU. TRENI HIZO ZINAZUNGUKA CHINI YA ARDHI KIMYAKIMYA HAKUNA MTU YOYOTE HUKU JUU ANAJUA> HUKO JAMAA HAO UFO NA MAELFU YA WANADAMU WAKO BIZE WANAANDAA MIPANGO.(DUMP PROJECTS). Miradi kama hii amabyo imeunganishwa chini kwa chini imetapakaa Dunia nzima vipo vituo zaidi ya 1000 chini ya ardhi.
ad3034ec2e8a.gif


3:TUKIO ALILOSHIRIKI NA LINALOKMFANYA AWE MTU WA KUTUMAINIWA DUNIANI ALIYEVUJISHA SIRI HIZO

mWAKA 1979 Alikuwa katika harakati ya UJENZI WA KITUO HICHO cha chini ya ardhi huko Dulce Military Compound, Los Alamos Jimbo la NEW MEXICO.
Yeye akiwa na Kikosi cha Delta force wakiwemo na wanajeshi wa nato (WATU 66). Anasema walitumia HIgh tech drilling mashine kushimba chini ili wajenge hiyo base. Baada ya zoezi kuwa Gumu alitumwa chini kuangalia nini Kilichokuwa kinakwamisha Hilo zoezi akisindikizwa na mwenzake. ANasema Kumbe Walikuwa wanachimba Juu ya BASE ya HAWA ALIEN Wailikwa na kakambi kao hapo chini ya arthi mahala ambapo wao pia walikuwa wakichimba. Ndipo akakutana na hao GREY ALIENS uso kwa Uso. Katk mpambano huo na hao viumbe wenye akili sana Alichomoa Pistol yake akafanikiwa kuwaua wawili huko chini. Kisha mmoja akafunua tumbo lake Kama Samaki Ikatoka mionzi iliyompiga na Kumkata vidole pia Kumsababishai madhara kama kansa. Green Beret (SPECIAL US FORCE) aliyekuwa karibu nae akamtupia kwenye Lift faster na kufanikiwa kutoroka na Kurudi juu ya ardhi. Pia anareport wengine wote waliokuwa kwenye mchakato huo akiwemo huyo aliyemuokoa waliuwawa na wadudu hao kisha yeye na wenzake wawili walifanikiwa kutoroka.
c1ad2bb61730.jpg


Amezunguka Duniani na sehemu mbali mbali kama mwanaharakati wa kuhamasisha wanadamu kupambana na viumbe hawa na kuvujisha siri hizi. Ametoa zaidi ya LEcture 30 sehemu mbalimbali miaka miwili kabla hajafa.
Anadai amenusurika vifo zaidi ya mara 13 na ilibidi atembee na pistol ili kujihami. Alikutwa amekufa kwenye apartment yake January 17, 1996 Huko Oregon Marekani. Na report zilizovuja zinasema alikutwa na mpira Shingoni kana kwamba kanyongwa au kajinyonga. Familia yake, wafuasi wake na marafiki wanaamini aliuwawa kutokana na kuvujisha hizo siri.

Kwa Ufupi hii ndio story ya HuyU MDAU AMBAYE MKUU Eiyer anaomba tumuamini. Mkuu naomba uedit kama nimekosea na kama kuna mtu anamaswali akuulize.


VIDEOS ZA MIADHARA YAKE, MKUU HAPO KATUWEKEA KAMOJA TU
Phil Schneider 1 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 2 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 3 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 4 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 5 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 6 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube
Phil Schneider 7 of 7 DULCE ALIEN CONFRONTATION - YouTube

MAPAMBANO KWA UFUPI KATIKA PICHA
Endelea......
 
Nitakueleza kila kitu maana wewe unaona aibu kufunguka kwa sababu wenda huna uhakika.
aliens-597x297.jpg

Hawa jamaa zako ndio waliingia Mkataba na US mwaka 1954. Na wanampango wa Kuitawala Dunia (NWO). Eti wameshaua wanadamu kati ya Mil 6 hadi 8. Na Wanampango wa kupunguza watu kabisa hadi wabaki wachache. Kisha Wawatawale wanadamu wote kama watumwa Kwa faida yao. Mkuu mbona unatolewa kwenye mstari na story za kufikirika kirahisi namna hii aisee. Kisa Umeambiwa siri umekunywa bila kufikiri. Huu ni mpango wa kuwatoa watu kwenye BIG PICTURE ya NWO ili wakazi wa dunia wawe na hofu. These things are not only Unscientific but also non-biblical.
Kuhusu kutawala dunia ninachokujua mimi hawa ni sehemu ya mpango na siyo wenye mpango wenyewe....

Kuna Nephilims
Kuna Wanadamu ambao DNA zao zimechezewa na hawa viumbe...
Kuna fallen angels ambao ndiyo wenye mpango huu...

Ninachokijua hadi sasa ni kwamba hawa wanaweza kuwa ni matokeo ya creatoion ya fallen angels....

Endelea kueleza kisha uje na hoja zako niko nakusubiri kwa hamu,kazi yangu ni kufyeka vichaka vyote utakavyokuwa umejifichia......
 
Mkuu naomba majibu juu ya uwepo wa alliens,,na je viumbe hawa wanaishi miaka mingi kama tunavo aminishwa,na je wanapatikana nchi gani?? Je ni kweli ni viumbe wenye akili nyingi sana duniani??


,,ahsante.
Kwa nijuavyo,Alliens wanaishi maisha marefu kuliko binadamu,wao wanaishi maelfu ya miaka.Hawa viumbe wapo hapa hapa duniani na hawatoki kwenye sayari nyingine na wanapatikana kwenye mataifa yote makubwa duniani unayoyajua....

Alliens siyo viumbe wenye akili zaidi isipokuwa wana uwezo zaidi ya binadamu wa kfanya baadhi ya mambo....
 
Kuhusu kutawala dunia ninachokujua mimi hawa ni sehemu ya mpango na siyo wenye mpango wenyewe....

Kuna Nephilims
Kuna Wanadamu ambao DNA zao zimechezewa na hawa viumbe...
Kuna fallen angels ambao ndiyo wenye mpango huu...

Ninachokijua hadi sasa ni kwamba hawa wanaweza kuwa ni matokeo ya creatoion ya fallen angels....

Endelea kueleza kisha uje na hoja zako niko nakusubiri kwa hamu,kazi yangu ni kufyeka vichaka vyote utakavyokuwa umejifichia......
Kwanza ninaomba urudie kukili kama hii story unaiamini kuwa ni kweli ili nipate uhalali wa kukuhoji.
 
Kuhusu kutawala dunia ninachokujua mimi hawa ni sehemu ya mpango na siyo wenye mpango wenyewe....

Kuna Nephilims
Kuna Wanadamu ambao DNA zao zimechezewa na hawa viumbe...
Kuna fallen angels ambao ndiyo wenye mpango huu...

Ninachokijua hadi sasa ni kwamba hawa wanaweza kuwa ni matokeo ya creatoion ya fallen angels....

Endelea kueleza kisha uje na hoja zako niko nakusubiri kwa hamu,kazi yangu ni kufyeka vichaka vyote utakavyokuwa umejifichia......
Kwa hiyo unapingana na Mtaalamu wako au.
 
Kwa hiyo unapingana na Mtaalamu wako au.
I see....

Sababu ya msingi ya kumleta hapa ni kukuonesha kuwa alikutana ana kwa ana na hao viumbe,suala nililolizungumzia ni lingine kabisa ambalo yeye naye ana mitazamo yake....

Ni sawa leo ukutane na jini nje ya nyumba yako.Sisi tutakuchukua wewe kama shahidi tu ambaye uliona jini lakini kitendo cha wewe kuliona jini hakukufanyi ukajua majini yana lengo gani na yalitoka wapi....

Phil Schneider ni mtaalam wa miamba tu,kwenye maisha yake hakuwahi kufanya utafiti wa kina na kujua Aliens wametoka wapi na wana lengo gani hapa duniani,alichokifanya ni kufuatilia kidogo tu kwenye kipindi cha maisha yake kabla hajauawa....

Tofautisha hayo mambo jombaa.Mimi naweza kuwa najua jambo hilo kuliko yeye...
 
Lakini wakuu historia haifichi kwamba hawa akina Plato, Pythogaras, Socrates na wengine kwamba walijifundisha maarifa ya watu wengine toka mashariki au Afrika (hasa Misri). Kwa hivyo tusiweke mkazo sana kuonesha wazungu wameficha ukweli huu wa kwamba wamechota maarifa toka tamaduni zingine. Uzuri ni kuwa wazungu ni wazuri ktk kuiga maarifa ya wenzao na kuyaboresha(they do enhancement) kiasi kwamba unadhani wao ndio waanzilishi.
 
hiyo story nnimeisoma na unaweza kuhoji kwakuwa iko sahihi....
Geologist anaenda kuchimba akiwa na Bastola. Ni sawa na wewe kuchimba shimo la choo ukiwa na silaha. huoni kuwa hzo ni fix za kitoto. Na hapo walipokwa hao Alien hawakuwa hawana exit point. Tangu lini Kiumbe mwenye akili nyingi kama unavyomsifia asubiri kupigwa risasi wakati wamekuwa wkichimba eneo lao muda mrefu tu. Fikiri kidogo tu.
 
I see....

Sababu ya msingi ya kumleta hapa ni kukuonesha kuwa alikutana ana kwa ana na hao viumbe,suala nililolizungumzia ni lingine kabisa ambalo yeye naye ana mitazamo yake....

Ni sawa leo ukutane na jini nje ya nyumba yako.Sisi tutakuchukua wewe kama shahidi tu ambaye uliona jini lakini kitendo cha wewe kuliona jini hakukufanyi ukajua majini yana lengo gani na yalitoka wapi....

Phil Schneider ni mtaalam wa miamba tu,kwenye maisha yake hakuwahi kufanya utafiti wa kina na kujua Aliens wametoka wapi na wana lengo gani hapa duniani,alichokifanya ni kufuatilia kidogo tu kwenye kipindi cha maisha yake kabla hajauawa....

Tofautisha hayo mambo jombaa.Mimi naweza kuwa najua jambo hilo kuliko yeye...
Sasa yeye ndio kavujisha hizo stori wewe unataka kumkimbia tena. Anasema Dunia nzima na anatoa na idadi ya vituo na location. Na anaelezea hadi vituo vingine viko Russia china. Uongo huu lengo lake ni kukuaminisha kuwa kuna jamaa wako underground akiwa anashirikiana na hawa viumbe ili watawele dunia. SOurce gani tena wakati huyu unadai kauwawa kwa kusema haya. Mkuu mbona hueleweki au una mwingine umlete
 
Endelea......
  1. Dulce in New Mexico
  2. Brecon Beacons in Wales
  3. Los Alamos in Mexico
  4. Pine Gap in Australia
  5. The Snowy mountains in Australia
  6. The Nyala range in Africa
  7. West of Kindu in Africa
  8. Next to the Libyan border in Egypt
  9. Mount Blanc in Switzerland
  10. Narvik in Scandinavia
  11. Gottland island in Sweden and many other places
  12. Hapo juu ni list ya mfano tu ya hizo Deep Underground Millitary Bases D.U.M.Bs sehemu mbalimbali , na anasema hadi kufikia mwaka huo anatoa hizo hotuba kulikuwa na hizo underground bases 1477 zimetapakaa Dunia nzima. Huku zimeunganishwa na Treni za chini kwa chini zenye uwezo ambao hakuna mtu duniani amewahi kuziona. Huko chini wanadamu na aliens wanashirikiana kutengeneza silaa ili waje Aliens waje watawale dunia kwa like unachoita NWO.

Anasema 62 ya hizi DUMBS zinatumika kuwahifadhi hawa ALIENS warefu kwa wafupi pamoja na Vifaa au ndege zao za kusafiria.


AGENDA YA HAWA ALLIENS KULINGANA NA HUYU JAMAA YAKO

Anasema lengo la hawa viumbe (ALLIEN) kushirikana na wanadamu na kujenga hivyo vituo dunia nzima vya siri chini ya ardhi ni kwamba hadi kufikia 2029 WAITAWALE DUNIA NZIMA kwa kitu kinachoitwa NEW WORLD ORDER. Mkandarasi wa Serikali ya marekani EG&G alipewa tenda ya kushirikiana na hawa ALLIENS katika hiyo miradi. Kuna jumla ya kabila saba za hawa ALIEN wanaoishi duniani na wengine waovu kabila kama NNE nao wapo.

Mikataba takribani Minne ilisainiwa kati ya serikali ya marekani na Hizi Koo za ALiens mwaka 1944, 1954, 1962, na 1979.
Mkataba uliosainiwa Mwaka 1954 uliitwa Greata Treaty kati ya serikali ya marekani na Grey Aliens ili Serikali Isuply watu huko chini kwa ajili ya Kuchunguzwa na aliens na kuwapa maujanja ya kitechnologia kama unavyamini. Anasema hawa walitokea sehemu iitwayo Zeta Reticuli.

Anaonya dunia kuhusu kuwepo kwa mkakati huo wa kuiteka dunia yote kabisa. Yaani wanadamu wote kuwa chini ya TOTARITALIAN DICTATORSHIP chini ya hawa viumbe ALIENS/NEPHILS/SEMISHETANI BEINGS (Acording to you also) Dunia nzima inakuwa kama POLICE STATE. Kuhakikisha hakuna wa kufurukuta hao viumbe wameandaa Black hericopters 64,000 ingawa hakusema zimewekwa wapi. Pia anadai kuwa 107,2000 Magereza yanayotembe (Prison box cars ) zimeandaliwa, Hilo gereza tembezi lina pair 143 ya sehemu pa kufungia watu lenye jumla ya uwezo wa kuwafunga hadi wamarekani15 Milioni watakaogomea huo mkakati. Hao wabishi watapelekwa kwenye kile kinachoitwa "Fema Detention camps " zitakazokuwa zimeandaliwa hasa hii ni kwa wana US wabishi.

Mkuu hii ndio habari unayoogopa kuielezea imebidi nieleze ili tujue unakwepa nini na tupate uhalali wa kukuhoji.
Haya yote sijatunga mimi ni kutoka kwenye source huyu mdau na video lecture zake.

USHAURI, Inawezekana unawazo zuri lakini Source ulizonazo zitakupotosha. Narudia tena kwa mara nyingine hii mipango ya dunia kutawaliwa na kuwa kitu kimoja ni mipango ya wanadamu tu na hakuna cha aliens wala nini hivyo ni vichaka vya kuwaficha watu wachanganyikiwe na kuogopa. Ndio maaana wewe sio tu kwenye hii thread popote utakapokuwa unacomment unaleta hzi story kwa hofu alafu ufunguki. Nimekuwa najiuliza huyu jamaa anakitu gani anachoficha? na sio mimi watu wengi tu. Atleast sasa tunaweza kwenda sawa maana mbichi na mbivu ziko mezani.

Nakushauri umuombe Mungu Urudi kusoma Daniel 2, Daniel 7 with suported books huku ukitoa concept zako za aliens, utagundua umechelewa kujua vitu vingi sana ambavyo bibilia ilivisema na ni kweli vitatokea.

KWa elimu hii hii ya viumbe wasio watu Unaamisha goli na kutumia mzigo WW1,WW2,HIV aids,EBOLA etc hao MAUFO, na ELIENS, NEPHILS na MACHOTARA Wa Shetani lkn kwa ukweli hii ni mipango ya wanadamu kabisa. Ukielewa hilo utakuwa umepiga hatua kubwa sana.
 
Back
Top Bottom